bokassa
JF-Expert Member
- May 19, 2007
- 401
- 11
Mwishimiwa Mwakyembe kwa hakika ni shujaa!!!!!!!
Ila kache-nsha kwa ile statement yake!! Kwamba kuna mengine alifunika kwa manufaa ya nani??? Nadhani kazi ile ya kizalendo aliifanya kwa manufaa ya Taifa na kwa hilo hakuna kilicho muhimu zaidi yake!!!
KAMA KATELEZA SI AOMBE MSAMAHA TU!! KWANI MWADHANI MASHUJAA HAWAJUI NENO "KUNRADHI"
Ila kache-nsha kwa ile statement yake!! Kwamba kuna mengine alifunika kwa manufaa ya nani??? Nadhani kazi ile ya kizalendo aliifanya kwa manufaa ya Taifa na kwa hilo hakuna kilicho muhimu zaidi yake!!!
KAMA KATELEZA SI AOMBE MSAMAHA TU!! KWANI MWADHANI MASHUJAA HAWAJUI NENO "KUNRADHI"