RIP Gadner G. Habash, ila wengi waliokuja kwenye msiba wako hawakuja kuomboleza, walikuja kutikisa ili wa-trend

😁😁😁😁
 
Nd

Ndio maana mbele watu msiba wa mtu maarufu wanafanya very private
Sio maarufu TU, kikawaida msiba ni WA watu wa karibu sana na aliyefariki. Sio kama KiTanzania, msiba mtu yeyote TU anakuja kadiri anavyojisikia na haulizwi kitu na mtu. Hapo usiwasahau wale wanaokuja ili kugonga chai, chakula cha mchana mpaka cha usiku kwenye misiba ambayo hata haiwahusu.
 
Wanawake ni mitihani sana. Mwanamke usimuingize akawa nguzo kwenye mfumo wa maisha yako. Na ukishaanza fika umri flan like 55 anza kumkataa ki aina uanze ku establish maisha ya kuzeeka kivyako bila ya wao (yeye na watoto hasa wakike) labda kama watoto walinyooka vizuri maana unaweza ukafa kwa stress
 
Nasikai Karen hajamuuguza baba ake hata kwenda kumuona tu alimuona mwishoni alikuwa anaambiwa ampelekee chakula hakukanyaga kama ni kweli alikosea sana aisew
Yule binti mwingine alomkubali Gadna yupo wapi???
Ibaki kuwa UNASIKIA
 
Nasikai Karen hajamuuguza baba ake hata kwenda kumuona tu alimuona mwishoni alikuwa anaambiwa ampelekee chakula hakukanyaga kama ni kweli alikosea sana aisew
Yule binti mwingine alomkubali Gadna yupo wapi???
Mmh siyo kweli jamani watu Waongo sana. Caren alimpenda baba yake sana na watu walikuwa wanamuona hospitali. Halafu ni mjamzito kwa hali yake isingekuwa rahisi kwenda hospitali kila siku. . Mengine watu waache angalau dhambi ya uongo kama vingine wameshindwa.
 
Walimwengu
 
Na ndo maana tunapendana hatujuan,tunasalimiana na hatujuan. Ni Mungu tu
 
Nasikai Karen hajamuuguza baba ake hata kwenda kumuona tu alimuona mwishoni alikuwa anaambiwa ampelekee chakula hakukanyaga kama ni kweli alikosea sana aisew
Yule binti mwingine alomkubali Gadna yupo wapi???
Duuuh mbona hatari, afu mtoto c ndo yeye pekee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…