TANZIA RIP Major General Profesa Yardon Kohi

Sasa uchaguzi wenyewe wanafanya, kusimamia na kugombea hao hao waliopindua unategemea mpinzani wa kiraia ana nafasi Ya kutangazwa mshindi hata akishinda!? Ni chaguzi hewa tu.
 
Acha uwongo wote hawatokei Ikizu.
 
Major General na Brigadier General nani ni mkubwa kwa mwenzake. Miaka ya 2009/2010 nilipata kushiriki seminar moja pale COSTECH wakati huo ikiongozwa na Kohi. Nakumbuka alikuwa anaitwa kwa cheo cha Brigadier General, Professor Yadon Kohi. PhD. Au kumbukumbu yangu ina walakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…