Ingawa hapa sio mahali pa Dini, lakini ni lazima tuelimishane pia:-
Ni kama Yesu vile, huwezi kumkosoa kama umekulia kanisani.
Mkuu kwa sisi wa-Kristo kumkosoa Yesu ni kumkosoa Mungu, ni absolutely NO kwetu!
Lakini ambacho hatuambiwi, ni kwamba hata Yesu nae kuna siku aliharibu
Yesu hakuwahi kuharibu hata siku moja, aliyeharibu ni Moses, pale aliamuru kwa hasira maji yapatikane na ndicho kilichompelekea kwenye kutangulia kwenye haki baada tu ya maji kupatikana, lakini Yesu hakuwahi kuharibu kwa sababu utabiri wa manabii uko clear kuwa hakuletwa dunaini kuharibu hata mara moja, Mungu ana sheria moja isiyopingika wala kuekebishika, ukiharibu ni lazima kuwe na malipo, nayo ni kifo, kifo cha Yesu hakikutokana na kuharibu kwake kama unavyodai, ila ilikuwa imeandikwa kuwa atakufa na kufufuka siku ya tatu na ndicho kilichotokea na baadaye atarudi mbinguni, bin-adam wanaoharibu huwa wakifa hawafufuki kama Moses bin-adam aliyeharibu.
alipomwambia Mungu, Mungu niepushe na kikombe hiki, siku ile walipokuwa wanaelekea Calvary kumfanyia. Yesu hapo hapo akajishtukia kakurupuka, akarekebisha, "ikiwa ni mapenzi yako."
Yesu alisema kuwa kama inawezekana Mungu naomba kiepushe kikombe hiki, lakini hakusema niepuishe na kikombe hiki, mkuu kwenye dini yetu tunafundishwa kila siku kuwa shetani ni mjanja sana kwa kugeuza maneno, ndivyo alivyoweza kumdanganya Hawa, Mungu alisema mkila matunda kwa hakika mtakufa, yeye akamwambia Hawa kuwa Mungu alisema tu kuwa mtakufa na kuliahca neno la kwa hakika, here you are na yale yale ya ujanja wa shetani kujaribu kubadili maneno ili utimize dhambi yako, no mkuu we know better!
That same morning, Yesu alikuwa ametoka kumwambia Pilato kwamba nguvu zote za kunitesa tumekupa sisi, yani yeye Yesu na Mungu.
Pilato alimuambia Yesu kuwa nina nguvu za kuweza kukuokoa na kukuua, Yesu alimuambia kuwa umepewa na Baba yangu, hakusema tumekupa sisi huu ni uongo wa mchana mkuu acha hizi za dini isiyokuwa yako maana ni aibu tupu!
Lakini wakati anaenda kugongelewa misumari, Yesu mwenyewe akataka kuchomoa. Aliogopa. Alichemka. Akarekebisha.
Mwanafunzi wa Yesu, Petro alimkata askari mmoja sikio alipokuja kumkamata Yesu, lakini ni Yesu ndiye aliyemrudishia sikio yule askari na kumpa mikono yake baadaye ili amshike na kumchukua kama neno la Mungu lilivyoandika na kutabiri mapema sana hata kabla Yesu hajazaliwa, sasa kwa nini asikimbie pale alipoona askari anayetaka kumshika amekatwa sikio?
Ni wapi hapo panaposema kuwa Yesu alitaka kuchomoa? Halafu Yesu unamuingizaje kwenye mijadala ya siasa za Mwakyembe na mafisadi, mbona huna heshima kwa dini za wengine mkuu? Hivi kweli unataka tukuwekee hapoa jinsi Mtume Mohamed alivyokuwa akila Nguruwe na kuwakataza waumini wake wasile nyama hiyo tamu ambayo yeye alikuwa akiila kwa siri?
Sasa huyu utamlinganishaje na Mwakyembe, maana wewe ndiye bingwa wa kuchanganya dini na siasa, tuwekee hapa tumkome nyani? Wewe kijana usicheze na dini za watu umeshaonywa sana mambo ya kuleta dini hapa lakini husikii, acha ujinga!