Mugo"The Great"
JF-Expert Member
- Oct 7, 2007
- 262
- 25
....inavyoonekana ni kuwa kama lowassa hatawajibishwa basi na hawa wa chini kina karamagi...wataweza kupona...
kikao cha kamati ya chama ambacho huongozwa na lowassa jioni hii kasimamia malecela...huyu mzee atabiriki ..ana uwezo wa kumuokoa na watu msiamini...pamoja na kuwa mkewe wazi anampinga lowassa[mnakumbuka kuna hisia kuwa wale vibaka waliomfanyia kitu mbaya wakati ule pale moro ..anasadikika walitumwa na mtandawoo]
hatima ya yule waziri ofisi ya waziri mkuu ambaye alikuwa akiwajibu nyodo wajumbe wa kamati na kutetea kuwa waziri mkuu hakuhusika wala hawezi hojiwa pale karimjee..sijui itakuwa ipi...
lowassa na jk ni marafiki wa yamini na wana siri nzito zinazoweza waangusha wote pamoja ..kama kutakuwa na kuwajibika ni jambo ambalo wataliamua woote na jk kwa pamoja na bila mikwaruzo...tusubiri..
Hii, tanguapo, haitatokea ikiwa Lowassa akifukuzwa kisha akatishia (Lowassa)kumuumbua JK kwa kutoa uozo wake hadharani.
Kwa mara ya kwanza kuanzia kuanzishwa kwa bunge la vyama vingi Tanzania. Nimeshuhudia mbunge shujaa kutoka chama tawala akielezea, kinaga ubaga, mapungufu ya serikali ya chama tawala, katika bunge bila ya kujali maslahi ya chama tawala.
Dr. Mwakyembe anstahili kila sifa iwe kutoka kwa wapinzani, chama tawala, au wasio na chama chochote cha kisiasa. Kwani amejitowa muhanga kwa ajili ya wananchi wote wa Tanzania.
Leo, Dr. Mwakyembe amefunguwa ukurasa mpya wa siasa Tanzania, kwa mara ya kwanza serikali inaanikwa madhambi yake hadharani na mbunge wa chama tawala.
Heko Dr. Mwakyembe, nakuombea Mwenyeezi Mungu akulinde na maadui na wote uliowa-wafichuwa wana kila sababu ya kukufanyia uadui.
Hapa hajiuzulu mtu mpaka kieleweke kama mtandao unakufa au unaendelea. Kila mtu anaogopa anachojua mwenzake na kuna mambo ya kumwaga mboga na ugali yanaweza kufanyika hapa.
tik tak tik tak tik ...........
Jamani Kama EL atasimama Bungeni na kuwaambia wabunge kwamba JAMANI KWELI YAMETOKEA NA TUSAMEHEANE NA SASA TUGANGE YAJAYO, wabunge makoooooooooooooofi kwa wingi na yame kwisha?
B]Baada ya Lowasa next ni Jakaya Mrisho? BoT..IPTL..DEEP GREEN?.[/B]
Most users ever online was 1,227, Today at 02:55 PM.
IDIMI, akoe, alles, august_shao, BabaH, Bimkubwa, Bin Maryam, bob, Bowbow, chamchana, Chuma, DAR si LAMU, dash, DawaKali, Dotori, Echolima, Endeleaaa, Fundi Mchundo, Gembe, green29, humble servant, ibrahim dahir, Icadon, Invincible, Jasusi, Juakali, Kalamu, kamakaranga, kapinga, katibu tarafa, keiawa, kibunango, kinetiq01, kinyambiss, Kisura, Kithuku, Koba, kudi shauri, Kulikoni, Lunyungu, MADELA WA- MADILU, mahesabu, malila, Masatu, Masikini Jeuri, maya, mbishi, mfwatiliaji, mihengeli, mkamap, Mkandara, mkuu, Mlalahoi, mpanda merikebu, mtambo, Mtanzania, mtimkavu, Mtu Mzima, Mtu wa Pwani, mtu66, mTz, Mugo"The Great", Muhunzi, mwafrika wa kike, mwana siasa, mwanawasa, Mwiba, mwijage112, Mzalendohalisi, Mzee Mwanakijiji, Mzuzu, naamnani, NAJIKOPA MWENYE, NakuliliaTanzania, Nurujamii, Nyangumi, Nyani Ngabu, Nzokanhyilu, Ogah, Ole Matolo, pangupakavu, peace2007, phillemon mikael, prince andrew, princejafari, Pundamilia07, QuickMover, Rubabi, Rufiji, Scorpion, senator, sensitive, serengeti, Siriha, Sura-ya-Kwanza, tanzactive, TzPride, UFUNUO WA YOHANA, ulate, Ushirombo, wanzagi, watu wewe, Wicked3, Yebo Yebo, Yombayomba, YournameisMINE, Zee la shamba, zomba
Je Mwakyembe ana beef na EL? Je hawpatani? Je ndani aya CCM kuna mgawanyiko?
Au simply watu wamechoshwa na skandali za kila siku wakaona waseme ukweli?
Je Mwakyembe ni mwadilifu nae? Rekodi yake ikoje?
kwa nini kila mtu anapotimiza wajibu wake kunaibuka hisia kuwa watu hawaaminiani?
Mwakyembe katimiza wajibu wake na ni wajibu wa kila kiongozi kusema ukweli sio kuficha maovu kama haya .
Wanaelewana sana ila yeye mwakyembe ni mkweli.
Hii report in deep kuliko nilivyotegemea...Yaani Dr na Timu yake wamefanya kazi kwenye ndani ya mwezi mmoja...kwa mara ya kwanza narithika na kazi ya Mbunge yoyote wa CCM
Wakuu nimesoma hii ripoti ya Dr Mwakyembe hadi nimesisimka! Amemkoma nyani balaa! Au niseme ameikoma minyani! Namkubali, naikubali kamati yake yote, na bado siamini kama waliweza kuandika ripoti ndefu kiasi hicho katika muda waliopewa, mahojiano yaliendelea hadi 27 Dec, na 31 Dec ripoti tayari! Walikuwa hawalali hawa jamaa! Hongera zao kwa sana.
I hope hii ripoti imerudisha imani ya Mwafrika wa Kike kwa Mheshimiwa Dr. Mwakyembe!
...................mwakyembe Is Always Good..na Kabla Ya Mawaziri Kutajwa Wakati Ule Alikuwa Akijua Angekuwamo....jk Alimvuta Mtandao Kuogopa Asijiunge Kwa Mwandosya...ila Nasgangaa Kwa Nini Akawa Mtandao Matumaini..kati Ya Wana Mtandao Original Kuna Ambaye Haziivi.....
Katika Historia Ya Bunge Sijawahi Kuona Ripoti Iliyokuwa Nzito Namna Hii Kwa Uwazi Wa Kila Kitu...nina Imani Hata Spika Na Waziri Mkuu Hawakujua Ingesomwa Kavu Kavu Namna Hii..
Sasa Ndio Mtaona Kwa Nini Spika Alikuwa Akijaribu Kuikwepa Isisomwe ..alikuwa Ame Pre View Akaona Ni Motoo..
Kwa Analysis Ya Haraka Ujasiri Alioonesha Mwakyembe Inaonekana Una Baraka Za Mkuu....kaamua Kujisafisha ...mnajua Jk Is Always A Good Politician...nitoke Vipiii????...sasa Kwa Muda Tutasahau Za Bot..alafu Baada Ya Hili ...akiwaletea Na Single Iliyopo Jikoni Ya Tume Ya Jaji Bomani Aka Zitto Commetee..itakuwa Funika Bovu ..na Itazima Yote Haya...mtakuwa Na Mengi Ya Kumshabikia Sterling Jk Mwaka Huu...hadi Mwisho Wa Mchezo....