leo lowasa kavuliwa chupi mbele ya wakwe na mawifi zake
Hata sura they show no remorse yaani wamekomaa na sura mbaya sana za baadhi hapa . Mtahukumiwa na laana na mateso ya Watanzania viwe juu yenu.
My prediction is that . Next MP is Dr.Mwakyembe ama la atachukua uwaziri wa wizara nyeti .
Tunahitaji ushahidi zaidi kama kweli unayosema yametendeka, tunasubiri ukurasa mpya wa historia ya walalahoi wa Tanzania!!!!
NEXT PM?????? awe:JOHN POMBE MAGUFULI, mwasemaje wana JF?
Mama Mdogo endelea kuwa Mama mdogo mimi sina muda kulumbana na kukuthibitishia ila ukweli ni huo kwamba Malecela ndiyo anaongoza kiikao sasa hivi .Kama mimi sijaingia ama nimeingia wewe jali nalo kueleza hii ni JF kama ni uongo watasema hapa watu kwa uwazi.Narudia Malecela ndiye Mwenyekiti wa kikao cha cha Kamati ya uongozi wa Siasa as we speak .
ripoti kali mno.
imoto inaunguza pande zote
mie liloniumiza ni jinsi gani watanzania tunavyokuwa wapenda majungu na wapenda domo nje ila tukiitwa tuthibitshe ukweli tunaanza kuuma uuma vidole.
ni aibu kutojiamini na kutokuwa jasiri wa kusema ukweli.
hii imeanza kunipa wasi wasi mkuu kuwa watanzania ni watu dhaifu na ni watu ambao tutachelewa sana kuendelea.
kumbe yanayosemwa amani yetu ni ya woga ni maneno ya kweli.
nnaamini kuna ukweli mwingi haujawekwa wazi kwa hofu.
nnaamini kuna mengi yatakuja juu mwaka huu.
hongera wenye kuitakia mema nchi yetu bila ya kujali itikadi zao iwe kisiasa au kidini cha msingi upuuzi wa kuinyonya tanzania na kuwakandamiza watanzania ukomeshwe