Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

Umeongea kweli kabisa kakangu, lakini poa huwezi kuzungumzia Richmond bila kumzungumzia JK, ni kama issue ya ESROW au EPA bila jina la JK issue haiswii

na ndio maana inakuwa vigumu sana kwa mtu kama Lowassa kustakiwa, maana wakimwaga mboga yeye atatoboa kabisa masufuria yote

Inawezekana kuwa kashfa ya Richmond inamgonga zaidi EL na haimhusu sana JK (sijui kwa nini, lakini nimetokea kuamini sana hilo). LAKINI tatizo ni kuwa hawa (pamoja na vigogo wengi wa chama waliopo na wazamani) ni partners in crime katika mengi tu ikiwa ni pamoja na hayo ya EPA, IPTL na mengineyo tusiyoyajua. Wamelindana kwa mengi sana ambayo tukiyajua yote yatatuzidishia huzuni! Hivyo umesema vyema kabisa: hakuna aliye tayari kwa kadhia la masufuria yote kutobolewa. Akina Mwakyembe, Sitta na, sasa, Slaa ni kete tu zinazotumika katika mchezo wao kuzidiana dau (battle of wits). Ninachoona hivi sasa wanacheza kijinga mchezo huo. Labda kwa vile wanaelewa sehemu kubwa ya jamii ya Watanzania ni mazoba wasioujua wala kuelewa wameuzwa kiasi gani na, hivyo, kubakia na ushabiki wa kizani.
 
Wakiweka ushahidi hadhalani na kumshtaki sasa utachukua uamuzi gani?
Wakiweka ushahidi hadhalani na kumshtaki sasa utachukua uamuzi gani?


Mbona unaongea kama mburura sana. Unafikiri tuko hapa kufuata mikumbo na sanaa za kipumbavu? Tunahitaji kweli na justice kwa maslahi mapana ya taifa.

Ninaona wewe hujawahi kuwa kiongozi hata wa kikundi cha upatu!. Kiongozi asiyejali maslahi ya umma anauongoza, kusimamia haki na sheria halali zilizopo kwa maslahi ya wanajamii, hafai hata kuwa kiongozi kwa sababu ni mnafiki, mpumbavu asiyejua anatakiwa kufanya nini na kwa nini yuko pale.

PELEKENI MAHAKAMANI UKWELI UJULIKANE, PAMOJA NA WALE WALE MAFISDI WENGINE WOTE KAMA ESCROW, KIWIRA, EPA, KAGODA, RADA, NDEGE, REA, MAGUFULI NK. UPUMBAVU HATUTAKI!.

Ushahidi ndio tunataka na si makelele ya kipumbavu. Ushahidi huo upelekwe mahakamani ili waliohusika na wizi wa mali zetu wote wahukumiwe kisheria. Tena wasiishie hapa tu. Tunataka na wale wa meremeta, epa, escrow, rada, ndege ya raisi, Billioni 250 za magufuli na ujenzi, kagoda, kiwira, rea nk, wote wapelekwe mahakamani na si upumbavu wa kutupotezea muda na vijikaratasi kama vya kichawi hapa.

Kama report iliona harufu ya wizi na ufisadi wa aina yyote, kwa nini hawakushitakiwa wahusika?

Kwa nini anaongelewa Lowasa tu hata na baada ya yeye kutoa hadith kama zao kwamba mradi ni wa kikwete? Na hao waliotajwa mbona hawaongelewi?


Hawa wa meremeta, epa, escrow, rada, ndege ya raisi, Billioni 250 za magufuli na ujenzi, kagoda, kiwira, rea nk mbona hawaongelewi? Hatua mbona hawachukuliwi kana kwamba ni serikali ya mapumbavu inayoishia kulia lia kwa wananchi kwa unafiki na hila huku ikificha ukweli na kuwalinda waharifu?

Lolote lile mtakalosema Ccm ni machozi ya simba. Hatudanganyiki, ondokeni na ufisadi wanu wa kipumbavu majuha ninyi mtuanchie nchi yetu mwone tunavyowashughulikia. Punguwani wakubwa.
 
Nadhani leo sitokuwa na chakuandika...tuingie maktaba tupate Ilmu ImageUploadedByJamiiForums1441367759.448925.jpg
 
Nasikia sikia kelele nyingi Richmond... Richmond... Richmond ndio nani?

Na sio mimi peke yangu, tupo wengi hatuelewi mnachozungumzia. Mnatupigia tu kelele na chuki zenu binafsi.

Mnaacha kuzungumzia Escrow ambayo ilivuma siku za hivi karibuni, nyinyi mmeng'ang'ania zilipendwa.

Watu wamebeba hela kwenye magunia, wengine wanasema million 10 ya mboga, na yule Nyoka mwenye makengeza halafu mnajifanya kutusahaurisha kwa Richmond... Richmond ndio nani?

Tunakwenda na Lowassa

Hatuyumbishwi!
 
Zifuatazo ni nukuu toka kwenye taarifa ya tume ya Mh Mwakyembe kuhusu Richmondi:



“MHESHIMIWA SPIKA, USHIRIKI HUU WA KARIBU WA WAZIRI MKUU KATIKA KILA HATUA YA ZABUNI YA UMEME WA DHARURA, SI LAZIMA UWE USHAHIDI WA KWAMBA KIONGOZI HUYO WA KITAIFA ALIHUSIKA KATIKA KUIBEBA RICHMOND.
UNAWEZA PIA UKAWA USHAHIDI WA STAILI YAKE YA KAWAIDA KABISA YA UONGOZI KATIKA KUFUATILIA MASUALA YOTE YA KITAIFA KWA KARIBU SANA TUKIZINGATIA KWAMBA NCHI WAKATI HUO ILIKUWA KATIKA KIPINDI KIGUMU SANA CHA UKOSEFU WA UMEME.



WATU PEKEE WALIOKUWA WANAUJUA UKWELI WENYEWE, UKWELI AMBAO UNGEIPA KAMATI TEULE MSINGI WA KUMHOJI WAZIRI MKUU KWA KIAPO, WALIKUWA WATATU: WAZIRI DK. MSABAHA (MB), KATIBU MKUU MWAKAPUGI NA MWENYEKITI WA BODI BALOZI KAZAURA.

MHESHIMIWA SPIKA, KAMATI TEULE IKAWAITA KWA MARA YA PILI DK. MSABAHA (MB) NA NDUGU MWAKAPUGI KWA MAHOJIANO ZAIDI. WOTE WAWILI, WAKIWA NDANI YA KIAPO, WALIKATAA KATAKATA KUPOKEA MAAGIZO KUTOKA KWA WAZIRI MKUU YA KUIPA RICHMOND UPENDELEO



MHESHIMIWA SPIKA, UVUMI WA KUHUSIKA KWA WAZIRI MKUU NA BAADHI YA WASHIRIKI WAKE WA KARIBU KATIKA SUALA HILI LA RICHMOND UMEENEA SEHEMU NYINGI NCHINI KWA KIWANGO CHA KUSHANGAZA. KAMATI TEULE INAELEWA KUWA UVUMI HUO UNAWEZA KUWA UMECHANGIWA NA MAHASIMU WAKE KISIASA, LAKINI UHARAKA, URAHISI NA WEPESI WA WANANCHI KUZIAMINI TETESI HIZO, UNAZUA MASWALI MENGI KUHUSU IMANI, TASWIRA, NA HESHIMA ALIYOJIJENGEA YEYE MWENYEWE KATIKA JAMII” mwisho wa nukuu.

Umeelewa nini kuhusu hoja hizo hapo juu? toa maoni yako...
 
If Mwakyembe alimpa nyaraka Dr. Slaa juzi juzi, then Mwakyembe ni more dangerous and the living enemy so far (adding 'mnafiki'). EL is innocent,full stop
 
kumbe walimpakazia baba wa watu,,,,,,,ni mtu safi na hata rafiki yake rostam aziz ni mtu safi na anaefaa kuigwa na jamii....
 
10.jpg




Namshauri magufuli akishaapishwa ili kila mtu amuogope na amuone yuko serious na hataki mchezo wala urais wake hauna ubia na mtu awakamate na kuwaweka kizuizini Lowassa na Jk Kikwete ili waisaidie polisi(serikali ya magufuli) kujua Richmond hasa ilikua ni ya nani kati yao hao wawili maana hizi danadana wanazotupiga zimetuchosha baadhi yetu(nimetumia maneno baadhi yetu)tumeanza kuhisi Richmond ilikua ni yao wote wawili ndio mana wanashindwa kutajana kwa majina moja kwa moja,alianza lowassa baada ya muda mrefu tena kwa shida shida akasema yeye aliagiza na "mamlaka ya juu"! Jk nae kuona anataka kugeuzwa punching bag akafunguka majuzi kwa kusema mmiliki wa Richmond ni yule anaezunguka na Tundu Lissu mikoani!

Mi naona magufuli akiapishwa aanzie hapo,awakamate wote wawili na kuhitaji ufafanuzi zaidi toka kwa wawili hao.

we unaonaje?
 
10.jpg




Namshauri magufuli akishaapishwa ili kila mtu amuogope na amuone yuko serious na hataki mchezo wala urais wake hauna ubia na mtu awakamate na kuwaweka kizuizini Lowassa na Jk Kikwete ili waisaidie polisi(serikali ya magufuli) kujua Richmond hasa ilikua ni ya nani kati yao hao wawili maana hizi danadana wanazotupiga zimetuchosha baadhi yetu(nimetumia maneno baadhi yetu)tumeanza kuhisi Richmond ilikua ni yao wote wawili ndio mana wanashindwa kutajana kwa majina moja kwa moja,alianza lowassa baada ya muda mrefu tena kwa shida shida akasema yeye aliagiza na "mamlaka ya juu"! Jk nae kuona anataka kugeuzwa punching bag akafunguka majuzi kwa kusema mmiliki wa Richmond ni yule anaezunguka na Tundu Lissu mikoani!

Mi naona magufuli akiapishwa aanzie hapo,awakamate wote wawili na kuhitaji ufafanuzi zaidi toka kwa wawili hao.

we unaonaje?

Aapishwe ili kufanya nini,
 
10.jpg




Namshauri magufuli akishaapishwa ili kila mtu amuogope na amuone yuko serious na hataki mchezo wala urais wake hauna ubia na mtu awakamate na kuwaweka kizuizini Lowassa na Jk Kikwete ili waisaidie polisi(serikali ya magufuli) kujua Richmond hasa ilikua ni ya nani kati yao hao wawili maana hizi danadana wanazotupiga zimetuchosha baadhi yetu(nimetumia maneno baadhi yetu)tumeanza kuhisi Richmond ilikua ni yao wote wawili ndio mana wanashindwa kutajana kwa majina moja kwa moja,alianza lowassa baada ya muda mrefu tena kwa shida shida akasema yeye aliagiza na "mamlaka ya juu"! Jk nae kuona anataka kugeuzwa punching bag akafunguka majuzi kwa kusema mmiliki wa Richmond ni yule anaezunguka na Tundu Lissu mikoani!

Mi naona magufuli akiapishwa aanzie hapo,awakamate wote wawili na kuhitaji ufafanuzi zaidi toka kwa wawili hao.

we unaonaje?

Hawezi kuapishwa wakati ameshindwa
 
Makufuli ana tofauti na rungwe wote wagombea rais ni lowasa
 
Lowassa alishasema mhusika wa Richmond atafahamika October 25,tusubiri na tuone.
 
Back
Top Bottom