Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

Hivi watanzania mtabadilika lini....kwa hyo mnataka kusema magufuli haijui richmond imeazia wap...na sasa iko wap...alikuwepo ktk mabaraza yote yaliyopitisha richmondi, na mbaya zaidi hajawahi kuisemea kwa lolote!...jamaa badiliken...muwe mnafikilia vitu mkiambiwa eeeh...mjue ni aibu hii!
 
Huyu Lowassa sasa kazi imeshamshinda. Yuko busy kuficha madhambi yake. JK amtose haraka sana kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.

Lowassa ni yuleyule,hajabadilika,nyie ndio mmebadilika sana!
 
Natumaini wengi wetu ni wazima wa afya tunaendelea na majukumu ya kujenga taifa na wengine kueneza kampeni za vyama vyao sehemu mbalimbali za nchi yetu.

Leo nina ombi haswa kwa mh.Rais Jk, mh . EL na mh. Magufuli. Ombi langu haswa ni kuwaomba waweke wazi ukweli huu ili watanzania wajue toka kwao na sio uzushi wa mitandaoni.

Richmond ni skendo ambayo kwa kipindi hiki cha uchaguzi imeonekana imerudishwa kwenye majukwaa mbalimbali ya kisiasa ikimtuhumu mh. Lowasa kuhusika, wakati huo huo mh. Tundu Lissu alipokuwa kwenye kampeni na mh. Lowasa alisema kwamba Richmond mhusika ni mh. Jk!! Je ukweli ni upi?

Pia kwa upande wa mh. Magufuli kuna skendo ya uuzwaji wa nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa! Je ni kweli alipanga yeye mwenyewe uuzaji wa hizo nyumba bila kumshirikisha mh. Rais na wazir mkuu wa kipindi kile ktk mchakato mzima? Na je anakubali kwamba kulikuwa na makosa kwenye mchakato mzima wa uuzwaji wa zile nyumba?

Ni hayo tu.
 
Real brothers from another mother together in the jungle! Yes,.... 'survival of the finest ' is their 'motto'...but I bet being King is way more bigger for both!! (Nani atatosa mwenzie?????)
 
Katika sakata na kashfa ya Kampuni ya Kufua umeme ya Richmond,wapo wa kuwalaumu kwa kutotamatisha sakata hili hadi leo. Si wengine ni Kamati Maalum ya Kibunge iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Dr. Harrison Mwakyembe. Wajumbe wengine walikuwa ni pamoja na Luka Seleli na Stella Manyanya.

Kwa kinywa chake mwenyewe,wakati akiwasilisha Ripoti ya Richmond,Dr. Mwakyembe alisema kuwa Kamati yake imeficha baadhi ya taarifa ili kutolitikisa Taifa. Ni taarifa gani hizo zilizofichwa? Zinamhusu nani? Zinahusu nini? Majibu ya maswali haya ndiyo yaliyofichwa na Kamati ya Mwakyembe.

Kamati ilitulaghai kwa kuficha ukweli kamili. Ndiyo maana hadi leo watanzania wamebaki njiapanda na kwenye sintofahamu kuhusu undani wa Richmond hasa umiliki wake. Kamati ya Dr. Mwakyembe ilipaswa kuwa Kamati ya kitaifa. Ilipaswa kumwaga ukweli wote. Hadi leo,mara anatajwa huyu,mara yule. Tulifichwa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
CCM inajenga mahakama kwa ajili ya LOWASA, maana ndie 'fisadi" wa nchi hii kama walivyo tuaminisha hakuna fiasadi ila Lowasa. Kazi kweli Gereza la mtu mmoja tu! Hii ni ya kwanza ulimwenguni.
 
Katika sakata na kashfa ya Kampuni ya Kufua umeme ya Richmond,wapo wa kuwalaumu kwa kutotamatisha sakata hili hadi leo. Si wengine ni Kamati Maalum ya Kibunge iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Dr. Harrison Mwakyembe. Wajumbe wengine walikuwa ni pamoja na Luka Seleli na Stella Manyanya.

Kwa kinywa chake mwenyewe,wakati akiwasilisha Ripoti ya Richmond,Dr. Mwakyembe alisema kuwa Kamati yake imeficha baadhi ya taarifa ili kutolitikisa Taifa. Ni taarifa gani hizo zilizofichwa? Zinamhusu nani? Zinahusu nini? Majibu ya maswali haya ndiyo yaliyofichwa na Kamati ya Mwakyembe.

Kamati ilitulaghai kwa kuficha ukweli kamili. Ndiyo maana hadi leo watanzania wamebaki njiapanda na kwenye sintofahamu kuhusu undani wa Richmond hasa umiliki wake. Kamati ya Dr. Mwakyembe ilipaswa kuwa Kamati ya kitaifa. Ilipaswa kumwaga ukweli wote. Hadi leo,mara anatajwa huyu,mara yule. Tulifichwa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Pole Mzee tulisha sahau hizo VIP hivi lowasa alishinda urais[emoji2] [emoji1]
 
Katika sakata na kashfa ya Kampuni ya Kufua umeme ya Richmond,wapo wa kuwalaumu kwa kutotamatisha sakata hili hadi leo. Si wengine ni Kamati Maalum ya Kibunge iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Dr. Harrison Mwakyembe. Wajumbe wengine walikuwa ni pamoja na Luka Seleli na Stella Manyanya.

Kwa kinywa chake mwenyewe,wakati akiwasilisha Ripoti ya Richmond,Dr. Mwakyembe alisema kuwa Kamati yake imeficha baadhi ya taarifa ili kutolitikisa Taifa. Ni taarifa gani hizo zilizofichwa? Zinamhusu nani? Zinahusu nini? Majibu ya maswali haya ndiyo yaliyofichwa na Kamati ya Mwakyembe.

Kamati ilitulaghai kwa kuficha ukweli kamili. Ndiyo maana hadi leo watanzania wamebaki njiapanda na kwenye sintofahamu kuhusu undani wa Richmond hasa umiliki wake. Kamati ya Dr. Mwakyembe ilipaswa kuwa Kamati ya kitaifa. Ilipaswa kumwaga ukweli wote. Hadi leo,mara anatajwa huyu,mara yule. Tulifichwa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Tunatambua Kazi ya ukawa ni kutetea mafisadi
 
Back
Top Bottom