Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Ngeleja, ameunga mkono hoja kwa asilimia 100% na amesema sana tuu, ili jambo moja amenifurahisha sana waziri huyu kijana, ni moja tuu, aliposema hoja za Dr. Slaa nazikubali na kulichukua kama changamoto. Kwa kauli hii pekee, Ngeleja nae, akisimama imara, atahesabiwa!.
Sasa anazungumza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Philip Marmo, (sijua kama jaa huyu anachekaga). Kwa kifupi Marmo anaonyesha serikali kupitisha kifungu kwa kifungu, just procedures.
Atakayezungumza kwa impact ni Mhe. Pinda, ambaye naamini atanza kwa kushukuru, 'kufa kufaana'!.
Sasa anazungumza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Philip Marmo, (sijua kama jaa huyu anachekaga). Kwa kifupi Marmo anaonyesha serikali kupitisha kifungu kwa kifungu, just procedures.
Atakayezungumza kwa impact ni Mhe. Pinda, ambaye naamini atanza kwa kushukuru, 'kufa kufaana'!.