stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja ya mambo yaliyokera ni hili la TRC.Hii taarifa kubwa kabisa na ya kusikitisha iliyotolewa na CAG leo tarehe 29.03.2023 mbele ya Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania DR.Samia suluhu hassani...
Kila mwaka ripoti hutolewa mwezi wa 3,acha fixHii report imeachiliwa kwamakusudi maalumu ambayo wanayafahamu wenyewe. Tusubiri wajuzi wa siasa watufumbue.
Je mamlaka ya uteuzi haiwezi kuzuia baadhi ya uchafu tunaouona? Jadili kulingana na siasa za TZ.Kila mwaka ripoti hutolewa mwezi wa 3,acha fix
siyo mbowe wala zitto mkabwela atakayeongelea hiiHii report imeachiliwa kwamakusudi maalumu ambayo wanayafahamu wenyewe. Tusubiri wajuzi wa siasa watufumbue.
Hebu tueleweshe na sisi ni makusudi gani hayo? Maana hizi ni taarifa za kila mwaka kutoka kwa CAGHii report imeachiliwa kwamakusudi maalumu ambayo wanayafahamu wenyewe. Tusubiri wajuzi wa siasa watufumbue.
Itazuiaje wakati michakato yote hufanywa na taasisi husika na wao ndio Wataalamu?Je mamlaka ya uteuzi haiwezi kuzuia baadhi ya uchafu tunaouona? Jadili kulingana na siasa za TZ.
Akamatwe aliyepo haraka iwezekanavyo, mali zake zipigwe mnada, fedha irudi ilipie vijana wetu wanaokosa mikopo ya elimu ya juu.Huo ni mchongo wa Kadogosa na Mwendazake
Ccm 2025 mtupishe
Hata ya Sasa Haina hicho kipengele shida ni kwamba utekelezaji wa Katiba hasa kuchukua maamuzi inategemea utashi wa RaisKatiba ijayo lazma tuweke kipengele cha Raisi kutowalinda wezi. Kama akishindwa kumchukulia hatua mtuhumiwa yeyote yule ama kumuwajibisha basi nae atoke hatufai.
Mahakama zipo, wasimamia haki wapo na wakamataji wapo.