Ripoti ya CAG haina wizi, ina ukiukaji wa taratibu

Ripoti ya CAG haina wizi, ina ukiukaji wa taratibu

Kila siku CAG anakuja na report kuhusu upotevu wa mabilioni kwenye secta ya umma lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati CAG akija na hoja hizo mara nyingi PCCB hakuna sehemu anakuja na hoja zakuthibitisha huo wizi badala yake kesi nyingi uisha Kwa matumizi mabaya ya Ofisi.

Mtizamo wangu NI kwamba; CAG ripoti zake zinajikita zaidi kwenye sheria na endapo sheria ilikiukwa basi kiasi kilichohusika ndicho utumika kama wizi Jambo ambalo ni kosa.

Mfano; CAG anasema kuna changamoto ya taasisi inayosimamia manunuzi, Mhe. Rais anasema iangaliwe kama ina umuhimu kuwepo. Lakini tatizo kumbe siyo taasisi tatizo ni sheria ya manunuzi ambayo imejaa urasimu. Katika mazingira haya hasara inayotokana na urasimu WA kisheria tunaweza kusema NI wizi?Nani aliyeibiwa? Watendaji wakiuke sheria? Wakikiuka nayo haitaleta hoja ya ukaguzi?

Shirika la ndege linatangazwa kupata hasara, najiuliza ni lini lilimaliza kulipa madeni Hadi lianze kuhesabiwa linapata hasara? Return on investment imefanyika? Business plan ya shirika IPO? Kwanini CAG asituambie NI lini shrika kama ATCL lilianza kupata faida?

Shirika la TTCL linapolaumiwa kufanya vibaya tunaona tunatenda Haki? Kama TTCL pesa zake zote biashara wanazokusanya zinakwenda hazina nakupangiwa KAZI nyingine unategemea lipate faida? Lini shirika litaacha kuendesha Kwa hisani ya wizara ya fedha? Kila activity lazima wakaombe fedha hazina, hata ukimweka malkia lazima litafeli tu! Nilitegemea CAG hatupe mapungufu ya wizara ya fedha katika kutoa fedha lakini sijamsikia. Tusubirie kwenye bajeti tuone kitakachotokea.

Lakini pia TTCL itapataje faida wakati Airtel wapo ndani? Lini tumesikia Airtel wakipata hasara? Means watendaji awana makosa Bali wamiliki wa makampuni ya simu ambao NI viongozi WA chama ndiyo wanahujumu TTCL nakulifanya life wao waendelee kuneemeka. Lazima tukubali kuwa na shrika la mawasiliano lililo imari kama ilivyokuwa vision ya Magu. Tusipokubali kuwa na taasisi na mashirika ya serikali imara hakuna uchumi imara.

Nenda nchi za ulimwengu wa kwanza zote, serikali ndiyo yenye giant companies siyo watu.....Sisi tunatengeneza watu giant mwisho watakuja kutuamulia tulale muda gani na tuamke muda gani.

Tuachane na riport za mis- compliance tuje na riport zakuonyesha wizi na kuthibitisha huo wizi with evidences

Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism kwenye auditing na kuweka siasa kuwafurahisha wanannchi
Hawawezi kukuelewa mkuu
 
Na kwanini taratibu zikiukwe!?, Kama sio kuandaa mazingira ya wizi Nini!? Ukiukwaji wa utaratibu ni kuandaa mazingira ya wizi.. kiufupi wameiba
Kwanini iwe baada ya kukubali kuwa wizi haupo ila utaratibu kutotumika ndiyo hoja
 
Miradi mingi inakuwa chini ya kiwango sababu ya kuwabana wakandarasi wa-quote gharama za chini ili wapate tenda Kama kigezo halafu badae tena wawakatie 10% [emoji848][emoji848]

Wataenda ku-promise na quality of the work.

Tupende uadilifu jamani kwa manufaa ya watanzania na vizazi vyao.
 
Kila siku CAG anakuja na report kuhusu upotevu wa mabilioni kwenye secta ya umma lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati CAG akija na hoja hizo mara nyingi PCCB hakuna sehemu anakuja na hoja zakuthibitisha huo wizi badala yake kesi nyingi uisha Kwa matumizi mabaya ya Ofisi.

Mtizamo wangu NI kwamba; CAG ripoti zake zinajikita zaidi kwenye sheria na endapo sheria ilikiukwa basi kiasi kilichohusika ndicho utumika kama wizi Jambo ambalo ni kosa.

Mfano; CAG anasema kuna changamoto ya taasisi inayosimamia manunuzi, Mhe. Rais anasema iangaliwe kama ina umuhimu kuwepo. Lakini tatizo kumbe siyo taasisi tatizo ni sheria ya manunuzi ambayo imejaa urasimu. Katika mazingira haya hasara inayotokana na urasimu WA kisheria tunaweza kusema NI wizi?Nani aliyeibiwa? Watendaji wakiuke sheria? Wakikiuka nayo haitaleta hoja ya ukaguzi?

Shirika la ndege linatangazwa kupata hasara, najiuliza ni lini lilimaliza kulipa madeni Hadi lianze kuhesabiwa linapata hasara? Return on investment imefanyika? Business plan ya shirika IPO? Kwanini CAG asituambie NI lini shrika kama ATCL lilianza kupata faida?

Shirika la TTCL linapolaumiwa kufanya vibaya tunaona tunatenda Haki? Kama TTCL pesa zake zote biashara wanazokusanya zinakwenda hazina nakupangiwa KAZI nyingine unategemea lipate faida? Lini shirika litaacha kuendesha Kwa hisani ya wizara ya fedha? Kila activity lazima wakaombe fedha hazina, hata ukimweka malkia lazima litafeli tu! Nilitegemea CAG hatupe mapungufu ya wizara ya fedha katika kutoa fedha lakini sijamsikia. Tusubirie kwenye bajeti tuone kitakachotokea.

Lakini pia TTCL itapataje faida wakati Airtel wapo ndani? Lini tumesikia Airtel wakipata hasara? Means watendaji awana makosa Bali wamiliki wa makampuni ya simu ambao NI viongozi WA chama ndiyo wanahujumu TTCL nakulifanya life wao waendelee kuneemeka. Lazima tukubali kuwa na shrika la mawasiliano lililo imari kama ilivyokuwa vision ya Magu. Tusipokubali kuwa na taasisi na mashirika ya serikali imara hakuna uchumi imara.

Nenda nchi za ulimwengu wa kwanza zote, serikali ndiyo yenye giant companies siyo watu.....Sisi tunatengeneza watu giant mwisho watakuja kutuamulia tulale muda gani na tuamke muda gani.

Tuachane na riport za mis- compliance tuje na riport zakuonyesha wizi na kuthibitisha huo wizi with evidences

Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism kwenye auditing na kuweka siasa kuwafurahisha wanannchi

Hata kipindi kile cha JPM, wakasema amekwapua 1.7 trilioni. Wakati CAG alisema ni non compliance.
 
CAG anatumika kisiasa hana lolote , kuja kupanikisha tu watu , ndo mana Maghufuli alikuwa anawafukuza kibabe , Weledi wa kazi ya CAG unapimwaje? Wote sio maboya kama anavyofikri
Naunga mkono

Kila siku wanaiba halafu wanaweka sherehe(CAG report) ya kujisema, wanatu enjoy sana
 
Wewe mgonjwa kweli kweli:
Rais kasema: Original Invoice ilikuwa USD 37 million, baadaye wanaleta invoice ya 87 million USD

Sasa hapo hata Rais haelewi ati wewe unaelewa? cretin

Hapo napo ni non compliance. Maana kuna kitu kinaitwa contract management hakikuzingatiwa.
 
Kila siku CAG anakuja na report kuhusu upotevu wa mabilioni kwenye secta ya umma lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati CAG akija na hoja hizo mara nyingi PCCB hakuna sehemu anakuja na hoja zakuthibitisha huo wizi badala yake kesi nyingi uisha Kwa matumizi mabaya ya Ofisi.

Mtizamo wangu NI kwamba; CAG ripoti zake zinajikita zaidi kwenye sheria na endapo sheria ilikiukwa basi kiasi kilichohusika ndicho utumika kama wizi Jambo ambalo ni kosa.

Mfano; CAG anasema kuna changamoto ya taasisi inayosimamia manunuzi, Mhe. Rais anasema iangaliwe kama ina umuhimu kuwepo. Lakini tatizo kumbe siyo taasisi tatizo ni sheria ya manunuzi ambayo imejaa urasimu. Katika mazingira haya hasara inayotokana na urasimu WA kisheria tunaweza kusema NI wizi?Nani aliyeibiwa? Watendaji wakiuke sheria? Wakikiuka nayo haitaleta hoja ya ukaguzi?

Shirika la ndege linatangazwa kupata hasara, najiuliza ni lini lilimaliza kulipa madeni Hadi lianze kuhesabiwa linapata hasara? Return on investment imefanyika? Business plan ya shirika IPO? Kwanini CAG asituambie NI lini shrika kama ATCL lilianza kupata faida?

Shirika la TTCL linapolaumiwa kufanya vibaya tunaona tunatenda Haki? Kama TTCL pesa zake zote biashara wanazokusanya zinakwenda hazina nakupangiwa KAZI nyingine unategemea lipate faida? Lini shirika litaacha kuendesha Kwa hisani ya wizara ya fedha? Kila activity lazima wakaombe fedha hazina, hata ukimweka malkia lazima litafeli tu! Nilitegemea CAG hatupe mapungufu ya wizara ya fedha katika kutoa fedha lakini sijamsikia. Tusubirie kwenye bajeti tuone kitakachotokea.

Lakini pia TTCL itapataje faida wakati Airtel wapo ndani? Lini tumesikia Airtel wakipata hasara? Means watendaji awana makosa Bali wamiliki wa makampuni ya simu ambao NI viongozi WA chama ndiyo wanahujumu TTCL nakulifanya life wao waendelee kuneemeka. Lazima tukubali kuwa na shrika la mawasiliano lililo imari kama ilivyokuwa vision ya Magu. Tusipokubali kuwa na taasisi na mashirika ya serikali imara hakuna uchumi imara.

Nenda nchi za ulimwengu wa kwanza zote, serikali ndiyo yenye giant companies siyo watu.....Sisi tunatengeneza watu giant mwisho watakuja kutuamulia tulale muda gani na tuamke muda gani.

Tuachane na riport za mis- compliance tuje na riport zakuonyesha wizi na kuthibitisha huo wizi with evidences

Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism kwenye auditing na kuweka siasa kuwafurahisha wanannchi
Sijasoma takataka zilizomo humo ndani, ila nimesoma kichwa cha mada.

"Taratibu zinakikwa" ili iweje, kwa sababu zipi?

Wizi hauwezi kutokea wakati taratibu zinapokiukwa?

Unaleta mada hapa kutetea upumbavu?

Samahani kwa kutumia lugha isiyostahili, lakini huwa sina uvumilivu na watu wa aina yako mnaotafuta visababu kuhalalisha maovu.
Nipo tayari kukabiliana nawe.
 
Nakubaliana na wewe Wilaya ya ushetu wameshaambiwa watachukuliwa hatua na Mkoa wakati hata taarifa rasmi (Management letter)haijatoka unaweza kukuta kilichosabisha hati chafu ni uandishi wa kitabu cha hesabu wala sio wizi ila mwanasiasa kashaingilia kutafuta kiki tu.

Jizi la Ushetu limekuja humu kujitetea. Ulishindwa kumpa majibu CAG unakuja humu kujamba jamba
 
Vinginevyo kila mwaka tutakuwa tunazalisha hoja zisizojibika Kwa kuacha professionalism
Toka nimesikia ruumazi kuwa Kuna taasisi imeandikiwa "hati chafu"/pewa onyo eti kwa kukiuka taratibu ya kununua gari moja la bei kubwa na la gharama kubwa kulitunza na halidumu na badala yake taasisi hiyo ikanunua magari mawili yenye kufanya kazi hiyo hiyo ya gari la gharama kubwa kwa bei Rahisi na utunzaji wake ni Rahisi na linadumu ndipo niliwaza sana juu mission, vision ya Ofisi ya CAG juu ya maslahi ya Taifa.

Kumradhi kwa urefu wa sentensi!
 
Ripoti ya CAG inasema kuna upotevu wa kiasi fulani cha fedha, au hazijulikani zilipo, wewe unasema huo sio wizi, ni ukiukaji wa taratibu.!!.

Hapo sioni cha maana ulichoandika zaidi ya kulipaka mafuta neno wizi.
 
Back
Top Bottom