ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,716
- 2,388
Hakuna ishu hapo, usiweke expectations kubwa.Watu wanaenda kuumbuka. Mtakimbiliq wapi
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ishu hapo, usiweke expectations kubwa.Watu wanaenda kuumbuka. Mtakimbiliq wapi
Hivi wewe, hayo mabasi 200 unayosema isijekuwa yanaagizwa toka kulekule China, ambako tulishaaambiwa pesa za ' plea bargaining' zilifichwa ... HahahaaaWacha weeeee !!!
Duh sio kwa povu hilo!Huyu bibi aache usengelema, mpaka sasa ni mwaka 2023 bado tu anahangaika na kumchafua marehemu. Wachunguze wanachunguza nini? Plea bargaining mwaka 2021 kurudi huko nyuma ndio ichunguzwe leo? Ufisadi wa kutisha unaofanyika katika serikali inayojiita awamu ya 6 utachunguzwa lini? Yeye si alisema anafahamu pesa za plea bargain ziko benki China sasa wanachunguza nini tena? Si awakamate wahusika kama kweli?
Hapana, wengine tuna akili timamu. Magufuli mwizi kawajibishwa nani? Wezi ni wao wanahamisha magoli tu. Bibi alisema anafahamu pesa zimefichwa China na account anaijua, sasa kwanini hawajibishi mtu yoyote kama ni kweli?Duh sio kwa povu hilo!
Yaani hamtaki kabisa watu wataje wizi wa Magufuli
Tuambie huyu Ngosha wenu aliwahi kumwajibisha nani serikalini kwa ufisadiHapana, wengine tuna akili timamu. Magufuli mwizi kawajibishwa nani? Wezi ni wao wanahamisha magoli tu. Bibi alisema anafahamu pesa zimefichwa China na account anaijua, sasa kwanini hawajibishi mtu yoyote kama ni kweli?
Ripoti itatoka kuwa mpoleAngalia kina zitto wanakomalia bilioni 3 za plea bagain wakati kuna watu wamechota mabilioni awamu hii!
Huu ndio upumbavu ninao sema mimi
Uko serious na hilo swali? Umeanza kufuatilia siasa za Tz jana nini?Tuambie huyu Ngosha wenu aliwahi kumwajibisha nani serikalini kwa ufisadi
Nakaziabinafsi naunga mkono hoja
We jibu tu ni kina nani?Uko serious na hilo swali? Umeanza kufuatilia siasa za Tz jana nini?
Ngoja tuone...
Nakazia
Kwa nini iundwe tume tuendelee kupoteza hela kwani kazi yake ni nini si kasha maliza yote ifanyiwe tu kazi wausika wote wanajulikana kwa nini mlolongo mrefuKatika Ripoti yake iliyotolewa leo, CAG amesema hivi, Nanukuu "Napendekeza Iundwe Tume Huru ya kuchunguza uwezekano wa ukiukwaji wa Maadili na Matumizi Mabaya ya Ofisi ya Umma katika mchakato wa kukiri kosa na kutaifisha mali za watuhumiwa" Mwisho wa kunukuu.
Mimi binafsi naunga mkono hoja hii na ninaamini wapenda haki wote Tanzania wataunga mkono jambo hili.
Halafu Tume hii ikiundwa haitakuwa na kazi ngumu sana, wahusika wote wa jambo hili bado wako hai na wanapatikana kirahisi tu, wengine ni hawa mnawaona pichani, hawa wote wako hai na wangali maofisini.
--
Pia soma > Rais Samia: Nyuma kidogo pesa za plea bargaining nyingine uki-trace uliambiwa kuna akaunti China
View attachment 2570026
CAG Charles Kichere
Nonsense, huyu bibi ajiuzulu tu.Bwana jiwe angekuwepo, two things would have been involved;
1. Eidha ripoti isingesomwa au ingeletwa nyingine;
2. Kama ingesomwa kama ilivyosomwa, bwana Kichere yangemkuta ya Assad
Ni maoni tu .Kwa nini iundwe tume tuendelee kupoteza hela kwani kazi yake ni nini si kasha maliza yote ifanyiwe tu kazi wausika wote wanajulikana kwa nini mlolongo mrefu
Aliyezichukua kaandika details za uongo...