Ripoti ya CAG, kuna uwezekano Watanzania ni wajinga kushadadia kutibu matokeo badala ya kushughulika na chanzo?

Ripoti ya CAG, kuna uwezekano Watanzania ni wajinga kushadadia kutibu matokeo badala ya kushughulika na chanzo?

Subiria matusi kutoka Kwa hao wapumbavu...

Mtu hata kusoma ripoti vizuri hasomi...
Ripoti inasema upigaji WA mwaka 2020...kuna maeneo ripoti ni ya past seven years...lakini anataka kukomaa na waziri wa sasa na Viongozi wa sasa bila kujiuliza why mambo ya miaka mitatu Hadi Saba yanatolewa Leo? Why hayakutolewa miaka mitatu nyuma?

Ukijaribu kuwaelewesha ni matusi na mihemko tu

Haina tija kabisa. Wizi ni wizi tu. Uwe wa mwaka jana, juzi au miaka 20 iliyopita. na wezi wanaoiba wengine wako kwa miaka yote.

Mikakati ya chui kuficha mabaka yake ni kama hii ya kusema ni ya 2020, sijui 2016 sijui nini...hopeless kabisa.

Nani ameshawajibika? Na aliye uplift invoice ya mwaka huu je? Naye ni wa mwaka gani? Tuache kucheza kiduku tukifikiria tuna akili sana...ni ngoma kama mahepe aliyocheza Marijani Rajab
 
Ufisadi na wizi upo serikalini, lakini sio mkubwa kama anavyoainisha CAG. ripoti yake ina mapungufu makubwa, na kama serikali ikifuata ushauri wake kwa 100% shughuli nyingi za serikali zitakwama.

Wenye uzoefu na ukaguzi wanajua, ukiona auditor ameibua kasoro nyingi sana au hajaona kasoro yoyote, ujue huyo anashida, na hawezi kukusaidia kuboresha chochote.

Maboresho ni 'incremental process' hatua kwa hatua, na ndio maana wakaguzi wabobevu wanaibua kasoro chache ambazo ni critical kwanza, kisha zinafuatiliwa kwa ukaribu kuona kuwa zimefanyiwa kazi, baada ya hapo anaendelea na nyingine.
Unatetea wezi na wewe ni mwizi.
 
Haina tija kabisa. Wizi ni wizi tu. Uwe wa mwaka jana, juzi au miaka 20 iliyopita. na wezi wanaoiba wengine wako kwa miaka yote.

Mikakati ya chui kuficha mabaka yake ni kama hii ya kusema ni ya 2020, sijui 2016 sijui nini...hopeless kabisa.

Nani ameshawajibika? Na aliye uplift invoice ya mwaka huu je? Naye ni wa mwaka gani? Tuache kucheza kiduku tukifikiria tuna akili sana...ni ngoma kama mahepe aliyocheza Marijani Rajab
Huyo bogus ana interest zake.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala za kwa maslahi ya taifa.

Makala ya leo ni jinsi Watanzania wanavyoishadadia Ripoti ya CAG ya mwaka huu kushangalia ufisadi, as sasa ndio kuna ufisadi saana, kumbe kwa miaka 10 mfululizo ripoti za CAG zinaonyesha ufisadi na tena nyingine ufisadi mkubwa kuliko huu ambao umepelekea mimi kujiuliza kuwa je, kuna uwezekano sisi Watanzania ni ignorants, fools and very stupid?

Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake. Hivyo huko mbele anaweza kuja kujikwaa tena pale pale alipojikwaa mwanzo na kuanguka tena pale pale na this time akaumia hata akashindwa kuinuka!

Hii Ripoti ya CAG ni ripoti ya matokeo tuu wakati tumeshapigwa na sio chanzo. Siku zote tunasisitiza ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli we need an effective system yenye maximum transparency and accountability, kudhibiti kabla hatujaibiwa na sio mnaipa fedha mijizi, mnaiangalia jinsi inavyotafuna, kisha ndio mnakuja kukagua na kutoa Ripoti ya CAG ya ukaguzi kuonyesha tumeibiwa.

The role ya CAG kama Mdhibiti ni nini? Mbona bado tunaibiwa tuu na kuendelea kufanywa shamba la bibi?

Tena ripoti yenyewe ya CAG ya mwaka uliopita sio mbaya kama ripoti nyingine za CAG za nyuma lakini watu wanashadia na wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo cha madudu haya ni nini na nani? Huu kama sio ignorance, foolishness na stupidity ni nini hiki?

Je, Watanzania ni Ignorants, fools and stupid? Yaani Sisi Watanzania ni Wajinga ma Wapumbavu?

Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "Ma-ignorants!", fools na stupid kabisa, yaani wengi wetu vichwani ni watupu kabisa, empty shells, na wengine wetu ni vichwa maji kabisa. Uwezo wa kufikiri (ogical thinking) na kufanya tafakuri tunduizi (critical analysis) wa wengi wetu ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana kwa wakati sahihi (to make informed decisions), hali inayopelekea ripoti za CAG kila mwaka kuwa na madudu yale yale mwaka hadi mwaka. Halafu ripoti ya mwaka huu watu ndio wanajifanya wakali, wanashangaa!

Kila ripoti ya CAG inaandamana na mapendekezo ya CAG, Bunge letu linajadili na kutoa Azimio la Bunge, na kuipeleka serikalini kwa utekelezaji, and that's done. There is no follow up ya utekelezaji wala hakuna mrejesho wa nini kimetekekezwa, mpaka ripoti ya CAG ya mwaka inayofuata na madudu yale yale yakijirudia, huu kama sio ujinga ni nini?

Tena tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe au mazuzu kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues na immaterial ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu. Badala ya kudeal na real issues halisi zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilichopelekea haya yatokanayo yatokee, vyanzo havitafutwi, haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi, haviguswi, tuna deal na matokeo tuu!

Mwisho wa siku kuja kuvikamata vidagaa tuu, lakini mapapa na makambale, ya chanzo cha the grand Corruption hawaguswi, ni untouchable, huu kama sio ujinga ni nini?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kama wewe sio mtu wa mastori, then jump to conclusions, wale wa mastori ya Pasco Tuendeleeni.

Ujinga huu wa Watanzania, kutojiuliza chanzo cha tatizo umeanzia wapi na uko wapi?

Hii ignorance, foolishness na stupidity ya baadhi ya Watanzania kushadadia matokeo ya kuibiwa kwa kupiga sana kelele kuwa "Tumeibiwa" badala ya kudeal na chanzo kuzuia tusiibiwe, ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu.

Tuna wabunge mule ni vilaza fools and ignorants wa ajabu hakuna mfano! Ndio maana Mbunge anasoma headline ya gazeti, gazeti limeandika Bunge linajipendekeza kwa serikali? M mbunge kilaza haoni alama ya kuuliza, anasimama Bungeni na gazeti na kumuomba Mhe. Spika muongozo kuwa Bunge limedhalilishwa! https://www.jamiiforums.com/threads...ge-wetu-ni-vilaza-utakuwa-umewakosea.1428584/, Spika nae anakuwa mkali kweli kweli https://www.jamiiforums.com/threads...ma-wahojiwe-kwa-kulidhalilisha-bunge.1428533/


Tuna baadhi ya viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants, fools and stupid sana hadi ndani ya cabinet yetu, kuna baadhi ya mawaziri wetu ni ma ignorants na stupid kabisa! Uthibitisho ni jinsi baadhi ya mawaziri wetu wanavyo vurunda hivyo wengine kutimuliwa na wengine kutumbuliwa kila uchao.

Count the number of mini reshuffles from time to time, hii ni kutokana na udhaifu kwenye vetting wanampelekea Rais Samia mabomu na Mama anateua. Kuna mawaziri kwenye some few key miniseries ni misfits hivyo soon itafanyika tena reshuffle, na kufuatia uhaba wa capable people, tegemea recycling.

Kwenye hili la udhaifu wa uteuzi, naomba nimuwekee Mama caveat https://www.jamiiforums.com/threads...-ya-kukoseshwa-tumvumilie-tumpe-muda.1883239/

Tuna baadhi viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants, fools and very stupid, na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa taasisi nyeti na hadi baadhi ya wakuu wa vyombo vya dola, kitu ambacho ni hatari sana, na kuna kipindi (kimepita) hadi baadhi ya wakuu wa mihimili, jambo ambalo ni very dangerous na very risky kwa our national security.

Hii ignorance imekata across the society yetu left, right and centre hadi sisi wana JF pia, wengine wetu humu ni ma ignorants, fools and very stupid people, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, pia ni ignorant, fool na stupid fulani!

Mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuuliza maswali magumu hivi kwa viongozi wake! https://www.jamiiforums.com/threads...kee-uliyemuuliza-swali-rais-magufuli.1144190/

Je, mtu kuwaita Watanzania wenzako kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid ni kuwatukana?

Kumuita mtu yoyote kuwa ni mjinga, ignorant, fool and stupid, kama huyo mtu sio hivyo, then huko ni kumtukana, lakini kama mtu ni kweli ni mjinga, ni stupid, ni fool, na very stupid, kumuita hivyo sio kumtukana ni kumwambia ukweli.

Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijamtukana mtu yoyote wala sijawaita watu ni humu kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Je, aisi Watanzania ni wajinga, ignorants, fools and stupid?

Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants, fools and stupid au la! Kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa? Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya kwenye ripoti ya CAG ya mwaka hadi, mwaka kwa kufanyiwa madudu yale yale.


Conclusion and Recommendations
CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za fedha za serikali.
Utaratibu wa matumizi ya fedha za serikali kutoka mfuko Mkuu hazina ni huu;
  1. Wizara, Idara na Wakala, zinatumia fedha za Mfuko Mkuu wa Hazina, hutuma maombi fedha za bajeti zao serikalini katika mafungu mawili, 1. Recurrent expenditure 2. Development budget.
  2. Hupeleka bajeti hizo serikalini kwa the Councillor of the exchequer (MOF) ambapo Recurrent hupitishwa kama ilivyo.
  3. Kwenye recurrent upigaji ni mdogo, ukiondoa mishahara hewa, upigaji wa huku ni petty corruption ya kila mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake, just 10% kwa kuongeza kitu kidogo cha juu ambapo GIPSA imesaidia sana kupitia taneps.
  4. Development budget huangalia chungu kinaruhusu kupitisha bajeti ya kiasi gani na hapa ndipo madudu yote kufanyika na huku ndiko kwenye the grand Corruption.
  5. Siku zote Tanzania tunapanga bajeti ya kutumia fedha ambazo hatuna na matokeo yake ni kutemea makosanyo, mikopo na ufadhili.
  6. Siku zote baada ya hatuna ya Bajeti kusomwa wabunge wote hushangilia!, kila nikiangalia wanachoshangilia sikioni nikauliza huku sio kushangilia ujinga?
  7. CAG Prof. Assad akatoa ushauri wa maana sana lakini akapuuzia.
  8. Baada ya Exchequer kupitisha bajeti, bajeti hizo hupelekwa Bungeni kujadiliwa kupitishwa na kuidhinishwa.
  9. Hapa sasa ndipo the role ya Mdhibiti huanzia, fedha haziwezi kutolewa ndani ya mfuko Mkuu wa Hazina bila ya mdhibiti kuridhia.
  10. Mfano bajeti ya ununuzi wa ndege iliyoidhinishwa na Bunge ni kiasi kadhaa, fedha kabla hazijatoka lazima CAG aidhinishe na huo ndio Udhibiti.
  11. Fedha pekee kutoka mfuko Mkuu wa Hazina zinazotolewa bila idhini ya CAG ni fedha za dharura na maafa tuu.
  12. Na baada ya CAG kuidhinisha matumizi ndipo hupita kila taasisi kufanya auditing na kutoa Ripoti ya CAG.
  13. Kama CAG ndie muidhinishaji, iweje aidhinishe matumizi zaidi ya approved budget?!
  14. Sasa zaidi ya Ripoti ya CAG ya ukaguzi, lets demands
  15. Ripoti ya Udhibiti tuone CAG alidhibiti nini kikapuuzwa watu wakapiga pesa!
  16. Ripoti ya value for money kwa sio tuu kwa kila projects, hata kwenye Recurrent expenditure. Kuna tenda za common user items zina bei za ajabu.
  17. Sio kila ongezeko la bei ni upigaji. Ongezeko jingine la bei ni genuine
  18. Sio kila ripoti chafu ya ukaguzi lazima ni upigaji, sometimes ni ukiukwaji tuu wa taratibu.
  19. Na sio kweli kila audit queries za CAG hazijajibiwa, nyingine zimeisha jibiwa ila ni baada ya exit meeting hivyo ripoti hazionyeshi delivery na mfano mzuri ni ile tenda ya uniform za polisi, by the time ripoti ya CAG imetoka, ikasema polisi wamelipia bilioni 4 kununua mzigo hewa, kumbe mzigo uliisha ingia na yule bidada supplier akavuta mabilioni yake akayamwaga kwa wajumbe wa Kawe, akaongoza kura za maoni za Kawe, Blaza akamchinja na kutupatia yule tapeli kwasababu ni ...
  20. Hivyo natoa wito kwa CAG aongezwe bajeti, afanye Udhibiti kabla hatujapigwa na tupate ripoti ya Udhibiti na sio ya ukaguzi pekee!.
Paskali

Paskali, ujumbe kwenye "video clip" ifuatayo yahusu hoja zako
Hayo ndiyo madhara ya watu kuingia madarakani kwa kunajisi box la kura. Katika mazingira hayo huwezi kukuta taasisi yoyote ikiwajibika ipasavyo, kwani kuanzia rais hadi viongozi wa chini yake ni tunda la wizi wa uchaguzi.
Paskali, "video clip" ifuatayo yahusu hoja zako
 
Mwandishi wa hii habari bwana! Dah, that’s what audit is all about allover the World, watu wanafanya kazi yao as auditors then wana present their findings to the respective areas for action to be taken, and the have been doing that over and over again. The problem here is the system itself. No seriousness at all, same system and same people and you expect different results… that’s idiocy as you call it previously.
 
Ufisadi na wizi upo serikalini, lakini sio mkubwa kama anavyoainisha CAG. ripoti yake ina mapungufu makubwa, na kama serikali ikifuata ushauri wake kwa 100% shughuli nyingi za serikali zitakwama.

Wenye uzoefu na ukaguzi wanajua, ukiona auditor ameibua kasoro nyingi sana au hajaona kasoro yoyote, ujue huyo anashida, na hawezi kukusaidia kuboresha chochote.

Maboresho ni 'incremental process' hatua kwa hatua, na ndio maana wakaguzi wabobevu wanaibua kasoro chache ambazo ni critical kwanza, kisha zinafuatiliwa kwa ukaribu kuona kuwa zimefanyiwa kazi, baada ya hapo anaendelea na nyingine.

Hapana, ukaguzi unapofanyika na matatizo yakawa mengi, basi mkaguzi lazima aoneshe yote. Hii principle ya kusema mkaguzi aoneshe madhaifu machache ya msingi sio wa kweli kabisa. Inatakiwa auditor adhibitishe kasoro zote za kikaguzi ili yasijirudie tena.
 
Subiria matusi kutoka Kwa hao wapumbavu...

Mtu hata kusoma ripoti vizuri hasomi...
Ripoti inasema upigaji WA mwaka 2020...kuna maeneo ripoti ni ya past seven years...lakini anataka kukomaa na waziri wa sasa na Viongozi wa sasa bila kujiuliza why mambo ya miaka mitatu Hadi Saba yanatolewa Leo? Why hayakutolewa miaka mitatu nyuma?

Ukijaribu kuwaelewesha ni matusi na mihemko tu

Sikubaliani na wewe. Wizi hauna ukomo. Hata kama uliiba miaka mia iliyopita bado liability ipo. Tulianza kusema kama mtu aliiba mwaka juzi asisemwe basi tutatoa mwanya kwa mafisadi.
 
Subiria matusi kutoka Kwa hao wapumbavu...

Mtu hata kusoma ripoti vizuri hasomi...
Ripoti inasema upigaji WA mwaka 2020...kuna maeneo ripoti ni ya past seven years...lakini anataka kukomaa na waziri wa sasa na Viongozi wa sasa bila kujiuliza why mambo ya miaka mitatu Hadi Saba yanatolewa Leo? Why hayakutolewa miaka mitatu nyuma?

Ukijaribu kuwaelewesha ni matusi na mihemko tu
Wewe nawe ndo wale aliowataja Pascal kwamba ni stupid Kama ripoti ni ya 2021 na 2022 iweje CAG aweke vitu vya 2020? Huoni kwamba vimewekwa kutupoteza.Na vile walivyofanya vya sasa? Waachiwe waendelee? CAG anaichunguza serikali, nayo ijibu hoja. Siyo kusema eti serikali ya awamu hii haihusiki! Mbona madeni tunalipa tangu awamu ya 3?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala za kwa maslahi ya taifa.

Makala ya leo ni jinsi Watanzania wanavyoishadadia Ripoti ya CAG ya mwaka huu kushangalia ufisadi, as sasa ndio kuna ufisadi saana, kumbe kwa miaka 10 mfululizo ripoti za CAG zinaonyesha ufisadi na tena nyingine ufisadi mkubwa kuliko huu ambao umepelekea mimi kujiuliza kuwa je, kuna uwezekano sisi Watanzania ni ignorants, fools and very stupid?

Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake. Hivyo huko mbele anaweza kuja kujikwaa tena pale pale alipojikwaa mwanzo na kuanguka tena pale pale na this time akaumia hata akashindwa kuinuka!

Hii Ripoti ya CAG ni ripoti ya matokeo tuu wakati tumeshapigwa na sio chanzo. Siku zote tunasisitiza ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli we need an effective system yenye maximum transparency and accountability, kudhibiti kabla hatujaibiwa na sio mnaipa fedha mijizi, mnaiangalia jinsi inavyotafuna, kisha ndio mnakuja kukagua na kutoa Ripoti ya CAG ya ukaguzi kuonyesha tumeibiwa.

The role ya CAG kama Mdhibiti ni nini? Mbona bado tunaibiwa tuu na kuendelea kufanywa shamba la bibi?

Tena ripoti yenyewe ya CAG ya mwaka uliopita sio mbaya kama ripoti nyingine za CAG za nyuma lakini watu wanashadia na wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo cha madudu haya ni nini na nani? Huu kama sio ignorance, foolishness na stupidity ni nini hiki?

Je, Watanzania ni Ignorants, fools and stupid? Yaani Sisi Watanzania ni Wajinga ma Wapumbavu?

Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "Ma-ignorants!", fools na stupid kabisa, yaani wengi wetu vichwani ni watupu kabisa, empty shells, na wengine wetu ni vichwa maji kabisa. Uwezo wa kufikiri (ogical thinking) na kufanya tafakuri tunduizi (critical analysis) wa wengi wetu ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana kwa wakati sahihi (to make informed decisions), hali inayopelekea ripoti za CAG kila mwaka kuwa na madudu yale yale mwaka hadi mwaka. Halafu ripoti ya mwaka huu watu ndio wanajifanya wakali, wanashangaa!

Kila ripoti ya CAG inaandamana na mapendekezo ya CAG, Bunge letu linajadili na kutoa Azimio la Bunge, na kuipeleka serikalini kwa utekelezaji, and that's done. There is no follow up ya utekelezaji wala hakuna mrejesho wa nini kimetekekezwa, mpaka ripoti ya CAG ya mwaka inayofuata na madudu yale yale yakijirudia, huu kama sio ujinga ni nini?

Tena tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe au mazuzu kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues na immaterial ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu. Badala ya kudeal na real issues halisi zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilichopelekea haya yatokanayo yatokee, vyanzo havitafutwi, haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi, haviguswi, tuna deal na matokeo tuu!

Mwisho wa siku kuja kuvikamata vidagaa tuu, lakini mapapa na makambale, ya chanzo cha the grand Corruption hawaguswi, ni untouchable, huu kama sio ujinga ni nini?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kama wewe sio mtu wa mastori, then jump to conclusions, wale wa mastori ya Pasco Tuendeleeni.

Ujinga huu wa Watanzania, kutojiuliza chanzo cha tatizo umeanzia wapi na uko wapi?

Hii ignorance, foolishness na stupidity ya baadhi ya Watanzania kushadadia matokeo ya kuibiwa kwa kupiga sana kelele kuwa "Tumeibiwa" badala ya kudeal na chanzo kuzuia tusiibiwe, ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu.

Tuna wabunge mule ni vilaza fools and ignorants wa ajabu hakuna mfano! Ndio maana Mbunge anasoma headline ya gazeti, gazeti limeandika Bunge linajipendekeza kwa serikali? M mbunge kilaza haoni alama ya kuuliza, anasimama Bungeni na gazeti na kumuomba Mhe. Spika muongozo kuwa Bunge limedhalilishwa! Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?, Spika nae anakuwa mkali kweli kweli Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge


Tuna baadhi ya viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants, fools and stupid sana hadi ndani ya cabinet yetu, kuna baadhi ya mawaziri wetu ni ma ignorants na stupid kabisa! Uthibitisho ni jinsi baadhi ya mawaziri wetu wanavyo vurunda hivyo wengine kutimuliwa na wengine kutumbuliwa kila uchao.

Count the number of mini reshuffles from time to time, hii ni kutokana na udhaifu kwenye vetting wanampelekea Rais Samia mabomu na Mama anateua. Kuna mawaziri kwenye some few key miniseries ni misfits hivyo soon itafanyika tena reshuffle, na kufuatia uhaba wa capable people, tegemea recycling.

Kwenye hili la udhaifu wa uteuzi, naomba nimuwekee Mama caveat Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Tuna baadhi viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants, fools and very stupid, na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa taasisi nyeti na hadi baadhi ya wakuu wa vyombo vya dola, kitu ambacho ni hatari sana, na kuna kipindi (kimepita) hadi baadhi ya wakuu wa mihimili, jambo ambalo ni very dangerous na very risky kwa our national security.

Hii ignorance imekata across the society yetu left, right and centre hadi sisi wana JF pia, wengine wetu humu ni ma ignorants, fools and very stupid people, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, pia ni ignorant, fool na stupid fulani!

Mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuuliza maswali magumu hivi kwa viongozi wake! Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Je, mtu kuwaita Watanzania wenzako kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid ni kuwatukana?

Kumuita mtu yoyote kuwa ni mjinga, ignorant, fool and stupid, kama huyo mtu sio hivyo, then huko ni kumtukana, lakini kama mtu ni kweli ni mjinga, ni stupid, ni fool, na very stupid, kumuita hivyo sio kumtukana ni kumwambia ukweli.

Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijamtukana mtu yoyote wala sijawaita watu ni humu kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Je, aisi Watanzania ni wajinga, ignorants, fools and stupid?

Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants, fools and stupid au la! Kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa? Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya kwenye ripoti ya CAG ya mwaka hadi, mwaka kwa kufanyiwa madudu yale yale.


Conclusion and Recommendations
CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za fedha za serikali.
Utaratibu wa matumizi ya fedha za serikali kutoka mfuko Mkuu hazina ni huu;
  1. Wizara, Idara na Wakala, zinatumia fedha za Mfuko Mkuu wa Hazina, hutuma maombi fedha za bajeti zao serikalini katika mafungu mawili, 1. Recurrent expenditure 2. Development budget.
  2. Hupeleka bajeti hizo serikalini kwa the Councillor of the exchequer (MOF) ambapo Recurrent hupitishwa kama ilivyo.
  3. Kwenye recurrent upigaji ni mdogo, ukiondoa mishahara hewa, upigaji wa huku ni petty corruption ya kila mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake, just 10% kwa kuongeza kitu kidogo cha juu ambapo GIPSA imesaidia sana kupitia taneps.
  4. Development budget huangalia chungu kinaruhusu kupitisha bajeti ya kiasi gani na hapa ndipo madudu yote kufanyika na huku ndiko kwenye the grand Corruption.
  5. Siku zote Tanzania tunapanga bajeti ya kutumia fedha ambazo hatuna na matokeo yake ni kutemea makosanyo, mikopo na ufadhili.
  6. Siku zote baada ya hatuna ya Bajeti kusomwa wabunge wote hushangilia!, kila nikiangalia wanachoshangilia sikioni nikauliza huku sio kushangilia ujinga?
  7. CAG Prof. Assad akatoa ushauri wa maana sana lakini akapuuzia.
  8. Baada ya Exchequer kupitisha bajeti, bajeti hizo hupelekwa Bungeni kujadiliwa kupitishwa na kuidhinishwa.
  9. Hapa sasa ndipo the role ya Mdhibiti huanzia, fedha haziwezi kutolewa ndani ya mfuko Mkuu wa Hazina bila ya mdhibiti kuridhia.
  10. Mfano bajeti ya ununuzi wa ndege iliyoidhinishwa na Bunge ni kiasi kadhaa, fedha kabla hazijatoka lazima CAG aidhinishe na huo ndio Udhibiti.
  11. Fedha pekee kutoka mfuko Mkuu wa Hazina zinazotolewa bila idhini ya CAG ni fedha za dharura na maafa tuu.
  12. Na baada ya CAG kuidhinisha matumizi ndipo hupita kila taasisi kufanya auditing na kutoa Ripoti ya CAG.
  13. Kama CAG ndie muidhinishaji, iweje aidhinishe matumizi zaidi ya approved budget?!
  14. Sasa zaidi ya Ripoti ya CAG ya ukaguzi, lets demands
  15. Ripoti ya Udhibiti tuone CAG alidhibiti nini kikapuuzwa watu wakapiga pesa!
  16. Ripoti ya value for money kwa sio tuu kwa kila projects, hata kwenye Recurrent expenditure. Kuna tenda za common user items zina bei za ajabu.
  17. Sio kila ongezeko la bei ni upigaji. Ongezeko jingine la bei ni genuine
  18. Sio kila ripoti chafu ya ukaguzi lazima ni upigaji, sometimes ni ukiukwaji tuu wa taratibu.
  19. Na sio kweli kila audit queries za CAG hazijajibiwa, nyingine zimeisha jibiwa ila ni baada ya exit meeting hivyo ripoti hazionyeshi delivery na mfano mzuri ni ile tenda ya uniform za polisi, by the time ripoti ya CAG imetoka, ikasema polisi wamelipia bilioni 4 kununua mzigo hewa, kumbe mzigo uliisha ingia na yule bidada supplier akavuta mabilioni yake akayamwaga kwa wajumbe wa Kawe, akaongoza kura za maoni za Kawe, Blaza akamchinja na kutupatia yule tapeli kwasababu ni ...
  20. Hivyo natoa wito kwa CAG aongezwe bajeti, afanye Udhibiti kabla hatujapigwa na tupate ripoti ya Udhibiti na sio ya ukaguzi pekee!.
Paskali
Naunga mkono hoja!
 
Kwa Mujibu wa Mshana Jr anasema Nchi hii ina makafara matatu makubwa ila hili linalozunguka kila mahali ndiyo inasemekana linawafanya Watanzania kuwa hivi walivyo.

Watanzania ni kondoo wa kuona mali za Umma zinaibwa hata hawapigi kelele, mkihamasishana kuandamana kupinga Mapolisi wanatumika kuwapiga Wananchi Vilungu kwa Maslahi ya hao Wezi.

Ukiwasema humu mitandaoni wanajitokeza Chawa wao kukujibu eti unawaonea Wivu matajiri walioiba mali za Umma na kufungua miradi ya Mabasi, Viwanda, Migodi n.k
Kile kibayari wanachokimbiza nchi nzima Sina imani nacho.
Kwa suala la kafara namuumga mkono Mwenyekiti wa Waganga Kanda ya Pwani Comrade MshanaJR
 
Kutokana na maelezo yako yote mimi binafsi nakuunga mkono lkn tatizo ni pale chanzo kinapotaka kutibiwa ninyi wasomi hukimbia na kukaa pembeni mnawaachi wajinga wapambane wakishindwa mnasema waroho wa madaraka sasa kama wewe ni mkweli na una uchungu kuwa mstari wa mbele kudai KATIBA ndio chanzo kikuu cha ufisadi hapo ndipo tulipojikwaa vinginevyo unatuonea bure kwa kututukana
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala za kwa maslahi ya taifa.

Makala ya leo ni jinsi Watanzania wanavyoishadadia Ripoti ya CAG ya mwaka huu kushangalia ufisadi, as sasa ndio kuna ufisadi saana, kumbe kwa miaka 10 mfululizo ripoti za CAG zinaonyesha ufisadi na tena nyingine ufisadi mkubwa kuliko huu ambao umepelekea mimi kujiuliza kuwa je, kuna uwezekano sisi Watanzania ni ignorants, fools and very stupid?

Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake. Hivyo huko mbele anaweza kuja kujikwaa tena pale pale alipojikwaa mwanzo na kuanguka tena pale pale na this time sio akaukwaa na akaanguka tuu, hivyo kuinuka, kujifuta vumbi na kuendelea na safari yake, this time anaweza kujikwaa akaanguka na kutumia hata akashindwa kuinuka na kuendelea na safari yake, hivyo safari ikaishia hapo!.

Hii Ripoti ya CAG ni ripoti ya matokeo tuu wakati tumeshapigwa na sio chanzo. Siku zote tunasisitiza ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli we need an effective system yenye maximum transparency and accountability, kudhibiti kabla hatujaibiwa na sio mnaipa fedha mijizi, mnaiangalia jinsi inavyotafuna, kisha ndio mnakuja kukagua na kutoa Ripoti ya CAG ya ukaguzi kuonyesha tumeibiwa.

The role ya CAG kama Mdhibiti ni nini? Mbona bado tunaibiwa tuu na kuendelea kufanywa shamba la bibi?

Tena ripoti yenyewe ya CAG ya mwaka uliopita sio mbaya kama ripoti nyingine za CAG za nyuma lakini watu wanashadia na wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo cha madudu haya ni nini na nani? Huu kama sio ignorance, foolishness na stupidity ni nini hiki?

Je, Watanzania ni Ignorants, fools and stupid? Yaani Sisi Watanzania ni Wajinga ma Wapumbavu?

Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "Ma-ignorants!", fools na stupid kabisa, yaani wengi wetu vichwani ni watupu kabisa, empty shells, na wengine wetu ni vichwa maji kabisa. Uwezo wa kufikiri (ogical thinking) na kufanya tafakuri tunduizi (critical analysis) wa wengi wetu ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana kwa wakati sahihi (to make informed decisions), hali inayopelekea ripoti za CAG kila mwaka kuwa na madudu yale yale mwaka hadi mwaka. Halafu ripoti ya mwaka huu watu ndio wanajifanya wakali, wanashangaa!

Kila ripoti ya CAG inaandamana na mapendekezo ya CAG, Bunge letu linajadili na kutoa Azimio la Bunge, na kuipeleka serikalini kwa utekelezaji, and that's done. There is no follow up ya utekelezaji wala hakuna mrejesho wa nini kimetekekezwa, mpaka ripoti ya CAG ya mwaka inayofuata na madudu yale yale yakijirudia, huu kama sio ujinga ni nini?

Tena tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe au mazuzu kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues na immaterial ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu. Badala ya kudeal na real issues halisi zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilichopelekea haya yatokanayo yatokee, vyanzo havitafutwi, haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi, haviguswi, tuna deal na matokeo tuu!

Mwisho wa siku kuja kuvikamata vidagaa tuu, lakini mapapa na makambale, ya chanzo cha the grand Corruption hawaguswi, ni untouchable, huu kama sio ujinga ni nini?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kama wewe sio mtu wa mastori, then jump to conclusions, wale wa mastori ya Pasco Tuendeleeni.

Ujinga huu wa Watanzania, kutojiuliza chanzo cha tatizo umeanzia wapi na uko wapi?

Hii ignorance, foolishness na stupidity ya baadhi ya Watanzania kushadadia matokeo ya kuibiwa kwa kupiga sana kelele kuwa "Tumeibiwa" badala ya kudeal na chanzo kuzuia tusiibiwe, ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu.

Tuna wabunge mule ni vilaza fools and ignorants wa ajabu hakuna mfano! Ndio maana Mbunge anasoma headline ya gazeti, gazeti limeandika Bunge linajipendekeza kwa serikali? M mbunge kilaza haoni alama ya kuuliza, anasimama Bungeni na gazeti na kumuomba Mhe. Spika muongozo kuwa Bunge limedhalilishwa! Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?, Spika nae anakuwa mkali kweli kweli Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge


Tuna baadhi ya viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants, fools and stupid sana hadi ndani ya cabinet yetu, kuna baadhi ya mawaziri wetu ni ma ignorants na stupid kabisa! Uthibitisho ni jinsi baadhi ya mawaziri wetu wanavyo vurunda hivyo wengine kutimuliwa na wengine kutumbuliwa kila uchao.

Count the number of mini reshuffles from time to time, hii ni kutokana na udhaifu kwenye vetting wanampelekea Rais Samia mabomu na Mama anateua. Kuna mawaziri kwenye some few key miniseries ni misfits hivyo soon itafanyika tena reshuffle, na kufuatia uhaba wa capable people, tegemea recycling.

Kwenye hili la udhaifu wa uteuzi, naomba nimuwekee Mama caveat Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Tuna baadhi viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants, fools and very stupid, na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa taasisi nyeti na hadi baadhi ya wakuu wa vyombo vya dola, kitu ambacho ni hatari sana, na kuna kipindi (kimepita) hadi baadhi ya wakuu wa mihimili, jambo ambalo ni very dangerous na very risky kwa our national security.

Hii ignorance imekata across the society yetu left, right and centre hadi sisi wana JF pia, wengine wetu humu ni ma ignorants, fools and very stupid people, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, pia ni ignorant, fool na stupid fulani!

Mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuuliza maswali magumu hivi kwa viongozi wake! Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Je, mtu kuwaita Watanzania wenzako kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid ni kuwatukana?

Kumuita mtu yoyote kuwa ni mjinga, ignorant, fool and stupid, kama huyo mtu sio hivyo, then huko ni kumtukana, lakini kama mtu ni kweli ni mjinga, ni stupid, ni fool, na very stupid, kumuita hivyo sio kumtukana ni kumwambia ukweli.

Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijamtukana mtu yoyote wala sijawaita watu ni humu kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Je, aisi Watanzania ni wajinga, ignorants, fools and stupid?

Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants, fools and stupid au la! Kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa? Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya kwenye ripoti ya CAG ya mwaka hadi, mwaka kwa kufanyiwa madudu yale yale.


Conclusion and Recommendations
CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za fedha za serikali.
Utaratibu wa matumizi ya fedha za serikali kutoka mfuko Mkuu hazina ni huu;
  1. Wizara, Idara na Wakala, zinatumia fedha za Mfuko Mkuu wa Hazina, hutuma maombi fedha za bajeti zao serikalini katika mafungu mawili, 1. Recurrent expenditure 2. Development budget.
  2. Hupeleka bajeti hizo serikalini kwa the Councillor of the exchequer (MOF) ambapo Recurrent hupitishwa kama ilivyo.
  3. Kwenye recurrent upigaji ni mdogo, ukiondoa mishahara hewa, upigaji wa huku ni petty corruption ya kila mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake, just 10% kwa kuongeza kitu kidogo cha juu ambapo GIPSA imesaidia sana kupitia taneps.
  4. Development budget huangalia chungu kinaruhusu kupitisha bajeti ya kiasi gani na hapa ndipo madudu yote kufanyika na huku ndiko kwenye the grand Corruption.
  5. Siku zote Tanzania tunapanga bajeti ya kutumia fedha ambazo hatuna na matokeo yake ni kutemea makosanyo, mikopo na ufadhili.
  6. Siku zote baada ya hatuna ya Bajeti kusomwa wabunge wote hushangilia!, kila nikiangalia wanachoshangilia sikioni nikauliza huku sio kushangilia ujinga?
  7. CAG Prof. Assad akatoa ushauri wa maana sana lakini akapuuzia.
  8. Baada ya Exchequer kupitisha bajeti, bajeti hizo hupelekwa Bungeni kujadiliwa kupitishwa na kuidhinishwa.
  9. Hapa sasa ndipo the role ya Mdhibiti huanzia, fedha haziwezi kutolewa ndani ya mfuko Mkuu wa Hazina bila ya mdhibiti kuridhia.
  10. Mfano bajeti ya ununuzi wa ndege iliyoidhinishwa na Bunge ni kiasi kadhaa, fedha kabla hazijatoka lazima CAG aidhinishe na huo ndio Udhibiti.
  11. Fedha pekee kutoka mfuko Mkuu wa Hazina zinazotolewa bila idhini ya CAG ni fedha za dharura na maafa tuu.
  12. Na baada ya CAG kuidhinisha matumizi ndipo hupita kila taasisi kufanya auditing na kutoa Ripoti ya CAG.
  13. Kama CAG ndie muidhinishaji, iweje aidhinishe matumizi zaidi ya approved budget?!
  14. Sasa zaidi ya Ripoti ya CAG ya ukaguzi, lets demands
  15. Ripoti ya Udhibiti tuone CAG alidhibiti nini kikapuuzwa watu wakapiga pesa!
  16. Ripoti ya value for money kwa sio tuu kwa kila projects, hata kwenye Recurrent expenditure. Kuna tenda za common user items zina bei za ajabu.
  17. Sio kila ongezeko la bei ni upigaji. Ongezeko jingine la bei ni genuine
  18. Sio kila ripoti chafu ya ukaguzi lazima ni upigaji, sometimes ni ukiukwaji tuu wa taratibu.
  19. Na sio kweli kila audit queries za CAG hazijajibiwa, nyingine zimeisha jibiwa ila ni baada ya exit meeting hivyo ripoti hazionyeshi delivery na mfano mzuri ni ile tenda ya uniform za polisi, by the time ripoti ya CAG imetoka, ikasema polisi wamelipia bilioni 4 kununua mzigo hewa, kumbe mzigo uliisha ingia na yule bidada supplier akavuta mabilioni yake akayamwaga kwa wajumbe wa Kawe, akaongoza kura za maoni za Kawe, Blaza akamchinja na kutupatia yule tapeli kwasababu ni ...
  20. Hivyo natoa wito kwa CAG aongezwe bajeti, afanye Udhibiti kabla hatujapigwa na tupate ripoti ya Udhibiti na sio ya ukaguzi pekee!.
Paskali

Ulikua wapi kuyasema haya mwanzo? La pili wew ni mtafta fursa yani mchumia tumbo huna lolote na makala zako
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala za kwa maslahi ya taifa.

Makala ya leo ni jinsi Watanzania wanavyoishadadia Ripoti ya CAG ya mwaka huu kushangalia ufisadi, as sasa ndio kuna ufisadi saana, kumbe kwa miaka 10 mfululizo ripoti za CAG zinaonyesha ufisadi na tena nyingine ufisadi mkubwa kuliko huu ambao umepelekea mimi kujiuliza kuwa je, kuna uwezekano sisi Watanzania ni ignorants, fools and very stupid?

Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake. Hivyo huko mbele anaweza kuja kujikwaa tena pale pale alipojikwaa mwanzo na kuanguka tena pale pale na this time sio akaukwaa na akaanguka tuu, hivyo kuinuka, kujifuta vumbi na kuendelea na safari yake, this time anaweza kujikwaa akaanguka na kutumia hata akashindwa kuinuka na kuendelea na safari yake, hivyo safari ikaishia hapo!.

Hii Ripoti ya CAG ni ripoti ya matokeo tuu wakati tumeshapigwa na sio chanzo. Siku zote tunasisitiza ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli we need an effective system yenye maximum transparency and accountability, kudhibiti kabla hatujaibiwa na sio mnaipa fedha mijizi, mnaiangalia jinsi inavyotafuna, kisha ndio mnakuja kukagua na kutoa Ripoti ya CAG ya ukaguzi kuonyesha tumeibiwa.

The role ya CAG kama Mdhibiti ni nini? Mbona bado tunaibiwa tuu na kuendelea kufanywa shamba la bibi?

Tena ripoti yenyewe ya CAG ya mwaka uliopita sio mbaya kama ripoti nyingine za CAG za nyuma lakini watu wanashadia na wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo cha madudu haya ni nini na nani? Huu kama sio ignorance, foolishness na stupidity ni nini hiki?

Je, Watanzania ni Ignorants, fools and stupid? Yaani Sisi Watanzania ni Wajinga ma Wapumbavu?

Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "Ma-ignorants!", fools na stupid kabisa, yaani wengi wetu vichwani ni watupu kabisa, empty shells, na wengine wetu ni vichwa maji kabisa. Uwezo wa kufikiri (ogical thinking) na kufanya tafakuri tunduizi (critical analysis) wa wengi wetu ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana kwa wakati sahihi (to make informed decisions), hali inayopelekea ripoti za CAG kila mwaka kuwa na madudu yale yale mwaka hadi mwaka. Halafu ripoti ya mwaka huu watu ndio wanajifanya wakali, wanashangaa!

Kila ripoti ya CAG inaandamana na mapendekezo ya CAG, Bunge letu linajadili na kutoa Azimio la Bunge, na kuipeleka serikalini kwa utekelezaji, and that's done. There is no follow up ya utekelezaji wala hakuna mrejesho wa nini kimetekekezwa, mpaka ripoti ya CAG ya mwaka inayofuata na madudu yale yale yakijirudia, huu kama sio ujinga ni nini?

Tena tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe au mazuzu kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues na immaterial ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu. Badala ya kudeal na real issues halisi zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilichopelekea haya yatokanayo yatokee, vyanzo havitafutwi, haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi, haviguswi, tuna deal na matokeo tuu!

Mwisho wa siku kuja kuvikamata vidagaa tuu, lakini mapapa na makambale, ya chanzo cha the grand Corruption hawaguswi, ni untouchable, huu kama sio ujinga ni nini?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kama wewe sio mtu wa mastori, then jump to conclusions, wale wa mastori ya Pasco Tuendeleeni.

Ujinga huu wa Watanzania, kutojiuliza chanzo cha tatizo umeanzia wapi na uko wapi?

Hii ignorance, foolishness na stupidity ya baadhi ya Watanzania kushadadia matokeo ya kuibiwa kwa kupiga sana kelele kuwa "Tumeibiwa" badala ya kudeal na chanzo kuzuia tusiibiwe, ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu.

Tuna wabunge mule ni vilaza fools and ignorants wa ajabu hakuna mfano! Ndio maana Mbunge anasoma headline ya gazeti, gazeti limeandika Bunge linajipendekeza kwa serikali? M mbunge kilaza haoni alama ya kuuliza, anasimama Bungeni na gazeti na kumuomba Mhe. Spika muongozo kuwa Bunge limedhalilishwa! Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?, Spika nae anakuwa mkali kweli kweli Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge


Tuna baadhi ya viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants, fools and stupid sana hadi ndani ya cabinet yetu, kuna baadhi ya mawaziri wetu ni ma ignorants na stupid kabisa! Uthibitisho ni jinsi baadhi ya mawaziri wetu wanavyo vurunda hivyo wengine kutimuliwa na wengine kutumbuliwa kila uchao.

Count the number of mini reshuffles from time to time, hii ni kutokana na udhaifu kwenye vetting wanampelekea Rais Samia mabomu na Mama anateua. Kuna mawaziri kwenye some few key miniseries ni misfits hivyo soon itafanyika tena reshuffle, na kufuatia uhaba wa capable people, tegemea recycling.

Kwenye hili la udhaifu wa uteuzi, naomba nimuwekee Mama caveat Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Tuna baadhi viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants, fools and very stupid, na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa taasisi nyeti na hadi baadhi ya wakuu wa vyombo vya dola, kitu ambacho ni hatari sana, na kuna kipindi (kimepita) hadi baadhi ya wakuu wa mihimili, jambo ambalo ni very dangerous na very risky kwa our national security.

Hii ignorance imekata across the society yetu left, right and centre hadi sisi wana JF pia, wengine wetu humu ni ma ignorants, fools and very stupid people, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, pia ni ignorant, fool na stupid fulani!

Mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuuliza maswali magumu hivi kwa viongozi wake! Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Je, mtu kuwaita Watanzania wenzako kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid ni kuwatukana?

Kumuita mtu yoyote kuwa ni mjinga, ignorant, fool and stupid, kama huyo mtu sio hivyo, then huko ni kumtukana, lakini kama mtu ni kweli ni mjinga, ni stupid, ni fool, na very stupid, kumuita hivyo sio kumtukana ni kumwambia ukweli.

Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijamtukana mtu yoyote wala sijawaita watu ni humu kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Je, aisi Watanzania ni wajinga, ignorants, fools and stupid?

Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants, fools and stupid au la! Kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa? Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya kwenye ripoti ya CAG ya mwaka hadi, mwaka kwa kufanyiwa madudu yale yale.


Conclusion and Recommendations
CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za fedha za serikali.
Utaratibu wa matumizi ya fedha za serikali kutoka mfuko Mkuu hazina ni huu;
  1. Wizara, Idara na Wakala, zinatumia fedha za Mfuko Mkuu wa Hazina, hutuma maombi fedha za bajeti zao serikalini katika mafungu mawili, 1. Recurrent expenditure 2. Development budget.
  2. Hupeleka bajeti hizo serikalini kwa the Councillor of the exchequer (MOF) ambapo Recurrent hupitishwa kama ilivyo.
  3. Kwenye recurrent upigaji ni mdogo, ukiondoa mishahara hewa, upigaji wa huku ni petty corruption ya kila mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake, just 10% kwa kuongeza kitu kidogo cha juu ambapo GIPSA imesaidia sana kupitia taneps.
  4. Development budget huangalia chungu kinaruhusu kupitisha bajeti ya kiasi gani na hapa ndipo madudu yote kufanyika na huku ndiko kwenye the grand Corruption.
  5. Siku zote Tanzania tunapanga bajeti ya kutumia fedha ambazo hatuna na matokeo yake ni kutemea makosanyo, mikopo na ufadhili.
  6. Siku zote baada ya hatuna ya Bajeti kusomwa wabunge wote hushangilia!, kila nikiangalia wanachoshangilia sikioni nikauliza huku sio kushangilia ujinga?
  7. CAG Prof. Assad akatoa ushauri wa maana sana lakini akapuuzia.
  8. Baada ya Exchequer kupitisha bajeti, bajeti hizo hupelekwa Bungeni kujadiliwa kupitishwa na kuidhinishwa.
  9. Hapa sasa ndipo the role ya Mdhibiti huanzia, fedha haziwezi kutolewa ndani ya mfuko Mkuu wa Hazina bila ya mdhibiti kuridhia.
  10. Mfano bajeti ya ununuzi wa ndege iliyoidhinishwa na Bunge ni kiasi kadhaa, fedha kabla hazijatoka lazima CAG aidhinishe na huo ndio Udhibiti.
  11. Fedha pekee kutoka mfuko Mkuu wa Hazina zinazotolewa bila idhini ya CAG ni fedha za dharura na maafa tuu.
  12. Na baada ya CAG kuidhinisha matumizi ndipo hupita kila taasisi kufanya auditing na kutoa Ripoti ya CAG.
  13. Kama CAG ndie muidhinishaji, iweje aidhinishe matumizi zaidi ya approved budget?!
  14. Sasa zaidi ya Ripoti ya CAG ya ukaguzi, lets demands
  15. Ripoti ya Udhibiti tuone CAG alidhibiti nini kikapuuzwa watu wakapiga pesa!
  16. Ripoti ya value for money kwa sio tuu kwa kila projects, hata kwenye Recurrent expenditure. Kuna tenda za common user items zina bei za ajabu.
  17. Sio kila ongezeko la bei ni upigaji. Ongezeko jingine la bei ni genuine
  18. Sio kila ripoti chafu ya ukaguzi lazima ni upigaji, sometimes ni ukiukwaji tuu wa taratibu.
  19. Na sio kweli kila audit queries za CAG hazijajibiwa, nyingine zimeisha jibiwa ila ni baada ya exit meeting hivyo ripoti hazionyeshi delivery na mfano mzuri ni ile tenda ya uniform za polisi, by the time ripoti ya CAG imetoka, ikasema polisi wamelipia bilioni 4 kununua mzigo hewa, kumbe mzigo uliisha ingia na yule bidada supplier akavuta mabilioni yake akayamwaga kwa wajumbe wa Kawe, akaongoza kura za maoni za Kawe, Blaza akamchinja na kutupatia yule tapeli kwasababu ni ...
  20. Hivyo natoa wito kwa CAG aongezwe bajeti, afanye Udhibiti kabla hatujapigwa na tupate ripoti ya Udhibiti na sio ya ukaguzi pekee!.
Paskali

Unaposema Ripoti ya CAG ya mwaka Jana Si mbaya kuliko Ripoti za CAG zilizopita unamaana Gani?
 
Chanzo cha upigaji na wizi ni CCM.
Huo ndio ukweli wenyewe. Tatizo kubwa la nchi hii ni CCM na viongozi wake wakihanikizwa na idadi kubwa ya wajinga, wanafiki, washenzi na machawa wao.

Never underestimate the power of stupid people in large numbers.

Itakuwa vyema basi kwanza mleta mada ajipambanue aliposimama miongoni mwa makundi hayo ndipo mjadala uweze kuendelea OBJECTIVELY. Awe honest.

Bila kufanya hivyo, mjadala utaishia kuwa zoezi la kuzunguka mbuyu au mbwa kufukuza mkia wake! Atakuwa na lengo la kutucheza shere kwa manufaa ya chama chake.
 
Back
Top Bottom