Rio Paul

Rio Paul

Ikitokea mtoto wako ana tabia hizi utamuua? Tuwapende watoto wetu na kuwalea vizuri, kuwapa elimu lakini kuna maamuzi mengine ni ngumu kuyadhibiti.
Rafiki yangu wa karibu sana mwanaume mtoto wake mmoja tu wa kiume ni shoga, hawajaonana kwa zaidi ya miaka kumi tangu agundue. Nilikaa nae nikamueleza ninajua unaumia lakini mwisho wa siku ni mwili wake ndio amependa utumike hivyo, hii haibadilishi uhalisia kuwa wewe ndiye baba yake.
Hivi Dada utajisikia vipi endapo mwanao kijana wako wa pekee ni shoga?
 
Equality and Diversity is the current term used for 'Equal Opportunities'. It is the legal obligation to protect against discrimination. Discrimination can be against a person's sex, gender, disability, sexual orientation, religion, belief, race or age.
Kuandika kiingereza hakukufanyi uonekana unaandika Kitu sahihi. Kuna Dada humu anaitwa faiza Fox anawaambiaga hizo shule mnaenda kusomea ujinga?
 
Screenshot_2016-06-19-15-00-59-1.png



Kila nikimuonaga huyu naskia harufu ya mavi
 
Sisi kwa unafiki hatujambo. Watu wanawaponda gays wakati wanawageuza wake zao.
Ndo maana hatuendelei, tunataka huku wakati tunasema hivi, wapi na wapi.
Wote mashoga.hata wewe unayemgeuza mkeo utafiti unaonesha nawewe unageuzwa. Tupige vita tabia za kishoga
 
Yap, nakubaliana na wewe.. humu wanafiki ni wengi sana tena wanatia aibu..

Utawakuta kule jukwaa la picha za uchi wakisifia tigo halafu wanakuja huku wanaandika unafiki.. wengine wameoa full michepuko... wengine hawana ndoa ila waasherati balaa..

Hizi dhambi zote zimekuwa included kwenye group moja.. "sexual immorality"

Kama hufanyi dhambi hii usifanye na ile.. na kama unaifanya ile usihukumu basi....

Tutoe maboriti katika macho yetu.. then tuhangaike na vibanza kwenye macho ya wengine.
Hao wanaosifia kugeuzana kama wanafanya hivyo nao hawana tofauti na mashoga.wote tuwakatae ushoga haukubaliki.
 
Back
Top Bottom