Hana nguvu za mikono?
Not true. Trust me, I know.
Thubutuuuuu,wataonewa akina kaoge tu sio Rio.Akina makonda mtamkamata na huyu au mnawaonea tu akina kaoge na james delicious?
Tupe ukweli unaoujua mkuu.Not true. Trust me, I know.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hamna wasomi wa kuiwakilisha nchi huko UN? Mbona anataka kuiaibisha nchi au mkutano unahusu mashoga?
Hajui Rio ni mtoto wa kishua?Huyu hategemei vilainishi vya msaada.
Mbaya zaidi hapo kamshika kiuno!Nina mashaka na huyu mwarabu.... mbona kila mwenye skendo ya ushoga unakuta keshapiga nae picha......
Anawabamiza au ndo waarabu wa pemba wanajuana kwa vireemba.... simuelew huyu msee....
hayuko sawa kichwaniMaajabu yapi kaenda kufanya UN?