Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

MAMBO HAYA NIMEYAIBUA TOKA "MICHUZI BLOGSPOT" AMBAKO IMEBANDIKWA PUNDE TU. Mjumbe hauawi, nawasilisha:

MWAKYEMBE AMWAGA LAZI BUNGENI




2. WAZIRI WA SASA WA NISHATI NA MADINI MH. NIZAR KARAMAGI NA MWANASHERIA MKUU WAWAJIBISHWE KWA KUWEZESHA MKATABA WA RICHMOND KUHAMISHIWA KAMPUNI INGINE
HAPA NIMEPIGWA NA MSHANGAO, HIVI HUYU MWANASHERIA MKUU SI NDIYE AMECHAGULIWA ILI ASIMAMIE ILE KAMATI YA SUALA LA BOT NA PESA ZA EPA. NASHINDEA KUPATA JIBU KAMATI YAKE ITALETA RIPOTI GANI IKIWA YEYE MWENYEWE ANAFAGILIA MAMBO YA USANII HUU YANAYOFANYWA NA MAFISADI.
 
sasa mkuu ulijuaje kuwa kakataliwa na kikao kinaongozwa malecela wakati ni cha siri?

au mzee umo ndani ya kikao? au kuna mtu anakupenyezea?

au ni uvumi toka kichwani?
 
Tunahitaji ushahidi zaidi kama kweli unayosema yametendeka, tunasubiri ukurasa mpya wa histroa ya walalahoi wa Tanzania!!!!
 
Tunahitaji ushahidi zaidi kama kweli unayosema yametendeka, tunasubiri ukurasa mpya wa historia ya walalahoi wa Tanzania!!!!
 
Next PM, Mwanamalundi kutoka JF. Tumechoka na ku-recycle walewale. Tunataka damu mpya.
 
Jamani saa chache nimedokeza, kuwa kwa sababu zisizo na maana sana Jumanne M. au J. Malecela ndiye PM ajaye. Mimi niko huku nawabembeleza wafugaji watuuzie nyama ya kutosha siku ya "kuthibitishwa" hakuna kadi rasmi ila wadanganyika wote mnakaribishwa Chamwino
 
Mheshimiwa Spika, Kamati Teule sasa inaelewa chimbuko la tabia mbaya iliyoenea nchini ya ajali ikitokea watu kukimbilia kusaidia. Lakini si wote wenye dhamira ya kusaidia, kuokoa. Baadhi yao lengo kuu ni kuiba, kupora! Viongozi tunaobuni miradi kutokana na majanga ya kitaifa, hatuna tofauti na watu wanaokimbilia ajali kama waokoaji kumbe wezi. Ukame nchini ulitabirika, lakini hatukuchukua hatua mapema pengine kwa kusubiri janga kubwa litokee ili kupata fursa ya miradi ya akina Richmond

KUMBE WALIKUWA VIBAKA
 
Poleni Watanzania,

Nami nampongeza Mwakembe! Ila kama walivyosema wengine nahofia usalama wake!

Ndo maana kumbe Spika ni waoga siku zote kuunda tume huru???

Sita na EL walipinga sana hili!

Good- Mwenyekiti -Mwakembe ni CCM ili wasije sema hii riporti na ya kisiasa na ni ya wapinzani!
 
Over Lowasa- ni kwa nini JK aling'ang'ania wakati Mwalimu alishasema sii mtu mwadilifu?

JK na EL au wanakula wote sahani moja?
 
Jamani saa chache nimedokeza, kuwa kwa sababu zisizo na maana sana Jumanne M. au J. Malecela ndiye PM ajaye. Mimi niko huku nawabembeleza wafugaji watuuzie nyama ya kutosha siku ya "kuthibitishwa" hakuna kadi rasmi ila wadanganyika wote mnakaribishwa Chamwino

Yeyote atakaetajwa sasa hivi ni nafuu kuliko kumwacha EL aendelee na u-PM.Mimi naona hata huyo mzee "Agwe"sawa tu.Litakuwa fundisho na historia.
 
HAPA NIMEPIGWA NA MSHANGAO, HIVI HUYU MWANASHERIA MKUU SI NDIYE AMECHAGULIWA ILI ASIMAMIE ILE KAMATI YA SUALA LA BOT NA PESA ZA EPA. NASHINDEA KUPATA JIBU KAMATI YAKE ITALETA RIPOTI GANI IKIWA YEYE MWENYEWE ANAFAGILIA MAMBO YA USANII HUU YANAYOFANYWA NA MAFISADI.

MaskiniJeuri:

Ni bora tukamuulize aliyemteua huyo Mwanasheria Mkuu kusimamia mambo hayo ya BOT!

Sasa hivi tunaishangilia hii ripoti ya Kamati Teule ya Bunge; je hiyo ripoti ya BOT ingetolewa si wengi hapa hata kuzimia wangezimia Kabisa?

Mambo baaadooo kabisa!
 
Nimeshindwa kusoma hii ripoti mpaka mwisho machozi yananitoka kwa uchungu , hivi hawa watu kweli ni watanzania wenzetu? Kweli hawa watu wanafikiria kuhusu kizazi kipya .
 
Hata sura they show no remorse yaani wamekomaa na sura mbaya sana za baadhi hapa . Mtahukumiwa na laana na mateso ya Watanzania viwe juu yenu.

My prediction is that . Next MP is Dr.Mwakyembe ama la atachukua uwaziri wa wizara nyeti .
 
big up MWAKYEMBE!!!!,thats y i like JF!
 
Back
Top Bottom