uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Kama unasikia basi usifanye hitimisho wakati mwingine maneno kama hayo huletwa na watu wanaotaka kupata uhalali wa vitu flaniNasikai Karen hajamuuguza baba ake hata kwenda kumuona tu alimuona mwishoni alikuwa anaambiwa ampelekee chakula hakukanyaga kama ni kweli alikosea sana aisew
Yule binti mwingine alomkubali Gadna yupo wapi???