Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
- Thread starter
- #81
Kinachonisikitisha katika maisha ya hawa gay people ni kuwa wako vulnerable to STD's, lakini ni watu ambao wanakwenda shule, wanafanya kazi na wanaleta mchango wa kiuchumi katika jamii. Wengi wao siku hizi wanaruhusiwa ku adopt watoto, kuzaa kupitia surrogate mothers.