Ripoti ya CAG 2021-2022: CAG apendekeza iundwe Tume Huru kuchunguza ukiukwaji kwenye Plea Bargain

Ripoti ya CAG 2021-2022: CAG apendekeza iundwe Tume Huru kuchunguza ukiukwaji kwenye Plea Bargain

Pesa zinapoteaje kirahisi hivyo na ikiwa wahusika wengine wapo kwenye mnyororo wa kulamba asali , wasituone wajinga. Sheria ifuate mkondo wake kwa walio husika kuzikwepesha lakini tusichafue taswira za watangulizi kwani wa Chini Yao walishindwa kutoa ushauri mzuri au waseme kama walishurutishwa pia wawe na ushahidi kamili.
 
Tutaishia na kuona,kusoma ya (PESA ZA UMMA ZIMEIBIWA,ZIMEYEYUKA)
lakini mwisho wa siku hakuna hatua inayochukuliwa

Ova
Mitaani watu waendelee kukamata wezi wa kuku na kufumaniana.Wakiona wananchi hawazungumzii masuala yanayowagusa moja kwa moja,wanaanzisha isssues za ushoga ili kuwaondoa umakini.Puzzles!
 
Hakika hii NCHI Umdhaniea Ndio kumbe sio na Umdhaniae SIO kumbe NDIO
REPORT ya MKUGUZI MKUU wa HESABU za SERIKALI CAG kaikabidhi REPORT yake ya MAHESABU ya SERIKALI kwa MH.RAIS kwa MUJIBU ws KATIBA.MADUDU tumeyasikia hakika Hii NCHI INAIBIWA sana na WATU waliopewa MAJUKUMU ya KUKUSANYA na KUTUNZA FEDHA za SERIKALI.
Inasikitisha sana kuona WATU WACHACHE wanaiba FEDHA nyingi ambazo zingewanufaisha WANANCHI WENGI lakini SERIKALI imekaa KIMYA kama vile HAKUNA KILICHOIBIWA.MDHIBITI na MKAGUZI MKUU wa FEDHA za SERIKALI CAG kafanya UCHUNGUZI wake na KUBAINI WIZI MKUBWA wa FEDHA za PLEA BARGAING ulivyofanyika .Zinakusanywa BIL.6 lakini BIL.1 ndio inapelekwa HAZINA
Kuna kipindi MH.RAIS alisema kuna AKAUNTI ya Fedha hizo imefunguliwa Nchini CHINA ukweli UCHUNGUZI ufanyike ili UKWELI wa FEDHA hizo UJULIKANE.
Pia CAG kazungumzia BIL.11 zilivyoyeyuka ktk HALMASHAURI ZETU huko nako UCHUNGUZI Ufanyike WAHUSIKA Wafikisgwe kwenye MAHAKAMA za UFISADI.
Kuna Mashirika kama ATCL TANESCO na TTCL kila siku NI HASARA TU binafsi naamini ni WIZI ndio MKUBWA kwenye MASHIRIKA HAYO
OMBI kwa VYAMA vya UPINZANI kwa Kuwa BUNGE letu limeshindwa KUIBANA SERIKALI juu ya UFISADI MKUBWA kama huu Tunawaomba WAPINZANI MPAZE SAUTI ZENU ili UCHUNGUZI UFANYIKE na WAHUSIKA Wafikishwe Kwenye MAHAKAMA ya MAFISADI ili Mafisadi wengine WAOGOPE kuiba FEDHA za UMMA.
JamiiForums1814050645.jpg
JamiiForums839866055.jpg
JamiiForums-671446292.jpg
 
Kama CAG kagundua hivyo ulitaka akae kimya? Ukinijibu hili swali sawasawa, nami nitakuunga mkono ktk hoja yako hiyo.
Kwani hii ripoti iliyosomwa ni ya mwaka gani? Mbona hizo maswala ya plea bargain na ndege ni masuala ya mwaka 2021/22...

Mbona hajasoma ripoti ya madudu ya mwaka 2022/2023...si ndio ya mwaka husika wa fedha..?

Siasa tu...hamna lolote...
 
Kwani hii ripoti iliyosomwa ni ya mwaka gani? Mbona hizo maswala ya plea bargain na ndege ni masuala ya mwaka 2021/22...

Mbona hajasoma ripoti ya madudu ya mwaka 2022/2023...si ndio ya mwaka husika wa fedha..?

Siasa tu...hamna lolote...
Mwaka wa fedha wa 2022/2023 haujakamilika. Ripoti yake inatoka mwakani. Kumbe tatizo lako ni uelewa. Mahaba yako kwa mtu yasifunike uhalisia.
 
Back
Top Bottom