Ripoti ya CAG 2021-2022: CAG apendekeza iundwe Tume Huru kuchunguza ukiukwaji kwenye Plea Bargain

Ripoti ya CAG 2021-2022: CAG apendekeza iundwe Tume Huru kuchunguza ukiukwaji kwenye Plea Bargain

Majizi aijalishi yalikuwa awamu ipi huyo TAKUKURU achunguze tu kama kuna watu walijitajirishia huko.

Lakini ukweli unabaki palepale hakuna mtu alielazimishwa kuingia kwenye plea bargain (mfano Rugemalila, hakutaka).

Wengi walioingia kwenye hayo makubaliano ni majizi in the first place ambayo hayakutaka kukaa jela, yanashutuma ya ubadhirifu wa mali za umma, wenye ushahidi na yenyewe yakadhulumiwa na majizi mengine ili yasiende jela.

Hizo mali na hela walitoa kwa ridhaa zao wenyewe ili waachiwe baada ya kukutwa na kesi ya kujibu. Sasa kama na DPP nae alikuwa na syndicate yake achunguzwe tu. Lakini tuache kuongelea kama vile hawa watu walioingia plea bargain walikuwa innocent victims, hapana hii na yenyewe wengi wao ni majizi pia.
Kabisa !!
 
Yego Biswalo, fanya juu chini ukimbie musoma fasta ukawaone wazee, inaonekana huyu bundi sio wa kawaida, ni wa kutumwa kishirikina, na Kila siku analia kwenye dirisha la chumba unacholala. Cha ajabu analia usiku na mchana, haogopi hata watu wanaopita, tena akiona watu ndio analia kwa sauti kubwa ya uchuro. Macho kayatumbua Wala hayapepesi kama mwali kigoli

Heeee!!! Bundi gani huyu jamani mwana wa Mai!!? mwana wasu!!!

Sasa sijui anatabiri kifo Cha mtu au Cha ajira ya mtu!
 
Tutaishia na kuona,kusoma ya (PESA ZA UMMA ZIMEIBIWA,ZIMEYEYUKA)
lakini mwisho wa siku hakuna hatua inayochukuliwa

Ova
Abracadabra tu ! Funika kombe mwana……… apite !! Mijitu ilikuwa inabeba mihela kwenye sandarusi na kugawa mabilioni wengine wakawa wanadai hizo ni pesa za mboga tu ! Hakuna chochote kilichofanyika !
 
Kumbe ni bilioni 3 tu

Kelele zote kumbe ni bilioni 3?

Bilioni 3 mbona awamu hii huo ni ufisadi wa afisa elimu pekee?

Waache upumbavu
Mkuu 3b ni kidogo? Wanyonge tunakuangalia ujue? Sasa kama utawala wa sasa unachukua zaidi ya hizi, hii ndio kuhalalisha kubwa kwa hizi 3b mkuu?[emoji24]
 
Huyu bibi aache usengelema, mpaka sasa ni mwaka 2023 bado tu anahangaika na kumchafua marehemu. Wachunguze wanachunguza nini? Plea bargaining mwaka 2021 kurudi huko nyuma ndio ichunguzwe leo? Ufisadi wa kutisha unaofanyika katika serikali inayojiita awamu ya 6 utachunguzwa lini? Yeye si alisema anafahamu pesa za plea bargain ziko benki China sasa wanachunguza nini tena? Si awakamate wahusika kama kweli?
Hahaa mkuu kinachotakiwa kusomwa sasa ndicho chenye taarifa za marehemu sio kwamba anatafutwa ndio wakati wa taarifa yake kujadiliwa umefika. Nimeumia sana kuona mtetezi wetu wanyonge alikuwa alitunyonga huku tukimuimbia pambio za ushujaa hahaa
 
Hahaa mkuu kinachotakiwa kusomwa sasa ndicho chenye taarifa za marehemu sio kwamba anatafutwa ndio wakati wa taarifa yake kujadiliwa umefika. Nimeumia sana kuona mtetezi wetu wanyonge alikuwa alitunyonga huku tukimuimbia pambio za ushujaa hahaa
Kumbe
 
Mkuu 3b ni kidogo? Wanyonge tunakuangalia ujue? Sasa kama utawala wa sasa unachukua zaidi ya hizi, hii ndio kuhalalisha kubwa kwa hizi 3b mkuu?[emoji24]
Angalia kina zitto wanakomalia bilioni 3 za plea bagain wakati kuna watu wamechota mabilioni awamu hii!

Huu ndio upumbavu ninao sema mimi
 
Back
Top Bottom