Hoja ya msingi ya mdau ni kuwa, mwanamke awe smart au la, anatakiwa kuongozwa, anatakiwa kusimamiwa.
Unaweza sema sasa mwanamke smart ataongizwaje na mwanaume mbulula?? Jibu ni kuwa - kama mwanamke ni smart bila shaka atachagua kuolewa na smarter, sasa hapo huyo smarter itatakiwe amsimamie na kumuongoza huyu smart. Lazima waongozwe