Mwishimiwa Mwakyembe kwa hakika ni shujaa!!!!!!!
Ila kache-nsha kwa ile statement yake!!
"We Chiligati nini?"
Hivyo vitu viwili ulivyovisema hapo, kwa washabiki wengi wa maendeleo na wapinga ufisadi, haviingii akilini kuvisema pamoja. Utaambiwa wewe Makamba unatumia user name ya Bokassa.
Haingii akilini kabisa kwa wengi kusema shujaa kakosea.
Ni kama Yesu vile, huwezi kumkosoa kama umekulia kanisani. Lakini ambacho hatuambiwi, ni kwamba hata Yesu nae kuna siku aliharibu alipomwambia Mungu, Mungu niepushe na kikombe hiki, siku ile walipokuwa wanaelekea Calvary kumfanyia. Yesu hapo hapo akajishtukia kakurupuka, akarekebisha, "ikiwa ni mapenzi yako." That same morning, Yesu alikuwa ametoka kumwambia Pilato kwamba nguvu zote za kunitesa tumekupa sisi, yani yeye Yesu na Mungu. Lakini wakati anaenda kugongelewa misumari, Yesu mwenyewe akataka kuchomoa. Aliogopa. Alichemka. Akarekebisha.
Sembuse Mwakyembe?
Kwa kifupi ni kwamba kuna watu wetu wa uwt waliohusika na hii ishu kwa nia njema na mbaya, lakini bado huwezi kuziweka habari hizo zote hadharani kwa sababu wengine wahusika bado ni active wa uwt, sasa hizi ndio tunaita siasa za kiutu-uzima,
Mbunge na Shujaaa Mwakyembe, amefanya the best he could kulingana na mazingara ya kiserikali na kisiasa tuliyonayo Tanzania, kumbukeni wakuu kuwa siasa za bongo sio za huko majuu, naona mara nyingi tunachanganya sana hili,
Mwakyembe bado ni shujaa wangu na wa taifa langu, asiyekubali uwanja uko wazi na wewe ni kuingia tuone vitu vyako, nafikri Mwakyembe anayo haki ya kuwauliza wabongo kama muanzisha topic kuwa je toka atoe hii ripoti iliyowapeleeka mwaziri wawili na waziri mkuu kujiuzulu, wewe kama mwananchi umefanya nini hasa kama nyongeza ya pale alipoishia?
Mkuu ni haki yako kuuliza, kama ilivyo haki yetu not only kukuuliza ila ni pamoja kukuelimisha zaidi, kwani sio siri kuwa uwezo wako wa kufikiri na kuelewa unapoishia ni level ndogo sana kwa hii JF.
Ahsante Mkuu!
"We Chiligati nini?"
Hivyo vitu viwili ulivyovisema hapo, kwa washabiki wengi wa maendeleo na wapinga ufisadi, haviingii akilini kuvisema pamoja. Utaambiwa wewe Makamba unatumia user name ya Bokassa.
Haingii akilini kabisa kwa wengi kusema shujaa kakosea.
Ni kama Yesu vile, huwezi kumkosoa kama umekulia kanisani. Lakini ambacho hatuambiwi, ni kwamba hata Yesu nae kuna siku aliharibu alipomwambia Mungu, Mungu niepushe na kikombe hiki, siku ile walipokuwa wanaelekea Calvary kumfanyia. Yesu hapo hapo akajishtukia kakurupuka, akarekebisha, "ikiwa ni mapenzi yako." That same morning, Yesu alikuwa ametoka kumwambia Pilato kwamba nguvu zote za kunitesa tumekupa sisi, yani yeye Yesu na Mungu. Lakini wakati anaenda kugongelewa misumari, Yesu mwenyewe akataka kuchomoa. Aliogopa. Alichemka. Akarekebisha.
Sembuse Mwakyembe?
Let not our adulation for Dr. Mwakyembe's good work blind our sense of judgement and commitment to impartiality, for those of us who claim any at all.
Some spades are big spoons; however sometimes dont dare to talk openly.
Hivi kile alichosema Mwakyembe hadi kusababisha kuvunjika kwa serikali, kilikuwa kimelinda heshima ya serikali? Je kwa ripoti yake na kilichomo siyo kwamba amethibitisha kuwa alichoheshimu ni nchi zaidi kuliko serikali kwani kama kweli angetaka kulinda heshima ya serikali hiyo ripoti ingelingana na ile ya TAKUKURU.
angesema vyote, saa hizi may be tungekuwa kwenye process ya uchaguzi mwingine, kwa nini hakusema, kuna ufisadi ambao hakuusema ili kulinda taifa labda?!
Kwani Bubu kasema nini kuhusu hiyo habari?