Tumesomewa ripoti ya ukaguzi wa matumzi ya 2018/19, unataka kusema imehusisha na bajeti ya 2010/11?Acheni ujinga, ufisadi inaweza kuwa ulifanyika miaka 3 hadi 5 nyuma na huyo Slaa inawezekana ndiye mpuliza kipenga (whistle blower) wa hiyo issue. Mnadandia treni kwa mbele bila kusoma undani wa reporti. Watanzania wengi wapumbav sana.
Slaa macho yake yote yako Chadema siku hizi kuangalia weakness aanze kupiga kelele, matokeo yake weakness za nyumbani kwake hazioni!.
Labda na hili atatuambia tukasome kitabu chake, atakuwa kaandika yote hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupanic basiAcheni ujinga, ufisadi inaweza kuwa ulifanyika miaka 3 hadi 5 nyuma na huyo Slaa inawezekana ndiye mpuliza kipenga (whistle blower) wa hiyo issue. Mnadandia treni kwa mbele bila kusoma undani wa reporti. Watanzania wengi wapumbav sana.
Mtanzania yeyote, kwa mujibu wa katiba yetu hii mbovu ya 1977 na marekebisho yake, ana uhuru wa kutoa maoni, maonyo, mapendekezo au tahadhari kwa kiongozi au taasisi yoyote ya umma, kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo mbalimbali. Slaa alikuwa kiongozi wa CHADEMA, Hivyo mpaka wakati anajiuzulu, wanachama na watanzania wengine walikuwa na haki ya kutoa maoni yao: kumsifu, kumpongeza, kumkosoa, kumuonya, nk. CHADEMA ni taasisi ya umma inayopokea ruzuku ya serikali, ambayo. Ni fedha ya walipa kodi.Ulimuonya kama nani!acha ujuaji we popoma
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema katika ukaguzi unaoishia Juni 30, 2019 amebaini Balozi za Tanzania nchini Brazil, Nigeria na Stockholm(Sweden aliko Dr. Wilbroad Slaa) zimetumia Sh1.02 bilioni kukodi nyumba za makazi kiasi ambacho kingeepukika kama wangekarabati nyumba zao za makazi.
My take: Njaa ni mbaya sana.
Shetani hana rafiki , Dr Slaa tulimuonya sana lakini akatupuuza , atavuna alichopanda
Hiyo kodi walilipaje? Mipango ni kuchagua. Kupanga ni deal kuliko kumiliki.
Kwa hy ufisadi ni hoja ya chadema na sio ccmHata mimi naunga mkono kwamba kuuliza kama Chadema bado wanapambana na ufisadi ni hoja ya kijinga, maana kila mtu anajua Chadema waliiacha hiyo hoja toka mwaka 2015. Au sio Erythrocyte?
Alafu Tena ccm wakarudia nyimbo Ile Ile kama ni fisadi, mwishoni wakampokea Tena kwa shangweujinga mnao nyie ambao mlitaja watu kwa majina ni mafisadi baadae mkawakaribisha tena mkawapa nafasi ya kugombea uongozi wa nchi kupitia chama chenu
Zimetajwa Balozi tatu, kwa nini mnavalia njuga Ubalozi ulio chini ya Dk.Silaa - kuna kitu gani kinaedelea nyuma ya pazia, je, kuna watu wsmepania kumchafua Dk.Slaa ili atimuliwe kazi - najuwa kuna baadhi ya wana CCM hawakupendezwa Dk.Silaa kiteuliwa kama Balozi wetu huko SwedenMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema katika ukaguzi unaoishia Juni 30, 2019 amebaini Balozi za Tanzania nchini Brazil, Nigeria na Stockholm(Sweden aliko Dr. Wilbroad Slaa) zimetumia Sh1.02 bilioni kukodi nyumba za makazi kiasi ambacho kingeepukika kama wangekarabati nyumba zao za makazi.
My take: Njaa ni mbaya sana.
Mkakati uliopo na unaosukwa ni kuwatimua mamluki wote waliojiuza , kwa hoja kwamba walilipwa hela tasilimu waliponunuliwa , kwanini wamepewa tena vyeo ?Zimetajwa Balozi tatu, kwa nini mnavalia njuga Ubalozi ulio chini ya Dk.Silaa - kuna kitu gani kinaedelea nyuma ya pazia, je, kuna watu wsmepania kumchafua Dk.Slaa ili atimuliwe kazi - najuwa kuna baadhi ya wana CCM hawakupendezwa Dk.Silaa kiteuliwa kama Balozi wetu huko Sweden
Mahakama ya mafisadi ni ya nini mlianzishaAcha ujinga na upimbav hapo ulipo unasomeshwa na maCCM, kama sio wewe wadogo zako, na kama sio watoto wako. Unadhani akiingia huyo baba yako mwenye makengeza ndo nchi itatema maziwa na asali. Fanya kazi ujikwamue kiuchumi.
Kwa akili yako, kwanini mzee Sabodo alikataa kuwapa jengo la owrld cinema kama makao makuu yenu muondoke uchochoroni kwenye kabila la Rukwa, ni kwanini alikata ule msaada wa mamilion ya pesa kuchimba visima. Kwa sababu ya ufisadi. Unashindwa kutambua ufisadi hauna chama wala itikadi na unaliangamiza taifa
Usaliti kanisani (upadri) useja (ukaoa)usaliti chama hadi wananchi jamani yote hayo karma ikuache? NoMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema katika ukaguzi unaoishia Juni 30, 2019 amebaini Balozi za Tanzania nchini Brazil, Nigeria na Stockholm(Sweden aliko Dr. Wilbroad Slaa) zimetumia Sh1.02 bilioni kukodi nyumba za makazi kiasi ambacho kingeepukika kama wangekarabati nyumba zao za makazi.
My take: Njaa ni mbaya sana.
Nyie ndio hamjamuelewa CAG kwenye hiyo hoja alisema matumizi yasiyo na tija kwamba ubalozi ungezitumia kwa tija hizo hela kukarabati nyumba ambayo ipo baada ya ukarabati nyumba ingetumika for more than 3 or 5 years na wasingekuwa na gharama za kulipa kodi.Manake unakuta gharama za kukarabati nyumba ni ndogo tu ila mtu anaamua kupanga mwaka mzima halafu ukarabati unaweza chukua hata mwezi 1 tuMkuu mtoa post hajaelewa. Anafikiri Dk. Slaa alipewa kukarabati badala yake akakodi.
Hakuna hela ya serikali inayotumika pasipo bajeti, na bajeti za balozi zipo katika bajeti ya wizara ya mambo ya nje ambayo inapitishwa na bunge la JMT.Kama hela ya kukodi nyumba ilikuwepo kwanini wasingeitumia kukarabati hizo nyumba za ubalozi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana wewe ndiye mpumbavu kuliko hao unao wananga. Hii ni Ripoti ya Hesabu ya CAG inayoishia 30/ 06/ 2019. Utajiuliza Dr Slaa aliingia lini Sweeden ndiyo utajua mpumbavu wa kweli ni naniAcheni ujinga, ufisadi inaweza kuwa ulifanyika miaka 3 hadi 5 nyuma na huyo Slaa inawezekana ndiye mpuliza kipenga (whistle blower) wa hiyo issue. Mnadandia treni kwa mbele bila kusoma undani wa reporti. Watanzania wengi wapumbav sana.
Unajua hiyo ripoti inatoka kila baada ya muda gani?Acheni ujinga, ufisadi inaweza kuwa ulifanyika miaka 3 hadi 5 nyuma na huyo Slaa inawezekana ndiye mpuliza kipenga (whistle blower) wa hiyo issue. Mnadandia treni kwa mbele bila kusoma undani wa reporti. Watanzania wengi wapumbav sana.
Msiingize siasa kwenye hili. Kwanza inabidi mfahamu kuwa mjini Stockholm tuna jengo la ubalozi ambalo limechakaa kiasi cha kuathiri hadhi ya balozi wetu. Kwenye nchi ile hakuna kitu ghali kama nyumba. Bajeti ya ubalozi kwa miaka mingi hawakuwa wanapelekewa maduhuli ya kutosha kuweza kufanya ukarabati wenye hadhi stahili. Balozi wetu option iliyokuwepo ni kukodi/kupanga nyumba ya balozi ambayo over the years imeonekana kuwa ni nyingi. Mapendekezo ya CAG ni kuwa 'bora kufanya ukarabati wa nymba hiyo kuliko kuendelea kukodi. Sasa kwa hili ufisahakuna di upo wapi???? Tafuteni jingine lakini kwa hili mnakosea sana na mnamkosea sana balozi wetu.Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema katika ukaguzi unaoishia Juni 30, 2019 amebaini Balozi za Tanzania nchini Brazil, Nigeria na Stockholm(Sweden aliko Dr. Wilbroad Slaa) zimetumia Sh1.02 bilioni kukodi nyumba za makazi kiasi ambacho kingeepukika kama wangekarabati nyumba zao za makazi.
My take: Njaa ni mbaya sana.