TANZIA RIP Major General Profesa Yardon Kohi

TANZIA RIP Major General Profesa Yardon Kohi

Kuna taarifa ya kufariki kwa huyu Major General Prof Yardon Mtarima Kohi,. Wana JF wanaomjua vizuri watupe umahiri wake
View attachment 2576029
Huyu alikuwa Gen
Kuna taarifa ya kufariki kwa huyu Major General Prof Yardon Mtarima Kohi,. Wana JF wanaomjua vizuri watupe umahiri wake
View attachment 2576029
Huyu Mzee wazungu walimkatalia asirudi Tanzania baada ya masomo huko Ulaya.Walimpa kaz kila kitu.Mpaka baba yake Mzee Mtarima alikwenda kuishi huko.Lakin baadae alirejea nchini.
 
Duh! Inasikitisha sana huyu genious kututoka. Nilisoma na mdogo wake. Huyu bwana alikuwa neurosurgeon wa kwanza Tanzania. Enzi zake, alimaliza form 6 na division one ya kipekee akipata Physics A, Chemistry A, Biolology A.

Alipigania Jeshi kuwa na chuo kikuu chake hata akasababisha wanajeshi wengi kusoma kwa kiwango cha juu. Alikuwa Mkurugenzi mkuu wa Tume ya Science na Tekinolojia.

RIP professor. Mungu awajalie moyo wa hekima ya Mungu ili wayapokee mapenzi yake kwa moyo wa unyenyekevu na imani.

Makono rafiki yangu upo wapi, tumepoteana. Kama unaingia humu au mtu yeyote ana mawasiliano naye, tuwasiliane.

Najua Kamanda Siro hatakosekana kwenye msiba huu, maana wote wanatoka Ikizu kule Musoma.

Pole sana kwa kifo cha Kaka yetu.

Mwenye taarifa za taratibu za maziko, tafadhali atuwekee hapa ili tuliopo mbali tuanze kuangalia kama tutaweza kushiriki kumsindikiza huyu ndugu yetu.
 
RIP mmoja wa maofisa wakuu wasomi sana waliopata kuputa ktk TPDF / JWTZ jeshi la Wananchi wa Tanzania

04 /04 / 2023
Dar es Salaam, Tanzania

Obituaries / Milestones / News

The late Prof. Maj. Gen. Dr. Yadon Kohi

Prof. Brig. Gen. Dr. Yadon Kohi -

Prof. Maj. Gen. Dr. Yadon Kohi​

Prof. Maj. Gen. Dr. Yadon Kohi entered peacefully into rest on Sunday, 02nd April, 2023

Professor Yadon Kohi holds Bachelors (LLB) and Masters (LLM) degrees in Law (OUT, Tanzania), Bachelors degree in Medicine(MB ChB) (Makerere) and a Masters degree in Medicine(University of Glasgow, Scotland).

He was the first neurosurgeon in Tanzania. Professor Kohi has had a distinguished career in public service spanning more than thirty years.

He served in the Tanzania Peoples Defence Forces TPDF rising to the rank of Major General.

He has also served as the Director General of the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH), a State Corporation created to further and promote scientific research and development. He was the vice president of the Africa Malaria Network Trust and has held teaching positions at the Open University of Tanzania.

Professor Kohi was a member of the Tanzania Academy of Sciences and a Fellow of the Royal College of Physicians Surgeons of Glasgow (RCPSG) which was founded 1599.

Professor Kohi is a distinguished expert in the fields of Medical law, Medical malpractice and negligence
Aione pia Dkt. Msukuma msomi aliyesomea sijui nini na kuitwa Daktari. R.I.P Prof.
 
Duh! Inasikitisha sana huyu genious kututoka. Nilisoma na mdogo wake. Huyu bwana alikuwa neurosurgeon wa kwanza Tanzania. Enzi zake, alimaliza form 6 na division one ya kipekee akipata Physics A, Chemistry A, Biolology A.

Alipigania Jeshi kuwa na chuo kikuu chake hata akasababisha wanajeshi wengi kusoma kwa kiwango cha juu. Alikuwa Mkurugenzi mkuu wa Tume ya Science na Tekinolojia.

RIP professor. Mungu awajalie moyo wa hekima ya Mungu ili wayapokee mapenzi yake kwa moyo wa unyenyekevu na imani.

Makono rafiki yangu upo wapi, tumepoteana. Kama unaingia humu au mtu yeyote ana mawasiliano naye, tuwasiliane.

Najua Kamanda Siro hatakosekana kwenye msiba huu, maana wote wanatoka Ikizu kule Musoma.

Pole sana kwa kifo cha Kaka yetu.

Mwenye taarifa za taratibu za maziko, tafadhali atuwekee hapa ili tuliopo mbali tuanze kuangalia kama tutaweza kushiriki kumsindikiza huyu ndugu yetu.
Waikizu wengi ni wanafiki, wameshindwa kuendeleza kwao
 
Egypt miaka yote wanaoongoza soldiers waliojificha kwenye suti kama Raia. Na inaonekana imetulia tu.
Egypt imefanya military coups mara mbili tangu iwe republic ila hao marais wake wanadumu muda mrefu ama uchaguzi unafanyika kama kwingineko. Ni muda mchache unakuta wanaongozwa na military junta. Na jeshi lao liko independent kiuchumi hata bajeti linajitegemea, mfumo wao uko tofauti na kwingineko.

Ninachokikataa ni nchi kuongozwa kijeshi, sio wanajeshi kugombea nafasi za siasa. Marekani ina marais kama 30 hivi waliwahi kuwa wanajeshi hata General Eisenhower alitoka kuongoza Allied forces Europe kwenye WW2 akagombea na kuwa Rais.
 
Back
Top Bottom