Ripoti ya CAG 2021/22: Hizi ndio Wizara 5 zilizofanya ubadhirifu wa Tsh. Bilioni 212 za UVIKO-19

Ripoti ya CAG 2021/22: Hizi ndio Wizara 5 zilizofanya ubadhirifu wa Tsh. Bilioni 212 za UVIKO-19

Hawawezi wakawa wameiba pesa zote hizo. Huwa tunakosea tafsiri ya lugha ya CAG.
Unadhani yaliyoko kwenye gazeti hapo ni uongo ndugu?

FtHA4BjXwAEJB4j.jpeg


Kwani wewe ni mtuhumiwa kwenye hili sakata ndugu?

Fikiria wale wa ndege. Unadhani haukuwa upigaji ule? Vipi wale wa SGR na vichwa vya treni na mabehewa?

Vipi hawa hapa?

FtDpG2cakAAY5Or.jpeg


FtDX74wX0AQK8IT.jpeg

FtP5ui9WwAAcX6v.jpeg

FtF0boxXwAISPXm.jpeg

FtFXwp_WcAENXf6.jpeg


Na kadhalika hadi chefu. Kwa kweli ni "stupid."

Huu ni wizi taslimu usiokuwa na jina lolote zuri la kuupa!
 
Ripoti hiyo ya CAG imeibua hoja nyingi zinazoonyesha matumizi mabaya ya fedha hizo zilizopelekwa kwenye wizara mbalimbali za serikali (Afya, Elimu, Utalii, Maji na Watu wenye Ulemavu). Jumla ya thamani ya hoja zote za ukaguzi zinazoashiria kuwepo kwa matumizi mabaya zinathamani ya Shilingi Bilioni 212.1, sawa na asilimia 17.06 ya fedha zote za mkopo zilitolewa ambazo ni shilingi Trilioni 1.24.

Mgawanyo wa thamani ya hoja za ukaguzi kwa kila wizara ni kama ifuatavyo;

• Wizara ya Afya - Tsh. Bilioni 91
• Wizara ya Elimu - Tsh. ilioni 33.5
• Wizara ya Maji - Tsh. Bilioni 82.8
• Wizara ya Maliasili na Utalii - Tsh. Bilioni 1.2
• Hifadhi ya Jamii (TASAF) - Tsh. Bilioni 1.5
• Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Tsh. Milioni 141.

Katika hoja hizi ambazo nyingi zinahusu manunuzi, CAG amebaini kwamba kuna baadhi ya vifaa kama vile Magari kwenye sekta za Afya na Elimu hayakufika hadi tarehe ya ukaguzi. Usimamizi mbovu wa matumizi ya fedha hizi za mkopo unatoa sura kwa namna gani Serikali inashindwa kuwajibika.
Karibu Mh
 
Back
Top Bottom