Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hiki kibibi cha hovyo sn kimewekwa na mafisadiTA- Tulia Ackson! Mlinzi wa mafisadi! TUmsaidie Sugu kuondoa hii takataka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki kibibi cha hovyo sn kimewekwa na mafisadiTA- Tulia Ackson! Mlinzi wa mafisadi! TUmsaidie Sugu kuondoa hii takataka!
Hv kwa akili yako hapo utadhani Ngosha ndo alikuwa na uchungu na nchi hii!?Haya ndio matatizo ya kuwa na Rais ambaye hajawahi kuiomba hiyo nafasi.
Yaani Yuko hapo tu kwa mujibu wa katiba.
Hana uchungu kabisa wa lolote lile anachojali ni kumaliza muda wake tu wa Urais na kugombea Tena.
Samia hayupo serious kabisa na uongozi wa Taifa letu.
Anatuharibia nchi.
She either act or resign. Aache wenye moyo wafanye kazi maana yeye hana moyo huo.
Imevunja rekodi? Waimba pambio wa mama hawatakuelewa ujue....!Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2021/2022 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,
Spika alishasema kuwa hamuwezi kuitoa CCM madarakani kwa haki.Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili
Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2021/2022 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,
Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analoliongoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi? Miezi sita baada ya report, ni fedheha!
Mbona tumeshuhudia mambo kadhaa Bungeni yakisimamisha vikao halali vya kibunge na kuanza kujadiliwa kama jambo la dharula?
Kwa mjibu wa mbunge mh Mpina, ni Karibu Tr 30 zilizopotea na kuibwa, tutakosaje kulifanya jambo hili kuwa la mhimu kujadiliwa kuliko hata bajeti inayojadiliwa?
Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?
Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?
Haya mambo huwenda duniani kote hakuna ila utayakuta Tanzania pekee
Kwa jinsi ulivyo mjinga unaweza kula Bata tu.Hv kwa akili yako hapo utadhani Ngosha ndo alikuwa na uchungu na nchi hii!?
Acheni mama ale bata ni wakati wake and you've nothing to do with her...
Hata kama kulipiza huku ni balaa aisee,tena balaa sanaaWatu walilipizia ile miaka mitano ya Magufuli waliyokuwa wanaogopa kuiba.
Hapa jeshi liko kimya mtu mmoja ama wacenge wachache wanaiharibu nchi yetu na kuwaua watu kimakusudi. Yaani haya Ni mauaji sema jeshi halitetei hata wananchi wake jamaniUkisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili
Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2021/2022 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,
Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analoliongoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi? Miezi sita baada ya report, ni fedheha!
Mbona tumeshuhudia mambo kadhaa Bungeni yakisimamisha vikao halali vya kibunge na kuanza kujadiliwa kama jambo la dharula?
Kwa mjibu wa mbunge mh Mpina, ni Karibu Tr 30 zilizopotea na kuibwa, tutakosaje kulifanya jambo hili kuwa la mhimu kujadiliwa kuliko hata bajeti inayojadiliwa?
Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?
Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?
Haya mambo huwenda duniani kote hakuna ila utayakuta Tanzania pekee
Umenifanya nitamani wajeda kutoa tamko litakalofaya report hiyo ijadiliwe sasa hivi.Samtaim hua nawaza ingekua inawezekana Wajeda wangechukua nchi watupelekeshe miaka mitano tu.
Sidhani kuwa tatizo uwezo mdogo. Nadhani tatizo ni uhusika wao katika upigaji.hao hawafai ndo wataiba mara 3 ya hawa
sema mama, spika, pm, uwezo wao uko chini mnoooooo
Ndiyo umjibu kwa hoja sasa. Na wewe unakurupuka tu bila hata haibu!Aliyekataa 2021/22 kuwa Jiwe alishakufa ni nani?
Soma vema mwandishi kaandika ripoti ya mwaka gani ndo urudi tena tuelewane
Hii n bajeti iliyoanzia mwaka wa fedha Julai mosi 2021 Hadi Juni 2022. Wakati huu JPM bado alikuwa hai kamanda?. Punguza basi mihemko ukikumbuka kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na Mwisho.KILAZA WEWE
NARUDIA KILAZA WEWE SUKUMA GANG.
Natamani nisikueleze kwanini wewe ni kilaza ila ngoja tu nisema:
Ripti ya 2022/2023 bado haijafanyiwa kazi.Ripoti iliyopo ni 2021/2022 sjui wewe huko 2022/2023 umepata wapi.
Ila pia sina hakika na akili zako zilizokutuma nusu ya bajeti sijui unamaanisha bajeti ya mwaka ni 2 trillion au unamaanisha nini.
Pia rudi nyuma fungua website ya CAG upitie ripoti za miaka ya walau kuanzia 2015-2021 halafu uje utueleze umeelewa nini
Hakuna kipindi ambacho watu waliiba kama kipindi cha MagufuliWatu walilipizia ile miaka mitano ya Magufuli waliyokuwa wanaogopa kuiba.
Ngoja tujitafute mkuuMaandamano lini? Acheni kulalamika
Ilibidi ang'olewe . YEYE..Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili
Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2021/2022 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,
Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analoliongoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi? Miezi sita baada ya report, ni fedheha!
Mbona tumeshuhudia mambo kadhaa Bungeni yakisimamisha vikao halali vya kibunge na kuanza kujadiliwa kama jambo la dharula?
Kwa mjibu wa mbunge mh Mpina, ni Karibu Tr 30 zilizopotea na kuibwa, tutakosaje kulifanya jambo hili kuwa la mhimu kujadiliwa kuliko hata bajeti inayojadiliwa?
Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?
Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?
Haya mambo huwenda duniani kote hakuna ila utayakuta Tanzania pekee
Kenya kuna mijizi kibao lakini jamii iko sensitive! Kwa tamko la tulia saa hizi ingekuwa hapa NRB barabara zingefurika akidaiwa aachie ngazi haraka! Hivi Tz tumelogwa?Hiki kibibi cha hovyo sn kimewekwa na mafisadi