Ripoti ya CAG haina wizi, ina ukiukaji wa taratibu

Ripoti ya CAG haina wizi, ina ukiukaji wa taratibu

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kila siku CAG anakuja na report kuhusu upotevu wa mabilioni kwenye secta ya umma lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati CAG akija na hoja hizo mara nyingi PCCB hakuna sehemu anakuja na hoja zakuthibitisha huo wizi badala yake kesi nyingi uisha Kwa matumizi mabaya ya Ofisi.

Mtizamo wangu NI kwamba; CAG ripoti zake zinajikita zaidi kwenye sheria na endapo sheria ilikiukwa basi kiasi kilichohusika ndicho utumika kama wizi Jambo ambalo ni kosa.

Mfano; CAG anasema kuna changamoto ya taasisi inayosimamia manunuzi, Mhe. Rais anasema iangaliwe kama ina umuhimu kuwepo. Lakini tatizo kumbe siyo taasisi tatizo ni sheria ya manunuzi ambayo imejaa urasimu. Katika mazingira haya hasara inayotokana na urasimu WA kisheria tunaweza kusema NI wizi?Nani aliyeibiwa? Watendaji wakiuke sheria? Wakikiuka nayo haitaleta hoja ya ukaguzi?

Shirika la ndege linatangazwa kupata hasara, najiuliza ni lini lilimaliza kulipa madeni Hadi lianze kuhesabiwa linapata hasara? Return on investment imefanyika? Business plan ya shirika IPO? Kwanini CAG asituambie NI lini shrika kama ATCL lilianza kupata faida?

Shirika la TTCL linapolaumiwa kufanya vibaya tunaona tunatenda Haki? Kama TTCL pesa zake zote biashara wanazokusanya zinakwenda hazina nakupangiwa KAZI nyingine unategemea lipate faida? Lini shirika litaacha kuendesha Kwa hisani ya wizara ya fedha? Kila activity lazima wakaombe fedha hazina, hata ukimweka malkia lazima litafeli tu! Nilitegemea CAG hatupe mapungufu ya wizara ya fedha katika kutoa fedha lakini sijamsikia. Tusubirie kwenye bajeti tuone kitakachotokea.

Lakini pia TTCL itapataje faida wakati Airtel wapo ndani? Lini tumesikia Airtel wakipata hasara? Means watendaji awana makosa Bali wamiliki wa makampuni ya simu ambao NI viongozi WA chama ndiyo wanahujumu TTCL nakulifanya life wao waendelee kuneemeka. Lazima tukubali kuwa na shrika la mawasiliano lililo imari kama ilivyokuwa vision ya Magu. Tusipokubali kuwa na taasisi na mashirika ya serikali imara hakuna uchumi imara.

Nenda nchi za ulimwengu wa kwanza zote, serikali ndiyo yenye giant companies siyo watu.....Sisi tunatengeneza watu giant mwisho watakuja kutuamulia tulale muda gani na tuamke muda gani.

Tuachane na riport za mis- compliance tuje na riport zakuonyesha wizi na kuthibitisha huo wizi with evidences

Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism kwenye auditing na kuweka siasa kuwafurahisha wanannchi
 
Urasimu wa Sheri mbona hawapendekezi mabadiliko?

Mbona Taasisi zingine zinatumia sheria hiohio?
Mtu unavunja taratibu za manunuzi kwa nini?
Utaratibu umewekwa una sababu unapokiuka njoo na proposal sio kukiuka tu
Mana wezi nao wanaanza hivyo
 
Kila siku CAG anakuja na report kuhusu upotevu wa mabilioni kwenye secta ya umma lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati CAG akija na hoja hizo mara nyingi PCCB hakuna sehemu anakuja na hoja zakuthibitisha huo wizi badala yake kesi nyingi uisha Kwa matumizi mabaya ya Ofisi.

Mtizamo wangu NI kwamba; CAG ripoti zake zinajikita zaidi kwenye sheria na endapo sheria ilikiukwa basi kiasi kilichohusika ndicho utumika kama wizi Jambo ambalo ni kosa.

Mfano; CAG anasema kuna changamoto ya taasisi inayosimamia manunuzi, Mhe. Rais anasema iangaliwe kama ina umuhimu kuwepo. Lakini tatizo kumbe siyo taasisi tatizo ni sheria ya manunuzi ambayo imejaa urasimu. Katika mazingira haya hasara inayotokana na urasimu WA kisheria tunaweza kusema NI wizi?Nani aliyeibiwa? Watendaji wakiuke sheria? Wakikiuka nayo haitaleta hoja ya ukaguzi?

Shirika la ndege linatangazwa kupata hasara, najiuliza ni lini lilimaliza kulipa madeni Hadi lianze kuhesabiwa linapata hasara? Return on investment imefanyika? Business plan ya shirika IPO? Kwanini CAG asituambie NI lini shrika kama ATCL lilianza kupata faida?

Shirika la TTCL linapolaumiwa kufanya vibaya tunaona tunatenda Haki? Kama TTCL pesa zake zote biashara wanazokusanya zinakwenda hazina nakupangiwa KAZI nyingine unategemea lipate faida? Lini shirika litaacha kuendesha Kwa hisani ya wizara ya fedha? Kila activity lazima wakaombe fedha hazina, hata ukimweka malkia lazima litafeli tu! Nilitegemea CAG hatupe mapungufu ya wizara ya fedha katika kutoa fedha lakini sijamsikia. Tusubirie kwenye bajeti tuone kitakachotokea.

Lakini pia TTCL itapataje faida wakati Airtel wapo ndani? Lini tumesikia Airtel wakipata hasara? Means watendaji awana makosa Bali wamiliki wa makampuni ya simu ambao NI viongozi WA chama ndiyo wanahujumu TTCL nakulifanya life wao waendelee kuneemeka. Lazima tukubali kuwa na shrika la mawasiliano lililo imari kama ilivyokuwa vision ya Magu. Tusipokubali kuwa na taasisi na mashirika ya serikali imara hakuna uchumi imara.

Nenda nchi za ulimwengu wa kwanza zote, serikali ndiyo yenye giant companies siyo watu.....Sisi tunatengeneza watu giant mwisho watakuja kutuamulia tulale muda gani na tuamke muda gani.

Tuachane na riport za mis- compliance tuje na riport zakuonyesha wizi na kuthibitisha huo wizi with evidences

Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism kwenye auditing na kuweka siasa kuwafurahisha wanannchi
Kwamba shida ya TTCL ni Airtel?
Hamna Kampuni zenye ubia Serikali na binafsi? Mfano TCC Sigara ina Govt shares inafanya vibaya?

Ukweli uwekwe wazi
Hata NDC alotaja Mama ni 100% Govt wao mtihani wao ni nini?
Faida ni moja ya KPI
Japo yako mengi ya kutizama
Tuache sababu jmn
 
Kila siku CAG anakuja na report kuhusu upotevu wa mabilioni kwenye secta ya umma lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati CAG akija na hoja hizo mara nyingi PCCB hakuna sehemu anakuja na hoja zakuthibitisha huo wizi badala yake kesi nyingi uisha Kwa matumizi mabaya ya Ofisi.

Mtizamo wangu NI kwamba; CAG ripoti zake zinajikita zaidi kwenye sheria na endapo sheria ilikiukwa basi kiasi kilichohusika ndicho utumika kama wizi Jambo ambalo ni kosa.

Mfano; CAG anasema kuna changamoto ya taasisi inayosimamia manunuzi, Mhe. Rais anasema iangaliwe kama ina umuhimu kuwepo. Lakini tatizo kumbe siyo taasisi tatizo ni sheria ya manunuzi ambayo imejaa urasimu. Katika mazingira haya hasara inayotokana na urasimu WA kisheria tunaweza kusema NI wizi?Nani aliyeibiwa? Watendaji wakiuke sheria? Wakikiuka nayo haitaleta hoja ya ukaguzi?

Shirika la ndege linatangazwa kupata hasara, najiuliza ni lini lilimaliza kulipa madeni Hadi lianze kuhesabiwa linapata hasara? Return on investment imefanyika? Business plan ya shirika IPO? Kwanini CAG asituambie NI lini shrika kama ATCL lilianza kupata faida?

Shirika la TTCL linapolaumiwa kufanya vibaya tunaona tunatenda Haki? Kama TTCL pesa zake zote biashara wanazokusanya zinakwenda hazina nakupangiwa KAZI nyingine unategemea lipate faida? Lini shirika litaacha kuendesha Kwa hisani ya wizara ya fedha? Kila activity lazima wakaombe fedha hazina, hata ukimweka malkia lazima litafeli tu! Nilitegemea CAG hatupe mapungufu ya wizara ya fedha katika kutoa fedha lakini sijamsikia. Tusubirie kwenye bajeti tuone kitakachotokea.

Lakini pia TTCL itapataje faida wakati Airtel wapo ndani? Lini tumesikia Airtel wakipata hasara? Means watendaji awana makosa Bali wamiliki wa makampuni ya simu ambao NI viongozi WA chama ndiyo wanahujumu TTCL nakulifanya life wao waendelee kuneemeka. Lazima tukubali kuwa na shrika la mawasiliano lililo imari kama ilivyokuwa vision ya Magu. Tusipokubali kuwa na taasisi na mashirika ya serikali imara hakuna uchumi imara.

Nenda nchi za ulimwengu wa kwanza zote, serikali ndiyo yenye giant companies siyo watu.....Sisi tunatengeneza watu giant mwisho watakuja kutuamulia tulale muda gani na tuamke muda gani.

Tuachane na riport za mis- compliance tuje na riport zakuonyesha wizi na kuthibitisha huo wizi with evidences

Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism kwenye auditing na kuweka siasa kuwafurahisha wanannchi
Mara nyingi huwa nawambia watu juu ya hizi report. Nmekuelewa sana kiongozi
 
Kwamba shida ya TTCL ni Airtel?
Hamna Kampuni zenye ubia Serikali na binafsi? Mfano TCC Sigara ina Govt shares inafanya vibaya?

Ukweli uwekwe wazi
Hata NDC alotaja Mama ni 100% Govt wao mtihani wao ni nini?
Faida ni moja ya KPI
Japo yako mengi ya kutizama
Tuache sababu jmn
Tukiangazia TTCL kuna maeneo inawafikia watu ambako kampuni zingine za simu haziwezi kuwafikia watu.

Iko hivi,ili makampuni ya simu yapeleke huduma sehemu ni lazima kuwe na idadi fulani ya watu ambayo wanajua watapata faida.kama idadi isipotimia basi hawapeleki huduma.

Na maeneo yote hayo ttcl inalazimika kupeleka huduma ,haijalishi kuna faida au hakuna kibiashara.
Hivyo sababu ni nyingi pia zipo nyingine nyingi.

Japo usimamizi nao unaweza badirishwa ili kuleta tija
 
Taasisi zote za Umma zinatumia sheria hiohio ya manunuzi kwanini atajwe Taasisi X?
Si zingetajwa zote?
Unaweza tumia sheria ukaiumiza zaidi serikali...na mwingine asitumie sheria hiyo akahukumiwa kukiuka sheria lakini akasaidia mno Taifa...

Nikupe mfano kama Tanesco wanataka kununua transfoma...sheria zinataka watangaze tenda ...atakaeshinda hiyo tenda ata supply hizo transfoma hata kama ni kutoka nje na bei ni juu kidogo...

Lakini Tanesco wakisema hatutangazi tender tunawapa upendeleo Tanelec watakuwa Wana supply transfoma Kwa bei nafuu ...watakiuka sheria lakini umeona faida yake ilivyo kubwa?.. Tanelec ataongeza production...ataajiri zaidi ...kuliko kuacha supplier alete transfoma kutoka popote hata nje ya nchi
 
Unaweza tumia sheria ukaiumiza zaidi serikali...na mwingine asitumie sheria hiyo akahukumiwa kukiuka sheria lakini akasaidia mno Taifa...

Nikupe mfano kama Tanesco wanataka kununua transfoma...sheria zinataka watangaze tenda ...atakaeshinda hiyo tenda ata supply hizo transfoma hata kama ni kutoka nje na bei ni juu kidogo...

Lakini Tanesco wakisema hatutangazi tender tunawapa upendeleo Tanelec watakuwa Wana supply transfoma Kwa bei nafuu ...watakiuka sheria lakini umeona faida yake ilivyo kubwa?.. Tanelec ataongeza production...ataajiri zaidi ...kuliko kuacha supplier alete transfoma kutoka popote hata nje ya nchi
Umejichanganya mkuu, tenda ikitangazwa ndipo upatikana mzabuni wa nje lkn bei juu lkn isipotangazwa na kutafutwa Tanelec kwa miguu bei huwa ya chini, je kwa nini inapotangazwa tenda huyo Tanelec haombi? Je unadhani ni lazima kila tenda kutangazwa kimataifa?
 
Kila siku CAG anakuja na report kuhusu upotevu wa mabilioni kwenye secta ya umma lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati CAG akija na hoja hizo mara nyingi PCCB hakuna sehemu anakuja na hoja zakuthibitisha huo wizi badala yake kesi nyingi uisha Kwa matumizi mabaya ya Ofisi.

Mtizamo wangu NI kwamba; CAG ripoti zake zinajikita zaidi kwenye sheria na endapo sheria ilikiukwa basi kiasi kilichohusika ndicho utumika kama wizi Jambo ambalo ni kosa.

Mfano; CAG anasema kuna changamoto ya taasisi inayosimamia manunuzi, Mhe. Rais anasema iangaliwe kama ina umuhimu kuwepo. Lakini tatizo kumbe siyo taasisi tatizo ni sheria ya manunuzi ambayo imejaa urasimu. Katika mazingira haya hasara inayotokana na urasimu WA kisheria tunaweza kusema NI wizi?Nani aliyeibiwa? Watendaji wakiuke sheria? Wakikiuka nayo haitaleta hoja ya ukaguzi?

Shirika la ndege linatangazwa kupata hasara, najiuliza ni lini lilimaliza kulipa madeni Hadi lianze kuhesabiwa linapata hasara? Return on investment imefanyika? Business plan ya shirika IPO? Kwanini CAG asituambie NI lini shrika kama ATCL lilianza kupata faida?

Shirika la TTCL linapolaumiwa kufanya vibaya tunaona tunatenda Haki? Kama TTCL pesa zake zote biashara wanazokusanya zinakwenda hazina nakupangiwa KAZI nyingine unategemea lipate faida? Lini shirika litaacha kuendesha Kwa hisani ya wizara ya fedha? Kila activity lazima wakaombe fedha hazina, hata ukimweka malkia lazima litafeli tu! Nilitegemea CAG hatupe mapungufu ya wizara ya fedha katika kutoa fedha lakini sijamsikia. Tusubirie kwenye bajeti tuone kitakachotokea.

Lakini pia TTCL itapataje faida wakati Airtel wapo ndani? Lini tumesikia Airtel wakipata hasara? Means watendaji awana makosa Bali wamiliki wa makampuni ya simu ambao NI viongozi WA chama ndiyo wanahujumu TTCL nakulifanya life wao waendelee kuneemeka. Lazima tukubali kuwa na shrika la mawasiliano lililo imari kama ilivyokuwa vision ya Magu. Tusipokubali kuwa na taasisi na mashirika ya serikali imara hakuna uchumi imara.

Nenda nchi za ulimwengu wa kwanza zote, serikali ndiyo yenye giant companies siyo watu.....Sisi tunatengeneza watu giant mwisho watakuja kutuamulia tulale muda gani na tuamke muda gani.

Tuachane na riport za mis- compliance tuje na riport zakuonyesha wizi na kuthibitisha huo wizi with evidences

Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism kwenye auditing na kuweka siasa kuwafurahisha wanannchi
Kuna vingine umeandika viko poa na vikifanyiwa KAZI tutasonga mbele
 
Unaweza tumia sheria ukaiumiza zaidi serikali...na mwingine asitumie sheria hiyo akahukumiwa kukiuka sheria lakini akasaidia mno Taifa...

Nikupe mfano kama Tanesco wanataka kununua transfoma...sheria zinataka watangaze tenda ...atakaeshinda hiyo tenda ata supply hizo transfoma hata kama ni kutoka nje na bei ni juu kidogo...

Lakini Tanesco wakisema hatutangazi tender tunawapa upendeleo Tanelec watakuwa Wana supply transfoma Kwa bei nafuu ...watakiuka sheria lakini umeona faida yake ilivyo kubwa?.. Tanelec ataongeza production...ataajiri zaidi ...kuliko kuacha supplier alete transfoma kutoka popote hata nje ya nchi
Mfano wako ni irrelevant. Hao tanalec kwanini wasiombe hiyo tenda washindanishwe na suppliers wengine.

Je vipi kama hawakidhi vigezo vya ubora lakini wana bei nafuu?
 
Kila siku CAG anakuja na report kuhusu upotevu wa mabilioni kwenye secta ya umma lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati CAG akija na hoja hizo mara nyingi PCCB hakuna sehemu anakuja na hoja zakuthibitisha huo wizi badala yake kesi nyingi uisha Kwa matumizi mabaya ya Ofisi.

Mtizamo wangu NI kwamba; CAG ripoti zake zinajikita zaidi kwenye sheria na endapo sheria ilikiukwa basi kiasi kilichohusika ndicho utumika kama wizi Jambo ambalo ni kosa.

Mfano; CAG anasema kuna changamoto ya taasisi inayosimamia manunuzi, Mhe. Rais anasema iangaliwe kama ina umuhimu kuwepo. Lakini tatizo kumbe siyo taasisi tatizo ni sheria ya manunuzi ambayo imejaa urasimu. Katika mazingira haya hasara inayotokana na urasimu WA kisheria tunaweza kusema NI wizi?Nani aliyeibiwa? Watendaji wakiuke sheria? Wakikiuka nayo haitaleta hoja ya ukaguzi?

Shirika la ndege linatangazwa kupata hasara, najiuliza ni lini lilimaliza kulipa madeni Hadi lianze kuhesabiwa linapata hasara? Return on investment imefanyika? Business plan ya shirika IPO? Kwanini CAG asituambie NI lini shrika kama ATCL lilianza kupata faida?

Shirika la TTCL linapolaumiwa kufanya vibaya tunaona tunatenda Haki? Kama TTCL pesa zake zote biashara wanazokusanya zinakwenda hazina nakupangiwa KAZI nyingine unategemea lipate faida? Lini shirika litaacha kuendesha Kwa hisani ya wizara ya fedha? Kila activity lazima wakaombe fedha hazina, hata ukimweka malkia lazima litafeli tu! Nilitegemea CAG hatupe mapungufu ya wizara ya fedha katika kutoa fedha lakini sijamsikia. Tusubirie kwenye bajeti tuone kitakachotokea.

Lakini pia TTCL itapataje faida wakati Airtel wapo ndani? Lini tumesikia Airtel wakipata hasara? Means watendaji awana makosa Bali wamiliki wa makampuni ya simu ambao NI viongozi WA chama ndiyo wanahujumu TTCL nakulifanya life wao waendelee kuneemeka. Lazima tukubali kuwa na shrika la mawasiliano lililo imari kama ilivyokuwa vision ya Magu. Tusipokubali kuwa na taasisi na mashirika ya serikali imara hakuna uchumi imara.

Nenda nchi za ulimwengu wa kwanza zote, serikali ndiyo yenye giant companies siyo watu.....Sisi tunatengeneza watu giant mwisho watakuja kutuamulia tulale muda gani na tuamke muda gani.

Tuachane na riport za mis- compliance tuje na riport zakuonyesha wizi na kuthibitisha huo wizi with evidences

Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism kwenye auditing na kuweka siasa kuwafurahisha wanannchi

Kwa hivyo Rais alikosea kusema stupid.
 
Kila siku CAG anakuja na report kuhusu upotevu wa mabilioni kwenye secta ya umma lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati CAG akija na hoja hizo mara nyingi PCCB hakuna sehemu anakuja na hoja zakuthibitisha huo wizi badala yake kesi nyingi uisha Kwa matumizi mabaya ya Ofisi.

Mtizamo wangu NI kwamba; CAG ripoti zake zinajikita zaidi kwenye sheria na endapo sheria ilikiukwa basi kiasi kilichohusika ndicho utumika kama wizi Jambo ambalo ni kosa.

Mfano; CAG anasema kuna changamoto ya taasisi inayosimamia manunuzi, Mhe. Rais anasema iangaliwe kama ina umuhimu kuwepo. Lakini tatizo kumbe siyo taasisi tatizo ni sheria ya manunuzi ambayo imejaa urasimu. Katika mazingira haya hasara inayotokana na urasimu WA kisheria tunaweza kusema NI wizi?Nani aliyeibiwa? Watendaji wakiuke sheria? Wakikiuka nayo haitaleta hoja ya ukaguzi?

Shirika la ndege linatangazwa kupata hasara, najiuliza ni lini lilimaliza kulipa madeni Hadi lianze kuhesabiwa linapata hasara? Return on investment imefanyika? Business plan ya shirika IPO? Kwanini CAG asituambie NI lini shrika kama ATCL lilianza kupata faida?

Shirika la TTCL linapolaumiwa kufanya vibaya tunaona tunatenda Haki? Kama TTCL pesa zake zote biashara wanazokusanya zinakwenda hazina nakupangiwa KAZI nyingine unategemea lipate faida? Lini shirika litaacha kuendesha Kwa hisani ya wizara ya fedha? Kila activity lazima wakaombe fedha hazina, hata ukimweka malkia lazima litafeli tu! Nilitegemea CAG hatupe mapungufu ya wizara ya fedha katika kutoa fedha lakini sijamsikia. Tusubirie kwenye bajeti tuone kitakachotokea.

Lakini pia TTCL itapataje faida wakati Airtel wapo ndani? Lini tumesikia Airtel wakipata hasara? Means watendaji awana makosa Bali wamiliki wa makampuni ya simu ambao NI viongozi WA chama ndiyo wanahujumu TTCL nakulifanya life wao waendelee kuneemeka. Lazima tukubali kuwa na shrika la mawasiliano lililo imari kama ilivyokuwa vision ya Magu. Tusipokubali kuwa na taasisi na mashirika ya serikali imara hakuna uchumi imara.

Nenda nchi za ulimwengu wa kwanza zote, serikali ndiyo yenye giant companies siyo watu.....Sisi tunatengeneza watu giant mwisho watakuja kutuamulia tulale muda gani na tuamke muda gani.

Tuachane na riport za mis- compliance tuje na riport zakuonyesha wizi na kuthibitisha huo wizi with evidences

Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism kwenye auditing na kuweka siasa kuwafurahisha wanannchi
Fuatiliaa ziara za Waziri Mkuu ujue Kuna wizi. Acheni kutetea ufisadi. Watu wamepiga Cha juu kwenye ununuzi wa ndege wewe unadai ni kukiuka utaratibu. Vipi wale waliochelewesha malipo waje wapate Cha juu kwenye SGR.
 
Back
Top Bottom