Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Mnaomlaumu Mwakyembe kuwa hakudeliver huko Kyela na East Africa...Binafsi nina mtazamo tofauti. kama mtindo wetu humu JF kurekebisha watu, that means wabunge wabadilike. Wabunge ni wanaadam kama wanadam wengine, hawawezi kuwa perfect all the time. Kwa hili Mwakyembe na Timu yake wamejitahidi, ni ujasiri wa Hali ya Juu. Hii ripoti sio sehem ya kupendekezwa kuwa Wazir, bali ni vitu vinavyomjengea Profile nzuri ktk siasa. Anaweza pia kupewa Tume ingine kuiongoza.its a Team, sio Mwakyembe pekee.
Kweli hii tutakuwa tunaplay cheap politics kufanya the whole issue ni Mwakyembe, mwakyembe, mwakyembe. This guy has done a good job, but we should remember that he was working in a team, and even what he said he did not cook by himself, a lot from the commission itself and out of comission were involved to reveal tricks in Richmond deal. He mentioned our embassies, MOF and other individuals who voluntariry offerd a hand.
Mwakyembe is relatively new kid in Tanzanian politics, his true colours are not well known to trust him 100%, give him more time to be in the game then we can be able to tell.
Kutokana na mfumo wa siasa zetu, Tanzania hakuna mbunge yoyote anayeweza kufanya lolote kubwa la kusema mimi nimefanya hivi kwenye jimbo langu, sana sana ni machache tu kama maji ya kisima, jengo la zahanati, kuomba mwalimu mmoja srikali etc etc, kwa hiyo yanayofanyika jimboni hayawezi kuwa kigezo pekee cha kuangalia uwezo wa mbunge. Ukiangalia takwimu za hali ya maendeleo kwenye majimbo ya uchaguzi ya Kigoma na Rukwa unaweza kusema wabunge wa majimbo hayo hawafanyi kazi kabisa, and that will be unfair!

