Rio Paul Afanya maajabu UN

Rio Paul Afanya maajabu UN

5fcbc69c0b84b6b95d3ae34b70f56c29.jpg
Lege lege
 
Nina mashaka na huyu mwarabu.... mbona kila mwenye skendo ya ushoga unakuta keshapiga nae picha......

Anawabamiza au ndo waarabu wa pemba wanajuana kwa vireemba.... simuelew huyu msee....
Eti jamani! Hata kama mmeamua kupiga picha ya pamoja, ndiyo mpige mmekumbatiana viunoni wanaume wazima?
Hata mimi hiyo picha imenipa mashaka kwa kweli.
 
Hivi unaweza kumshika mwanaume mwenzio kiuno?? Huyu Mudi huyuu
Huyu jamaa ni anamakusudi sana, na picha zake nyingi anazopiga na wanaume wenzake zinakuwa zinaaacha ukakasi flani katika jamii. Yani hasipo kushika kiuno basi atakushika begani tena katika "mshiko" flani hivi husio wa kawaida.
Sema hofu na mashaka yangu huwa yanaenda moja kwa moja kwa washikwaji, lazima utawakuta na wao wapo katika hali flani ya furaha na wenye kujisikia vizuri sana jinsi wanavyoshikwa.
 
Eti jamani! Hata kama mmeamua kupiga picha ya pamoja, ndiyo mpige mmekumbatiana viunoni wanaume wazima?
Hata mimi hiyo picha imenipa mashaka kwa kweli.
haha kama alilalwa jana, leo kushikwa kiono hadharani ni kwawida... huyo jamaa ni punga maarufu kuna ile video bitch amevaa bukta fupi huku anatingisha makalio hukuiona na maneno aliyokua anasema kwenye ile video ndio alijitangaza rasmi ni shoga, kuna basha alikua nae pale ana pesa chafu sio mtanzania ndio alikua anamchukua hiyo video
 
Iluminate at work.. Wanawapromote mashoga ili ionekane ushoga ni kitu cha kawaida... Thats why usishangae siku moja kupata raisi au mchungaji au ata shekhe shoga... Their mission ni kubadili muonekano wa sasa wa dunia kwa kuleta mambo yasokuwa ya kawaida.... The hyo nafasi aliyopata ni by chances(uenda ni kwa sababu ya ushoga wake) sawa na yule mtoto aliyepona risasi ya kichwa kule Afriganstan aambaye aliokolewa na wanajeshi wa marekani na kwa sasa ni balozi wa watoto umoja wa mataifa...
 
Eti jamani! Hata kama mmeamua kupiga picha ya pamoja, ndiyo mpige mmekumbatiana viunoni wanaume wazima?
Hata mimi hiyo picha imenipa mashaka kwa kweli.
haha kama alilalwa jana, leo kushikwa kiono hadharani ni kawaida... huyo jamaa ni punga maarufu kuna ile video bitch amevaa bukta fupi huku anatingisha makalio hukuiona na maneno aliyokua anasema kwenye ile video ndio alijitangaza rasmi ni shoga, kuna basha alikua nae pale ana pesa chafu sio mtanzania ndio alikua anamchukua hiyo video
 
Mtoa mada nna mashaka na yeye ni shoga maana anamtetea na kumsifia mwenzie ili tuamini mchango wao katika jamii hakuna cha UN wala nini usisifie upuuzi hapa hata Kama ameenda kuwaletea vilainishi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimecheka sana.
 
Kichwa cha kikubwa kuliko kifua na miguu.!!!!
 
Eti jamani! Hata kama mmeamua kupiga picha ya pamoja, ndiyo mpige mmekumbatiana viunoni wanaume wazima?
Hata mimi hiyo picha imenipa mashaka kwa kweli.

Tuwekee picha zako ulizo piga Na marafiki toka shule za msingi mpaka ulikofikia kama hujakamatwa mkono,kiuno ama sehemu yeyeto ya mwili.Kukamatana Kwa wanaume hasa hapa Tanzania sio ushoga Na hatuna fikra za ushoga.
Kama unafikra hizo basi tunashaka na wewe
 
Kaenda hko kutetea us..ho....g@ TU

Ova
 
Back
Top Bottom