Ripoti iliyovunja record ya upotevu wa pesa tangu uhuru, inasubiri miezi 6 watu kaadhibiwa! Spika uko siriaz kweli?

Hizi fedha zimepelekwa ccm kwa ajili ya kukiokoa chama chetu na uchaguzi wa serikali za mitaa hapo mwakani.
 
Shida wakubwa ndo wahusika zaidi ndo mana halichukuliwi uzito
 
Kwa kutazama uimara wa bunge letu mimi simlaumu sana madam spika..hayo maamuzi yana baraka zote kutoka kwenye ule mhimili wenye mizizi kuliko mihimili mingine hapa tz
 
Hii n bajeti iliyoanzia mwaka wa fedha Julai mosi 2021 Hadi Juni 2022. Wakati huu JPM bado alikuwa hai kamanda?. Punguza basi mihemko ukikumbuka kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na Mwisho.
Akili zimewarudi mmebadilisha mwaka
 
Kwa anavyodai spika kuwa hili ni bunge la bajeti tu mbona alitoa nafasi ya ripoti ya CAG kuwakilishwa bungeni? Watanzania hatukubali wezi kupewa muda wa miezi 6 kama nafasi ya kuharibu ushahidi na nafasi ya kutoa rushwa kubwa kwa vyombo vinavyohusika na ufuatiliaji!!
 
Pointi
 
Nimekujibu nikufungue tu akili ili nextime husiandike ujinga kama huu tena,huoni Yote ulioandika umepata like moja tu.
Watanzania sio wajinga tena wamebakia na uhoga tu,nao uoga ukiisha Mama pale ikulu hapakaliki tena.
Kamwambie haache kukumbatia wezi kwa kigezo cha yeye kuvaa Ijabu na kutafta support ya kurudi ikulu 2025.
 
Miezi sita ijayo ndo tutawajua weizi wa pesa hizi! Nchi ya ajabu kabisa hii
 
Spika hatakiwi kuwepo kwenye kiti
 
Mpina ni nani nchi hii mpaka umwamini, yule anabwabwaja tu baada ya kukosa uwaziri. Nawe kasome taratibu za bunge kufanya shughuli zake usilete ushamba wa kisukuma hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…