Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Katika Ripoti yake iliyotolewa leo, CAG amesema hivi, Nanukuu "Napendekeza Iundwe Tume Huru ya kuchunguza uwezekano wa ukiukwaji wa Maadili na Matumizi Mabaya ya Ofisi ya Umma katika mchakato wa kukiri kosa na kutaifisha mali za watuhumiwa" Mwisho wa kunukuu.
Mimi binafsi naunga mkono hoja hii na ninaamini wapenda haki wote Tanzania wataunga mkono jambo hili.
Halafu Tume hii ikiundwa haitakuwa na kazi ngumu sana, wahusika wote wa jambo hili bado wako hai na wanapatikana kirahisi tu, wengine ni hawa mnawaona pichani, hawa wote wako hai na wangali maofisini.
--
Pia soma > Rais Samia: Nyuma kidogo pesa za plea bargaining nyingine uki-trace uliambiwa kuna akaunti China
CAG Charles Kichere
Mimi binafsi naunga mkono hoja hii na ninaamini wapenda haki wote Tanzania wataunga mkono jambo hili.
Halafu Tume hii ikiundwa haitakuwa na kazi ngumu sana, wahusika wote wa jambo hili bado wako hai na wanapatikana kirahisi tu, wengine ni hawa mnawaona pichani, hawa wote wako hai na wangali maofisini.
--
Pia soma > Rais Samia: Nyuma kidogo pesa za plea bargaining nyingine uki-trace uliambiwa kuna akaunti China
CAG Charles Kichere