Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Watu wa Serikali yake je ?!!Hapa Magufuli na watu wake hawachomoki
Kabisa !!Majizi aijalishi yalikuwa awamu ipi huyo TAKUKURU achunguze tu kama kuna watu walijitajirishia huko.
Lakini ukweli unabaki palepale hakuna mtu alielazimishwa kuingia kwenye plea bargain (mfano Rugemalila, hakutaka).
Wengi walioingia kwenye hayo makubaliano ni majizi in the first place ambayo hayakutaka kukaa jela, yanashutuma ya ubadhirifu wa mali za umma, wenye ushahidi na yenyewe yakadhulumiwa na majizi mengine ili yasiende jela.
Hizo mali na hela walitoa kwa ridhaa zao wenyewe ili waachiwe baada ya kukutwa na kesi ya kujibu. Sasa kama na DPP nae alikuwa na syndicate yake achunguzwe tu. Lakini tuache kuongelea kama vile hawa watu walioingia plea bargain walikuwa innocent victims, hapana hii na yenyewe wengi wao ni majizi pia.
Hivi huyo mtu au watu TRA wanawajua ? Je wanalipa kodi inavyotakiwa ? !Kuna watu/mtu wanaomiliki mabasi yenye jina la kike, wameagiza 200 kwa mpigo
Per diem !!Tume ni lini zikaja na jambo la maana, ndio imeisha hivyo.
Abracadabra tu ! Funika kombe mwana……… apite !! Mijitu ilikuwa inabeba mihela kwenye sandarusi na kugawa mabilioni wengine wakawa wanadai hizo ni pesa za mboga tu ! Hakuna chochote kilichofanyika !Tutaishia na kuona,kusoma ya (PESA ZA UMMA ZIMEIBIWA,ZIMEYEYUKA)
lakini mwisho wa siku hakuna hatua inayochukuliwa
Ova
Labda ule mwaka wa pesa zilizokuwa zikibebwa kwenye masandarusi kutoka kibenki ambacho sijui kama bado kipo pale kariakoo mpaka sasa !!Too much speculations. Mwaka upi report ya CAG haikusomwa?
😂Labda ule mwaka wa pesa zilizokuwa zikibebwa kwenye masandarusi kutoka kibenki ambacho sijui kama bado kipo pale kariakoo mpaka sasa !!
Mkuu 3b ni kidogo? Wanyonge tunakuangalia ujue? Sasa kama utawala wa sasa unachukua zaidi ya hizi, hii ndio kuhalalisha kubwa kwa hizi 3b mkuu?[emoji24]Kumbe ni bilioni 3 tu
Kelele zote kumbe ni bilioni 3?
Bilioni 3 mbona awamu hii huo ni ufisadi wa afisa elimu pekee?
Waache upumbavu
Hahaa mkuu kinachotakiwa kusomwa sasa ndicho chenye taarifa za marehemu sio kwamba anatafutwa ndio wakati wa taarifa yake kujadiliwa umefika. Nimeumia sana kuona mtetezi wetu wanyonge alikuwa alitunyonga huku tukimuimbia pambio za ushujaa hahaaHuyu bibi aache usengelema, mpaka sasa ni mwaka 2023 bado tu anahangaika na kumchafua marehemu. Wachunguze wanachunguza nini? Plea bargaining mwaka 2021 kurudi huko nyuma ndio ichunguzwe leo? Ufisadi wa kutisha unaofanyika katika serikali inayojiita awamu ya 6 utachunguzwa lini? Yeye si alisema anafahamu pesa za plea bargain ziko benki China sasa wanachunguza nini tena? Si awakamate wahusika kama kweli?
KumbeHahaa mkuu kinachotakiwa kusomwa sasa ndicho chenye taarifa za marehemu sio kwamba anatafutwa ndio wakati wa taarifa yake kujadiliwa umefika. Nimeumia sana kuona mtetezi wetu wanyonge alikuwa alitunyonga huku tukimuimbia pambio za ushujaa hahaa
Hukiipata nafasi hutafanya kosa.Wasomi na watumishi wezi.
Jiwe alikuwa fala sana yanBwana jiwe angekuwepo, two things would have been involved;
1. Eidha ripoti isingesomwa au ingeletwa nyingine;
2. Kama ingesomwa kama ilivyosomwa, bwana Kichere yangemkuta ya Assad
Siku nyingi yanJiwe angekuwa hai, CAG angeshapotezwa
Angalia kina zitto wanakomalia bilioni 3 za plea bagain wakati kuna watu wamechota mabilioni awamu hii!Mkuu 3b ni kidogo? Wanyonge tunakuangalia ujue? Sasa kama utawala wa sasa unachukua zaidi ya hizi, hii ndio kuhalalisha kubwa kwa hizi 3b mkuu?[emoji24]
Jikite kwenye madaAngalia kina zitto wanakomalia bilioni 3 za plea bagain wakati kuna watu wamechota mabilioni awamu hii!
Huu ndio upumbavu ninao sema mimi
Kuwaje kuhusu nini?Sasa yule Dotto,DPP wa Magufuli itakuwaje ?