Ripoti: China ilifanya Uhalifu mkubwa dhidi ya Binadamu


Kwahiyo wameona leo sio? Kwakua wanachuki na wachina.Watu waliongea sana na hadi wengine waliandamana na kuboycott vitu vya huko wao walikua kimya tu hatar sana!
 
Mmarekani nyapu moja nyoko sana, anajaribu kumpaka mchina kinyesi kisa mchina kamsapoti Putin hapo Ukraine!!! Umbwaaa
nenda kaone wenzio wanavyoteseka , sio kuleta ushabik huku
 
wavaa kobaz mnapenda story za kusadikika , waliangamiza watu weupe wenzao wakakiacha kizaz cha akina Jiggah sio ?
 
Unapomnyima mtu msaada kwa sharti la kutambua haki za mashoga sio kulazimisha?
Rejea waziri mkuu wa uk alipolazimisha inchi za afrika kwenye hilo,
Nadhani ni cameron yule kama sikosei
ukimwita mtu kafir usitake kula chake , huo ni unafik
 
Kwahiyo wameona leo sio? Kwakua wanachuki na wachina.Watu waliongea sana na hadi wengine waliandamana na kuboycott vitu vya huko wao walikua kimya tu hatar sana!
hata waliofumbua hayo ni hao USA
 
unakaz fuv san , sheria imetoa uhuru wa ushoga , ss ww sio shoga inakuuma nn
TULIZA MSHONO WAKO BIBI AJUZA, kumbuka umetoka KUJIFUNGUA jana tu kwa KISU🔪🔪🔪 (operesheni)...Sasa ukikasirika hovyo na kupata stress nyingi kwa 'MASHOGA' zako kuongelewa vibaya, utasababisha MSHONO wako kufunguka/ kuchanika tena, na kutupa shida sisi nduguzo ya kuushikiza MSHONO wako kwa 🧷🧷🧷🧷🧷
 
Wapi watu wameshikiwa mtutu waowane waume kwa waume..acha upompoma wewe mfia dini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wala sishangai ndio mnavyofundishwa na dini yenu kutusi watu, any way mie ni mfia dini sasa wewe sijui unadefend kitu gani hapo kama sio uzungu wako,
Halafu ujue kama sijakutusi usinitusi,
Mie sio popoma, unajua nini ushauri wa bure achana na mimi yaani ukiniona tu kama sjakutaja we pita tu,
Vinginevyo utakuwa na wewe unatetea hiyo dini
 
ww sio shoga unataka uhusishwe kweny haki za mashoga ni akili izo ? kwnn wao wasipewe haki ya kukupinga ww straight ?
Kwani wewe ni shoga?
Jibu tu wala usipanick nimeuliza kwa lengo zuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…