Dada maisha sio kuleta pesa pekee katika familia. Maisha ni pamoja na kuendana na taratibu za jamii na mafundisho mazuri ya wale waliotutangulia.Kinachonisikitisha katika maisha ya hawa gay people ni kuwa wako vulnerable to STD's, lakini ni watu ambao wanakwenda shule, wanafanya kazi na wanaleta mchango wa kiuchumi katika jamii. Wengi wao siku hizi wanaruhusiwa ku adopt watoto, kuzaa kupitia surrogate mothers.
kumbe ndio maana unawatetea hivi ili kulinda kibarua chako??hapa nimeelewaKwa nature ya kazi yangu, nikiwabagua hawa viumbe nimekosa kibarua.
Unaweza kujitetea kwa vyote unavyo fanya ila ni jambo lilio wazi kuwa wewe una promote ushoga na hilo tuu halikupi sifa njema yyteIkitokea mtoto wako ana tabia hizi utamuua? Tuwapende watoto wetu na kuwalea vizuri, kuwapa elimu lakini kuna maamuzi mengine ni ngumu kuyadhibiti.
Rafiki yangu wa karibu sana mwanaume mtoto wake mmoja tu wa kiume ni shoga, hawajaonana kwa zaidi ya miaka kumi tangu agundue. Nilikaa nae nikamueleza ninajua unaumia lakini mwisho wa siku ni mwili wake ndio amependa utumike hivyo, hii haibadilishi uhalisia kuwa wewe ndiye baba yake.
Huenda umetumwa wewe sio bure.Ukiwa na rafiki gay ni watu wazuri sana, sio selfish, he will be there for you 24/7, he will share with you all his up and downs. Pia wengi wao wako delicate sana wakiumizwa. Being hurt for them is so painful.
Dada yangu kama unakutana nao wahubiri injili kwa upendo waende kwa watumishi wa Mungu watubu. Watabadilika.Kama wapo na jamii haiwakubali nini mustakabali mzima wa kuwepo kwao?
Use ur brain sky eclat japo hata kiduchu. Hujiulizi kwa nini hao mashoga wapo hatarini zaidi kupata STDs/STIs!!??Kinachonisikitisha katika maisha ya hawa gay people ni kuwa wako vulnerable to STD's, lakini ni watu ambao wanakwenda shule, wanafanya kazi na wanaleta mchango wa kiuchumi katika jamii. Wengi wao siku hizi wanaruhusiwa ku adopt watoto, kuzaa kupitia surrogate mothers.
Sasa wewe usiwe msemaji wao mengine wata sort out wenyeweKama wapo na jamii haiwakubali nini mustakabali mzima wa kuwepo kwao?
Acha dada mambo ya wazungu. Wanayaweza wao wenyewe sisi tukikite na tamaduni zetu.
Yap anajielewa sana na yupo smart sana kichwanirio kavaa habaya
pamoja na mapungufu yake
ila nampenda sana...
ananielewa nini anafanya[emoji7][emoji7]
Ukiwa na rafiki gay ni watu wazuri sana, sio selfish, he will be there for you 24/7, he will share with you all his up and downs. Pia wengi wao wako delicate sana wakiumizwa. Being hurt for them is so painful.
Mkuu mimi huwa nashangaa sana yani,tatizo letu watu wengi hizi tunazoziita shule na maarifa tuliyoyapata toka nchi za kigeni tunaona ni bora kuliko misingi ya utu wetu.Tetea mie nakuombea upate kidume afu uendelee na hizi Sera
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ptuuuuuUkiwa na rafiki gay ni watu wazuri sana, sio selfish, he will be there for you 24/7, he will share with you all his up and downs. Pia wengi wao wako delicate sana wakiumizwa. Being hurt for them is so painful.
Huo ndio ukweli mchunguHakika nakuambia. Mwanaume ukijiingiza sijui kwenye mitindo sijui fasheni. Mwisho wake ni kuwa shoga. Period .
Ninaelewa feelings zako lakini hii ni sheria ambayo Tanzania haijapitishwa, kwa nchi zinazofuata hii sheria wewe ungekua mhalifu.