Kwa hiyo hoja yako sasa ni nini?Wakati Membe akiwa waziri wa mambo ya nchi za nje, Commonwealth countries walisema zitasitisha misaada kwa nchi za common wealth ambazo hazikubali magay, Membe alisema Tanzania hatukubali. Alikuja BBC jounalist, alifanya documentary, kuna magay wengi tu Tanzania, mmoja alihojiwa mpaka anapokaa, anaishi Magomeni, alisema wateja wake wengi ni wabunge na mawarizi tena wengi wana wake zao.
Bahati mbaya tu sitaki shari mwezi mtukufu huu, vinginevyo jibu ambalo ningekupa hapa lingetupeleka kweny vita ya tatu ya dunia.
Yaan umeongea upuuzi wenye level ya PHD, inaonyesha umekuwa mwili tu na makalio ila akili fupi kuliko maisha ya funza! Shwain wewe!!!
Umeniharibia siku.
What???Ukiwa na rafiki gay ni watu wazuri sana, sio selfish, he will be there for you 24/7, he will share with you all his up and downs. Pia wengi wao wako delicate sana wakiumizwa. Being hurt for them is so painful.
Na sie weusi tukipata chance sasa ya kusoma na kukaa Na wazungu tunaiga uzungu hata wazungu wenyewe hawaoni ndaniMkuu mimi huwa nashangaa sana yani,tatizo letu watu wengi hizi tunazoziita shule na maarifa tuliyoyapata toka nchi za kigeni tunaona ni bora kuliko misingi ya utu wetu.
Leo hii mtu anatetea based on kigezo cha equality and the likes. Kisa wazungu na wengine wanakubali basi na sisi tunafungwa mawazo na upeo wetu tukiamini kuwa kuyakubalo mambo haya ndiyo usasa.
Hivi kweli kabisa akipata mtoto wa kiume na akawa katika hali hiyo atajiskiaje?. Ni "msomi" labda kwa uelewa wake, lakini pia tumepewa utashi na hekima ya kujua jema na baya. Imefika mahali watu tunashindwa kukemea mabaya kwa vigezo vya haki za binadamu. Aliye umba mtu mume na mtu mke nini lilikuwa kusudi?.
Nadhani ifike mahali tuyaone haya. Ili uikemee na kuiacha dhambi yoyote kutoka moyoni ni lazima uichukie. Mungu atupe busara na utashi wa kuenenda.
Haya mzungu mweusiWombee hao wanaoishi mimi kupata mtoto au kotopata hausiani.
Na thong pia. Tena ukimwambia unaumwa tumbo la period, atakwenda kutafuta paracetamol, atakutafutia hot water bottle, atatengeneza chai ya rangi. Wakati nyinyi mkiambiwa tumbo la period mnakwenda kuangalia mpira.
Yap, nakubaliana na wewe.. humu wanafiki ni wengi sana tena wanatia aibu..Sisi kwa unafiki hatujambo. Watu wanawaponda gays wakati wanawageuza wake zao.
Ndo maana hatuendelei, tunataka huku wakati tunasema hivi, wapi na wapi.
Kama hataki kuacha?Hakuna njia zaidi ya kumrudisha kwenye njia ya kumpwekesha na kumuhofia Mwenyezi Mungu, akishampwekesha na kumhofia Mwenyezi Mungu then ndo zitafuata hatua nyingine za kitabibu kama kumsafisha sehemu yake ya siri na kumpa ushauri wa kisaikolojia, pia kumuepusha na marafiki aliokuwa nao awali na na life style aliyokuwa nayo. Mimi nimeshakutana na dada mmoja ambaye mdogo wake alikuwa na hizo tabia, alikuta picha za uume na picha za wanaume wakifanya ngono kwenye simu yake, baada ya kumuhoji alikiri kufanya huo mchezo na alituelezea kwamba aliuanza baada ya kuingiliwa na mume wa mamayake mdogo aliyekuwa akiishi nae wakati akiwa bado mdogo, yule mwanaume alimuahidi vitu mbali mbali pamoja na kumpa pesa, sasa baada ya kukua akashindwa kuacha kwa kuwa mwanume anapoingiliwa huko nyuma ambako hapakuumbwa kupokea shahawa za mwanume basi hupelekea vijidudu vilivyoko kwenye shahawa ambavyo vikiingia kwenye uke wa mwanamke huwa havileti madhara kutokana na maumbile yako specific kwa ajili hiyo ila kwa mwanaume vile vijidudu hula yale manii na yakiisha huanza kutafuna ngozi ya sehemu ya siri ya huyo mwanaume ambayo imeumbwa ni laini, hiyo hupelekea yule mwanaume kupata muwasho na njia pekee ni kuingiliwa tena ili yale manii yakiingia ndio yawe chakula cha hao bacteria tena. Yule dada aliuumia sana kisaikolojia Kwani alikuta mpaka ujumbe mdogo wake akiwasiliana na wanaume na kutangaza biashara "nauza mku...", mwanzo ilikuwa ni siri yake ya peke yake na alihangaika sana mpaka kwa wanasaikolojia lakini hakufanikiwa mpaka ilipogundulika kwa familia.Tulitumia approach hiyo hapo juu na ilimsaidia sana mdogo wake.
Ana shida gani sasaWord, huyu jamaa hata London fashion week anakwenda tena unamwona mstari wa mbele kabisa, kama ni fashion designing basi anajua anachokifanya.
Wao ndo wanawatenga wanaume wanafwata wanawake kuna kipindi nilifanya kazi bagamoyo kuuna choki lilikuwa linatufwata linafanya shuguli zote za wanawake ikiwepo mkienda bar linaingia choo cha kike roho ilikuwa yaniuma yaani bonge la handsome la kisukuma[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji36] [emoji37]sijui kwanini wanawake mnawapenda sana hao watu
kuna really gay na fake or what d u mean[emoji15]kwa wasio mjua pia ni kiongozi wa mawasiliano kwa vijana UN,fashionist
am sorry is he really a GAY
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]Nimeisoma hii thread.. kwa michango iliyotolewa humu nimefikia conclusion hii.
Mungu alifanya vizuri sana kuacha kazi ya hukumu mikononi mwake..
Pole sana dada naona mwanamke mwenzako kaamua kujitoa ufahamu ili ajilie hela haramu ! Hivi vitu vinaumiza sana yaskie kwa jirani mwombe Mungu yasikukute!!
Hii kazi yako sio kabisa .[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]Kwa nature ya kazi yangu, nikiwabagua hawa viumbe nimekosa kibarua.
fake gays si wale wanaonekana wanatabia za kigay lakini sio magay ni bahati mbaya tu tabia zimewapitia na wenyewe wakazikubali,afu kuna wengine wanapenda wenyewe kuwa hivyo na wapo tayari kujionyesha dhahiri jinsi walivyo....sasa huyo jamaa yupo upande gani?ni tabia tu zimempitia kwa bahati mbaya lakini hapractice hizo mishe au anapenda kuwa "nigga the bitch"Luna really gay na fake or what d u mean[emoji15]