Ripoti ya CAG 2021-2022: CAG apendekeza iundwe Tume Huru kuchunguza ukiukwaji kwenye Plea Bargain

Ripoti ya CAG 2021-2022: CAG apendekeza iundwe Tume Huru kuchunguza ukiukwaji kwenye Plea Bargain

Huyu bibi aache usengelema, mpaka sasa ni mwaka 2023 bado tu anahangaika na kumchafua marehemu. Wachunguze wanachunguza nini? Plea bargaining mwaka 2021 kurudi huko nyuma ndio ichunguzwe leo? Ufisadi wa kutisha unaofanyika katika serikali inayojiita awamu ya 6 utachunguzwa lini? Yeye si alisema anafahamu pesa za plea bargain ziko benki China sasa wanachunguza nini tena? Si awakamate wahusika kama kweli?
 
Hawa Jamaa walikusnaya 6.1 b wakapeleka 1.3 B tuu zingine 3.7 zote wamepiga
Juzi walisema zipo China. Leo wanasema zilikusanywa 6.1 na zilizopo hazina ni 1.3.

Swali, zilitoka lini huko China na kuletwa hazina?

Ziliingia akaunti gani wakati wa ukusanyaji kabla ya kuja hazina 1.3?

Nani controler wa huo mfuko/akaunti zilipoingia hizo 6.1.?

Nani aliruhusu iingie hazina 1.3?
 
Juzi walisema zipo China. Leo wanasema zilikusanywa 6.1 na zilizopo hazina ni 1.3.

Swali, zilitoka lini huko China na kuletwa hazina?

Ziliingia akaunti gani wakati wa ukusanyaji kabla ya kuja hazina 1.3?

Nani controler wa huo mfuko/akaunti zilipoingia hizo 6.1.?

Nani aliruhusu iingie hazina 1.3?
Uwe unaelewa hicho kiasi ambacho hakikupelekwa Serikalini ndio wameficha maeneo mbalimbali
 
Hii italeta tafrani kubwa sana kutoka kwa mataga walinda legasi
Hii ni ripoti ya mama enu. Mnadhani mnamshambulia Magu kumbe ni mama yenu.

Juzi alisema pesa zipo china. Kumbe alijua jamaa zake wamepiga. Leo kaumbuliwa kuwa pesa zilikuwepo ila wajanja wake wamezipiga.
 
Hii ni ripoti ya mama enu. Mnadhani mnamshambulia Magu kumbe ni mama yenu.

Juzi alisema pesa zipo china. Kumbe alijua jamaa zake wamepiga. Leo kaumbuliwa kuwa pesa zilikuwepo ila wajanja wake wamezipiga.
Uzuri wa mama Huwa anachukua hatua, Mwendazake alikuwa anafukiza CAG,Hadi Leo hii 1.5T hazina maelezo na wamekaa kimya Kwa vile waligawana huko ccm.

Mama atachukua hatua subilia maazimia ya Bunge utaona.
 
Unajua hesabu vzr??..
4.8 Wametafuna hao mbwa wa Sukuma gang
Screenshot_20230329-140019.jpg
 
Hakuna kitu hapo
Na ipo haja gani kuunda tume huru eti ya kuchunguza plea bargaining ilihali waliohusika karibu wote wapo na pesa inasemekana wanajua zilipo??!! Mbona wezi wengine hawaundiwi tume ??! Evidence ipo wapelekeni mahakamani na wachina ni marafiki zetu waombeni zile pesa zirudishwe !! Kinyume na hapo hizi ni Abracadabra tu !! Ndio maana Wanasemaga Haters gonna hate hata iweje !!
 
Huyu bibi aache usengelema, mpaka sasa ni mwaka 2023 bado tu anahangaika na kumchafua marehemu. Wachunguze wanachunguza nini? Plea bargaining mwaka 2021 kurudi huko nyuma ndio ichunguzwe leo? Ufisadi wa kutisha unaofanyika katika serikali inayojiita awamu ya 6 utachunguzwa lini? Yeye si alisema anafahamu pesa za plea bargain ziko benki China sasa wanachunguza nini tena? Si awakamate wahusika kama kweli?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Katika Ripoti yake iliyotolewa leo, CAG amesema hivi, Nanukuu "Napendekeza Iundwe Tume Huru ya kuchunguza uwezekano wa ukiukwaji wa Maadili na Matumizi Mabaya ya Ofisi ya Umma katika mchakato wa kukiri kosa na kutaifisha mali za watuhumiwa" Mwisho wa kunukuu.

Mimi binafsi naunga mkono hoja hii na ninaamini wapenda haki wote Tanzania wataunga mkono jambo hili.

Halafu Tume hii ikiundwa haitakuwa na kazi ngumu sana, wahusika wote wa jambo hili bado wako hai na wanapatikana kirahisi tu, wengine ni hawa mnawaona pichani, hawa wote wako hai na wangali maofisini.

--
Pia soma > Rais Samia: Nyuma kidogo pesa za plea bargaining nyingine uki-trace uliambiwa kuna akaunti China

View attachment 2570026
CAG Charles Kichere​
Kuna watu/mtu wanaomiliki mabasi yenye jina la kike, wameagiza 200 kwa mpigo
 
Katika Ripoti yake iliyotolewa leo, CAG amesema hivi, Nanukuu "Napendekeza Iundwe Tume Huru ya kuchunguza uwezekano wa ukiukwaji wa Maadili na Matumizi Mabaya ya Ofisi ya Umma katika mchakato wa kukiri kosa na kutaifisha mali za watuhumiwa" Mwisho wa kunukuu.

Mimi binafsi naunga mkono hoja hii na ninaamini wapenda haki wote Tanzania wataunga mkono jambo hili.

Halafu Tume hii ikiundwa haitakuwa na kazi ngumu sana, wahusika wote wa jambo hili bado wako hai na wanapatikana kirahisi tu, wengine ni hawa mnawaona pichani, hawa wote wako hai na wangali maofisini.

--
Pia soma > Rais Samia: Nyuma kidogo pesa za plea bargaining nyingine uki-trace uliambiwa kuna akaunti China

View attachment 2570026
CAG Charles Kichere​
Team magufuri watapinga
 
Back
Top Bottom