Mtu mzima mwenye akili timamu na Mtanzania, anajua wazi kuwa Mkapa ni mwizi na Mwakyembe sio mwizi ila ni shujaaa wa taifa, kwa kuweza kuandika ripoti ambayo imeweza kwa mara ya kwanza katika historia ya taifa letu kumtoa kazi waziri mkuu na mawazri wawili tena marafiki wa karibu wa rais,
Lakini hawezi kulilia kuwa Mkapa na Mwakyembe ni sawa, that is pathetic!
Mama ahsante.
Labda aseme mwingini. Mimi nikimkosoa huyo mtu huwa kinageuka ki-bifu kama personal personal hivi.
Hebu msaidieni huyo mtu kuelewa jamani.
aachwe mwakyembe! asikosolewa! kwa vile ameficha mambo kwa hehima ya serikali!
Vile vile Mkapa aachwe kwa heshima ya serikali.
Hakuna Tofauti yeyote katika ya Mwakyembe na Balali................wote wameficha mambo kwa heshima ya serikali....
kuwataja siri za ufisadi serikalini ni kuivunjia heshima serikali.....anayeficha siri za ufisadi naye ni FISADI. Ufisadi ni ufisadi hakuna ufisadi mkubwa wala mdogo.[/
claiming not to question credibility na honest ya mwakyembe kwa watanzania kwa kuficha baadhi ya siri is TOTALLY EXTRA PATHETIC
Mwakyembe aachwe kwa sababu hawezi kuisema serikali, kama Pinda alivyosema juzi kuwa meremeta ni mali ya jeshi, full stop.
Mkuu najua ni lazima umtetee mkapa lakini mkapa ni mwizi period hawezi linganishwa na shujaa Mwakyembe.
unachoweza kufanya sana ni kubadili majina tu, lakini hoja huwa huna hata siku moja, Balali aliwahi kuandika ripoti ipi hiyo ambayo alisema kuwa hawezi kutoa yote kwa sababu ya heshima kwa serikali?
Mwakyembe unaweza kumfananisha na Balali? You must be kidding me?
Fisadi ni mkapa sio Mwakyembe, tunasubiri tu maana naye siku zake zinakaribia kufikia ukingoni, Mwakyembe ni saafi na tunaheshimu sana kazi yake kubwa kwa taifa letu na Mungu ambariki sana.
What makes "usalama wa Taifa" any better than "heshima ya serikali"?
Mkuu kwa hiyo kama US walificha ripoti yao na sisi tuwaige tufiche ripoti yetu? Tangu lini tumeanza kuiga yanayofanywa na US? Kwa kuwa US walifanya basi ni halali na Tanzania wafanye?
...It is as simple as that.
Kwa mwananchi wa Tanzania, kutoelewa alichofanya Mwakyembe kwa kutotoa siri za serikali ndio hasa a pathetic thinking na wala sio spirit ya JF, ni lazima siku zote ujionyeshe kuwa uanjau sana, jana Dr. slaa anajiandikisha unadai kuhusu PHD yake na nonesense kibao, ni lazima siku zote ujionyeshe kuwa unajua sana wakati ukweli unajisema wazi mkuu!
Kwa mwananchi wa Tanzania, kutoelewa alichofanya Mwakyembe kwa kutotoa siri za serikali ndio hasa a pathetic thinking na wala sio spirit ya JF, ni lazima siku zote ujionyeshe kuwa uanjau sana, jana Dr. slaa anajiandikisha unadai kuhusu PHD yake na nonesense kibao, ni lazima siku zote ujionyeshe kuwa unajua sana wakati ukweli unajisema wazi mkuu!
Kuna kila sababu ya vyombo vya habari kumhoji Mwakyembe kwamba ni nani aliyempa madaraka ya kuamua nini kiandikwe/kisiandikwe katika ripoti ile.
Mimi kuquestion PhD ya Slaa? YOU ARE COMPLETELY PATHETIC! Rudia tena ile thread, hukawii kusema unanijua na utamwaga siri hata za mume wangu. Maana ndio tabia yako ya kutisha watu hapa pale unapoona wanaenda tofauti na unavyotaka wewe, pole sana sio wote wa kuburuzwa na mawazo yako.
Hakuna siri za serikali bwana!!!! Serikali iko pale kwa kuwekwa na wananchi na hivyo hawastahili kuficha chochote dhidi ya wale waliowaweka madarakani. Hizo siri za serikali zina kashfa mbali mbali ambazo zinawagusa wakubwa serikalini ndiyo maana zinaitwa siri za serikali, lakini serikali yoyote iliyo safi haistahili kuwa na siri yoyote dhidi ya Wananchi wake.
Mimi kuquestion PhD ya Slaa? YOU ARE COMPLETELY PATHETIC1 Rudia tena ile thread, hukawii kusema unanijua na utamwaga siri hata za mume wangu. Maana ndio tabia yako ya kutisha watu hapa pale unapoona wanaenda tofauti na unavyotaka wewe, pole sana sio wote wa kuburuzwa na mawazo yako.
Mwakyembe ni Mwanssheria aliyebobea, aliyekuwa anajua wazi uwezo wa kamati yake na anyoweza kuandika yakasemwa wazi na anyoweza kuandika yasisemwe wazi kwa niaba ya serikali, hiyo mkuu ni sheria sio uamuzi wa Mwakyembe, ambaye alikuwa kila analofanya ana-abide na sheria, kama unatka ripoti yote itolewe basi ilazimishe serikali lakini sio kumlaumu Mwakyembe, yeye kama mwenyekiti wa ile kamati alikuwa anajua wazi uwezo wa ile kamati unaponzia na kuishia.