Ripoti ya CAG 2021-2022: TRC ilimkataa mzabuni wa Tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi

Ripoti ya CAG 2021-2022: TRC ilimkataa mzabuni wa Tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi

Hii taarifa kubwa kabisa na ya kusikitisha iliyotolewa na CAG leo tarehe 29.03.2023 mbele ya Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania DR.Samia suluhu hassani kwamba ununuzi wa mabehewa kuna ubadhilifu mkubwa ulifanyika ambapo zaidi ya mabilion ya fedha yamekwapuliwa.

Mimi kwa maoni yangu ni vizuri raisi pamoja kwamba amesema wampishe basi watu hao kunakila sababu ya kukamatwa na kuhojiwa kuhusiana na ubadhilifu huo , pesa zaumma haziwezi kuwa zinakwapuliwa halafu watu wapo na wanaona sawa kwa waliyoyafanya. hii haikubaliki hata kidogo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2570240
Ndo maana huwa tunauliza mikopo yote ya samia huwa inaenda wapi .ukiangalia hiyo sindicate ni mnyororo wa upigaji .na kuna siku raisi alisema ukishindwa bid kubali tu ili miradi isikwame
 
Bil 600 to Tril 1


Personal Interest
Lakini hatufuatilii mambo kabisa .samia mwenyewe ndo alitoa haya maelekezo kuwa biding process ni za haki na mtu akishindwa awe anakubali tu maana miradi inakwama kabisa
 

CAG: TRC ilimkataa mzabuni wa tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi​


Haya madudu haya alafu watu wamechukua chubuu maana wanajua hakuna watakachofanywa yataishia mdomoni tu alafu imetoka hio pesa wanazila, sitaki kutukana ila pumbavu stupid haiwezekani
Huyu wa 616.4 hakutoa rushwa ya maana
 
Katiba ijayo lazma tuweke kipengele cha Raisi kutowalinda wezi. Kama akishindwa kumchukulia hatua mtuhumiwa yeyote yule ama kumuwajibisha aliyefanya ufisadi basi nae atoke hatufai. Hatuitaji tume wala ushuzi ni fasta mtu akasomewe mashitaka kesi iishe. Hatuwezi kuendelea kulipa kodi halafu zinapokusanywa zinaenda kuchezewa na wahuni wachache walio kwenye mamlaka za serikali.

Mahakama zipo, wasimamia haki wapo na wakamataji wapo. Tatizo ni lipi Raisi ashindwe kusema flani out. Hii ndio adha ya kuweka madarakani kwa ushkaji.
Hata hii hairuhusu mkuu ni uwajibikaji magufuli alipoingia kulikuwa na tenda dar moro akafutilia mbali na sababu za msingi ni mchakato kugubikwa na rushwa kwa kiwango cha juu
 
Katiba ijayo lazma tuweke kipengele cha Raisi kutowalinda wezi. Kama akishindwa kumchukulia hatua mtuhumiwa yeyote yule ama kumuwajibisha aliyefanya ufisadi basi nae atoke hatufai. Hatuitaji tume wala ushuzi ni fasta mtu akasomewe mashitaka kesi iishe. Hatuwezi kuendelea kulipa kodi halafu zinapokusanywa zinaenda kuchezewa na wahuni wachache walio kwenye mamlaka za serikali.

Mahakama zipo, wasimamia haki wapo na wakamataji wapo. Tatizo ni lipi Raisi ashindwe kusema flani out. Hii ndio adha ya kuweka madarakani kwa ushkaji.
Hata hii hairuhusu mkuu ni uwajibikaji magufuli alipoingia kulikuwa na tenda dar moro akafutilia mbali na sababu za msingi ni mchakato kugubikwa na rushwa kwa kiwango cha juu
 
trill 1.1 - bil 666 = bil 400

kama hesabu ziko sawa maana yake hizo bil 400 watu wamepiga faster faster..

Bil 400 = km 400 za barabara, almost Dar to Moshi mkeka bila pressure huo.

Halafu kuna jitu siku moja litakuja kuandika kitabu na kuomba samahani, utasikia eti zilikuwa zinatafutwa hela za uchaguzi kwaajili ya CCM..
 
Shida ya Mitanzania Huwa hailalamiki.kwa sababu Ina uchungu Bali ni Kwa sababu wivu kiasi kwamba nalo.likiwekwa kinafanya hayo hayo,bila Sheria Kali Mbongo haendi.
Yeah huo ndio ukweli. Mtu analalamika akiwa nje ya mfumo akialikwa tu mesi anasahau kabisa kwamba hilo linalofanyika sio sahihi ila as long as ananufaika atakaa kimya akiwasengenya mnaolalamika nje ya mesi.
 
Mlivyokuwa mnaambiwa yule jamaa alikuwa anakaa nazo mwenyewe hela mfukoni na hakuna cha procurement process wala ujinga ujinga mlikuwa mnamuita dikteta.
 

CAG: TRC ilimkataa mzabuni wa tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi​


Haya madudu haya alafu watu wamechukua chubuu maana wanajua hakuna watakachofanywa yataishia mdomoni tu alafu imetoka hio pesa wanazila, sitaki kutukana ila pumbavu stupid haiwezekani

Bandari ya Bagamoyo je?!
 
Tungetegemea sasa kuona wanasiasa wanaitisha maandamano kesho kushinikiza wezi wa mali za umma wachukuliwe hatua kali ikiwemo wale waliotajwa kwenye report ya CAG.

Tulitegemea kesho watu waingie barabarani kushinikiza mawaziri wenye hizo wizara wote wajiuzuru nafasi zao na kuchunguzwa dhidi ya tuhumu za ubadhirifu.
 
Back
Top Bottom