Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
US Gay tumeshaacha kuwaelewa kitambo tu ,hatuna time nao.
Z
Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ripoti iliyotolewa na Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, imeishutumu China kwa ukiukaji mkubwa wa Haki za Binadamu baada ya kuwaweka kizuizini waumini wengi wa Kiislamu katika mji wa Xinjiang.
Mashirika ya kutetea Haki za Binadamu yanaishutumu Beijing kwa dhuluma dhidi ya Wauyghur na Wakazakhs, makabila yenye Waislamu wachache ikiwa ni pamoja kuwalazimisha kufanya kazi ngumu katika kambi za Wafungwa. Marekani imeita jambo hilo ni Mauaji ya Halaiki.
Ripoti hiyo ya kurasa 48 ilithibitisha madai kwamba China ilitumia Imani ya Dini kuwaweka kizuizini, na kuchelewa kutolewa ripoti hiyo kumefichua uwepo wa shinikizo la Wanaharakati waliodai Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu, Michelle Bachelet alitaka kuzuia ripoti hiyo.
Ripoti imependekeza serikali ya China kuchukua hatua za haraka kuwaachia watu wote wanaoshikiliwa katika Vituo vya Mafunzo, Magereza au Vizuizi.
===========================
GENEVA — In a long-awaited report released on Wednesday, the United Nations’ human rights office accused China of serious human rights violations that “may constitute international crimes, in particular crimes against humanity,” in its mass detention of Uyghurs and other predominantly Muslim groups in its far western region of Xinjiang.
The assessment was released shortly before midnight in Geneva and minutes before Michelle Bachelet, the U.N. high commissioner for human rights, was set to leave office.
The release ended a nearly yearlong delay that had exposed Ms. Bachelet and her office to fierce pushback by rights groups, activists and others who had accused her of caving to Beijing, which had sought to block the report.
The 48-page report did not use the word “genocide,” a designation applied by the United States and by an unofficial tribunal in Britain last year. But it validated rights groups’ and activists’ claims that China has detained Uyghurs, Kazakhs and others, often for having overseas ties or for expressing religious faith.
The report is “an unprecedented challenge to Beijing’s lies and horrific treatment of Uyghurs,” said Sophie Richardson, the China director for Human Rights Watch. “The high commissioner’s damning findings explain why the Chinese government fought tooth and nail to prevent the publication of her Xinjiang report, which lays bare China’s sweeping rights abuses.”
To Uyghur activists, the report’s findings were a powerful vindication of their yearslong effort to draw attention to the suppression of ethnic minorities in Xinjiang. Beijing has routinely rejected any assertions of arbitrary detentions and abuses in Xinjiang and has accused Uyghur activists of lying. The activists say their families in Xinjiang have been imprisoned, detained and threatened by the authorities to try to silence them.
“It paves the way for meaningful and tangible action by member states, U.N. bodies and the business community,” said Dolkun Isa, president of the World Uyghur Congress. “Accountability starts now,” he added.
New York Times
Ukipata jibu unijulisheJe kuna haki ya mtu kupinga ushoga au ipo haki tu ya mtu kuunga mkono ushoga ?
Sawa.Ukipata jibu unijulishe
Russia sawa, ila india ni adui kama wazungu wengine tu(ikiuma sema)Subiri Russia au India awatetee
kwan kuna ttzo gn hukoHao wanao jitia kutetea haki za binadamu, mbona sijawahi kuwasikia wakilivalia njuga suala la Wapalestina??
wakioana unatesekaje?Huwezi kuninyamazisha, huo ni udikteta,
Uhuru wa kuabudu ndio kulazimisha wanaume kwa wanaume waowane?
nenda kaone wenzio wanavyoteseka , sio kuleta ushabik hukuMmarekani nyapu moja nyoko sana, anajaribu kumpaka mchina kinyesi kisa mchina kamsapoti Putin hapo Ukraine!!! Umbwaaa
hahahaaaaaUN wakijisahaulisha Ni zama ambazo watu wanajificha sura kuukwepa ukweli na sio kuficha ukweli.
#Kila mtu ni mtukufu anapokuwa akimsema mwenzio.
View attachment 2342663
unakaz fuv san , sheria imetoa uhuru wa ushoga , ss ww sio shoga inakuuma nnJe kuna haki ya mtu kupinga ushoga au ipo haki tu ya mtu kuunga mkono ushoga ?
wavaa kobaz mnapenda story za kusadikika , waliangamiza watu weupe wenzao wakakiacha kizaz cha akina Jiggah sio ?Acheni unafiki wa kuisikiliza Marekani bila kufikiri.
Huko Marekani karibia Wahindi Wekundu wote waliangamizwa.
Ukiona Mmarekani Mweusi ni zao la watumwa waliopelekwa utumwani.
Hadi leo wamarekani weusi wanauwawa kila siku, kama ngedere.
Idadi ya wamarekani weusi katika magereza huko Amerika ni zaidi ya 60% ya wafungwa WOTE wakati idadi ya watu weusi iko 33% tu.
Sasa anatokea mburula kuishutumu China.
ukimwita mtu kafir usitake kula chake , huo ni unafikUnapomnyima mtu msaada kwa sharti la kutambua haki za mashoga sio kulazimisha?
Rejea waziri mkuu wa uk alipolazimisha inchi za afrika kwenye hilo,
Nadhani ni cameron yule kama sikosei
hata waliofumbua hayo ni hao USAKwahiyo wameona leo sio? Kwakua wanachuki na wachina.Watu waliongea sana na hadi wengine waliandamana na kuboycott vitu vya huko wao walikua kimya tu hatar sana!
ww sio shoga unataka uhusishwe kweny haki za mashoga ni akili izo ? kwnn wao wasipewe haki ya kukupinga ww straight ?Ukipata jibu unijulishe
TULIZA MSHONO WAKO BIBI AJUZA, kumbuka umetoka KUJIFUNGUA jana tu kwa KISU🔪🔪🔪 (operesheni)...Sasa ukikasirika hovyo na kupata stress nyingi kwa 'MASHOGA' zako kuongelewa vibaya, utasababisha MSHONO wako kufunguka/ kuchanika tena, na kutupa shida sisi nduguzo ya kuushikiza MSHONO wako kwa 🧷🧷🧷🧷🧷unakaz fuv san , sheria imetoa uhuru wa ushoga , ss ww sio shoga inakuuma nn
Wapi watu wameshikiwa mtutu waowane waume kwa waume..acha upompoma wewe mfia dini.Huwezi kuninyamazisha, huo ni udikteta,
Uhuru wa kuabudu ndio kulazimisha wanaume kwa wanaume waowane?
Usa ndio sauti na kaka wa duni ulitaka nani akemee hayo..saudia ama?..kaa kutulia usa ndio baba wa dunia.Ni kweli mchina amewadhulumu waislamu, lakini sio wa kutetewa na us
Wala sishangai ndio mnavyofundishwa na dini yenu kutusi watu, any way mie ni mfia dini sasa wewe sijui unadefend kitu gani hapo kama sio uzungu wako,Wapi watu wameshikiwa mtutu waowane waume kwa waume..acha upompoma wewe mfia dini.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwani wewe ni shoga?ww sio shoga unataka uhusishwe kweny haki za mashoga ni akili izo ? kwnn wao wasipewe haki ya kukupinga ww straight ?
Kwahiyo ukipewa kula tu unaachia mzigo?ukimwita mtu kafir usitake kula chake , huo ni unafik