RIP Gadner G. Habash, ila wengi waliokuja kwenye msiba wako hawakuja kuomboleza, walikuja kutikisa ili wa-trend

RIP Gadner G. Habash, ila wengi waliokuja kwenye msiba wako hawakuja kuomboleza, walikuja kutikisa ili wa-trend

Hoja ya msingi ya mdau ni kuwa, mwanamke awe smart au la, anatakiwa kuongozwa, anatakiwa kusimamiwa.

Unaweza sema sasa mwanamke smart ataongizwaje na mwanaume mbulula?? Jibu ni kuwa - kama mwanamke ni smart bila shaka atachagua kuolewa na smarter, sasa hapo huyo smarter itatakiwe amsimamie na kumuongoza huyu smart. Lazima waongozwe
Kwanini mwanamke aongozwe? Ana mapungufu yapi kimaumbile mpaka ahitaji muongozo wa mwanaume?
 
Kuna msiba wa ndugu yangu ulitokea mwezi wa 3, kuna wadada ndio wanaojiitaga sijui BFF, kwenye msiba walivyokuwa karibu na mfiwa wa mume loh, nikajisemesha showoff za msiba tu ili waonekane.

Msiba ulivyoisha, hakuna hata anayekuja kumjulia hali, tumebaki ndugu .ndio tunamfariji.
Misiba ya masikini hata hawaonekani.
 
Kwanini mwanamke aongozwe? Ana mapungufu yapi kimaumbile mpaka ahitaji muongozo wa mwanaume?
Sisi kwenye familia yetu ikitokea msiba etc, tunakaa wote kwa pamoja me na ke, kila mmoja anatoa mchango wake wa mawazo na fedha. Tunashauriana . Tunaamini hata sisi ke tuko smart na mambo yananyooka tu.
 
Back
Top Bottom