mwanatanu
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 851
- 127
Mkandara
Nitawashukuru sana wakazi wa Houston ambao walitufahamisha mapema kuhusu Richmond na ofisi zake lakini ndio hivyo tena...sikio la kufa halisikii dawa.
Wana JF ambao mko huko Houston nafikiria ingekuwa jema mkiwapa local media hiyo scandal ya Richmond...kumbuka ile scandal ya Bulayankulu...ni local media ya Canada ilitoa ikafanya hata SUTTON ika filisika....