Ripoti iliyovunja record ya upotevu wa pesa tangu uhuru, inasubiri miezi 6 watu kaadhibiwa! Spika uko siriaz kweli?

Ripoti iliyovunja record ya upotevu wa pesa tangu uhuru, inasubiri miezi 6 watu kaadhibiwa! Spika uko siriaz kweli?

Haya ndio matatizo ya kuwa na Rais ambaye hajawahi kuiomba hiyo nafasi.

Yaani Yuko hapo tu kwa mujibu wa katiba.

Hana uchungu kabisa wa lolote lile anachojali ni kumaliza muda wake tu wa Urais na kugombea Tena.

Samia hayupo serious kabisa na uongozi wa Taifa letu.

Anatuharibia nchi.

She either act or resign. Aache wenye moyo wafanye kazi maana yeye hana moyo huo.
Hv kwa akili yako hapo utadhani Ngosha ndo alikuwa na uchungu na nchi hii!?
Acheni mama ale bata ni wakati wake and you've nothing to do with her...
 
Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2021/2022 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,
Imevunja rekodi? Waimba pambio wa mama hawatakuelewa ujue....!

Kuna mwingine amesema, ni trilioni 33 jumla ya zilizopigwa zote; si kuna zile za mabeberu; mwakani tusipopata za mabeberu, watauana ujue

Tuendelee kuzungumzia 1.5t ya mwendazake
 
Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili

Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2021/2022 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,

Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analoliongoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi? Miezi sita baada ya report, ni fedheha!
Mbona tumeshuhudia mambo kadhaa Bungeni yakisimamisha vikao halali vya kibunge na kuanza kujadiliwa kama jambo la dharula?

Kwa mjibu wa mbunge mh Mpina, ni Karibu Tr 30 zilizopotea na kuibwa, tutakosaje kulifanya jambo hili kuwa la mhimu kujadiliwa kuliko hata bajeti inayojadiliwa?

Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?

Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?

Haya mambo huwenda duniani kote hakuna ila utayakuta Tanzania pekee
Spika alishasema kuwa hamuwezi kuitoa CCM madarakani kwa haki.

Unategemea atakubali haki itendeke kweli?

Tuishi tu maana hakuna namna. Wakianza kutafunana huko ndo haki itaanza kuonekana
 
Hv kwa akili yako hapo utadhani Ngosha ndo alikuwa na uchungu na nchi hii!?
Acheni mama ale bata ni wakati wake and you've nothing to do with her...
Kwa jinsi ulivyo mjinga unaweza kula Bata tu.

Tuna cha kufanya na tunakifanya hapa tunauliza.

Sisi wananchi tunayohaki ya kuuliza, hatutakaa kimya tutaendelea kuuliza hata kama mnaona tunawapigia kelele.
 
Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili

Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2021/2022 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,

Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analoliongoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi? Miezi sita baada ya report, ni fedheha!
Mbona tumeshuhudia mambo kadhaa Bungeni yakisimamisha vikao halali vya kibunge na kuanza kujadiliwa kama jambo la dharula?

Kwa mjibu wa mbunge mh Mpina, ni Karibu Tr 30 zilizopotea na kuibwa, tutakosaje kulifanya jambo hili kuwa la mhimu kujadiliwa kuliko hata bajeti inayojadiliwa?

Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?

Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?

Haya mambo huwenda duniani kote hakuna ila utayakuta Tanzania pekee
Hapa jeshi liko kimya mtu mmoja ama wacenge wachache wanaiharibu nchi yetu na kuwaua watu kimakusudi. Yaani haya Ni mauaji sema jeshi halitetei hata wananchi wake jamani
 
Aliyekataa 2021/22 kuwa Jiwe alishakufa ni nani?
Soma vema mwandishi kaandika ripoti ya mwaka gani ndo urudi tena tuelewane
Ndiyo umjibu kwa hoja sasa. Na wewe unakurupuka tu bila hata haibu!
 
KILAZA WEWE
NARUDIA KILAZA WEWE SUKUMA GANG.
Natamani nisikueleze kwanini wewe ni kilaza ila ngoja tu nisema:
Ripti ya 2022/2023 bado haijafanyiwa kazi.Ripoti iliyopo ni 2021/2022 sjui wewe huko 2022/2023 umepata wapi.
Ila pia sina hakika na akili zako zilizokutuma nusu ya bajeti sijui unamaanisha bajeti ya mwaka ni 2 trillion au unamaanisha nini.
Pia rudi nyuma fungua website ya CAG upitie ripoti za miaka ya walau kuanzia 2015-2021 halafu uje utueleze umeelewa nini
Hii n bajeti iliyoanzia mwaka wa fedha Julai mosi 2021 Hadi Juni 2022. Wakati huu JPM bado alikuwa hai kamanda?. Punguza basi mihemko ukikumbuka kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na Mwisho.
 
Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili

Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2021/2022 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,

Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analoliongoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi? Miezi sita baada ya report, ni fedheha!
Mbona tumeshuhudia mambo kadhaa Bungeni yakisimamisha vikao halali vya kibunge na kuanza kujadiliwa kama jambo la dharula?

Kwa mjibu wa mbunge mh Mpina, ni Karibu Tr 30 zilizopotea na kuibwa, tutakosaje kulifanya jambo hili kuwa la mhimu kujadiliwa kuliko hata bajeti inayojadiliwa?

Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?

Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?

Haya mambo huwenda duniani kote hakuna ila utayakuta Tanzania pekee
Ilibidi ang'olewe . YEYE..
Maana hawezi yawajibisha Mafisadi.
 
Hata mama mwenyewe ni mwizi tu dawa yao hakuna kulipa kodi unalipaje kodi kunafaisha matumbo ya watu huu ni upumbavu naapa tra wakija nawaambia pesa nimetoa wakachukue huko mama na wez wenzake
 
Back
Top Bottom