Mtu mzima mwenye akili timamu na Mtanzania, anajua wazi kuwa Mkapa ni mwizi na Mwakyembe sio mwizi ila ni shujaaa wa taifa, kwa kuweza kuandika ripoti ambayo imeweza kwa mara ya kwanza katika historia ya taifa letu kumtoa kazi waziri mkuu na mawazri wawili tena marafiki wa karibu wa rais,
Lakini hawezi kulilia kuwa Mkapa na Mwakyembe ni sawa, that is pathetic!
claiming not to question credibility na honest ya mwakyembe kwa watanzania kwa kuficha baadhi ya siri za ufisadi is TOTALLY EXTRA PATHETIC