Ripoti za CAG na Ufisadi: Ni kipindi cha TAKUKURU kutajirika

Aliyepo hajui jinsi Gani ya kuzirudisha?

Mabehewa chakavu yamenunuliwa Kwa Bei ya mapya na Awamu hii hii.

Dicteta aina ya Magu Bado anahitajika nchi hii.
Mfuate kaburini Chato akakupe u DC wa wilaya ya kuzimu.
 
Jumla ya magari mabovu ya Serikali 547 yaliegeshwa katika karakana za Wakala hadi kufikia Septemba 2022

TEMESA Magari 176, TTCL (86), Wizara ye Fedha (51), NIDA (44), Wizara ya Mambo ya Nje (39), TANROADS (37), Mahakama ya Tanzania (23), TBC (19), Halmashauri Jiji la Tanga (18),… twitter.com/i/web/status/1…
 
Kama hamjui zilipo ni uzembe wa waliopo, maana hayupo ambaye huzikwa na pesa.
Sidhani kama hawajui zilipo, ni suala la taratibu tu. Nigeria walirudishiwa mahela ambayo Sani Abacha aliwekeza huko Ulaya/ Marekani
 
Mfuate kaburini Chato akakupe u DC wa wilaya ya kuzimu.
Kama unalamikia mifumo mibovu ya kudhibiti wizi wa Mali ya umma kama TAKUKURU nk nk, unataka nasi tulalamike?

Mifumo yote ya kiutawala imewekeza nguvu na mamlaka Kwa Raise,

Ni sawa kabisa, tukiletewa Rais mkali,Asiye na haya usoni, mwenye udiriki kuchukua hatua.
 
Ni sawa kabisa, tukiletewa Rais mkali,Asiye na haya usoni, mwenye udiriki kuchukua hahatua.m
Magufuli alikuwa na characters hizo lakini aliishia kujilimbikizia yeye na koikundi chake kidogo. Wao akina Magufuli, Biswalo Mganga, Makonda, Sabaya, Kabudi, Dotto James, Polepole ndiyo walikuwa wanaruhusiwa kufanya UFISADI.

Waliunda mifumo ya dhuluma kupitia TRA Task force, Plea Bargain na kikundi cha WASIOJULIKANA kwa ajili ya kunyan'anya fedha za matajiri.


Waafrika hatuhitaji watu wenye nguvu bali tunahutaji Taasisi zenye nguvu kupitia Katiba Nzuri
 
Ongezea Tisi, poliki, tukururu. Sasa fikiria yule wa mil 40 ushee usd, yule ukikomaa naye anakuua. Kipi bora uchukue rushwa upindishe au ukomae jamaa akutafutie wauaji darkweb wakuue tena kwa sumu????? We’re the generation ya wezi na mafisadi, wizi na ufisadi tanzania ni sifa, ukiuzuia na kuwashughulikia unaonekana adui mkubwa kama naadhi ya mafisadi na wezi walioshughulikiwa na Dkt Magufuli wanaoonekana hawaamini kama walibanwa na sasa wanatanua. Kwa ufupi hata kama ningekuwa mi mshikilia hizo kesi ningekula rushwa kupindisha ili niendelee kulea watoto wangu. Wizi na ufisadi Tanzania tunahitaji aje mtu kama Dkt Magufuli mwingine au Rais Dkt Samia amalizane nao kimya kimya.
 
Magufuli alikuwa anafanya KAZI alotumwa na wananchi ya kuhakikisha PESA za wananchi zimerudi.

Na alifanikiwa, tukaona miradi mikubwa ya Matrilioni ikifanyika Nchi nzima.

Mifumo corrupt kuihuisha ifanye KAZI inahitaji uthubutu, ujasiri nk nk.

Utaona hivi sasa zimekopwa zaidi ya tr 30 bt cag anasema hakuna Barabara ilojengwa, wameiba.

China imewanyoga mafisadi wengi sana kuitiisha watu wake kuogopa kuiba pesa za Umma.

Mifumo IMARA inatakiwa iendane na Rais imara, Si legelege mwenye haya ya uso.
 
…. Dkt Magufuli voice, siyo rahisi kumnyang’anya mtu kitu alichozoea kukipata bure. Just imagine ukimkuta paka kadokoa nyama jikoni halafu utake kumnyang’anya hilo songombingo itakayotokea ni balaa, usipokuwa makini paka atakutoboa macho au kukuua wakati ni mali yako kaiba. Na ndivyo walivyo wezi wa mali za umma. Rais Dkt Samia alidhani unaweza ukaongea nao wakaogopa maana alikuwa anasema eti kuleni hela za umma mtanitambua, sasa wameiba na bado hapo wanatamani afe ili kesi ziishe hahahaha Tanzania bado mbali sana kupata maendelea yaani mpaka kizazi hiki kinachotukuza rushwa kife chote
 
Kwa wizi huu ukiokithiri,

Ajaye atapata taabu sana, maana ataachiwa hazina tupu na rundo la madeni ya mikopo na Riba.

Kumpa mamlaka makubwa mtu mmoja na asiyatumie kulinda raslimali na uadilifu katika Nchi ni kujiletea taabu Kwa vizazi na vizazi.

Imagine TOZO zinajenga madarasa hayo hayo,

Pesa za COVID MKOPO ujenge madarasa hayo hayo,

Na pesa za akiba za kigeni tena zikachotwa kujenga madarasa na matundu ya vyoo Yale Yale.

Tukiruhusu utawala huu kuendelea, tutakuwa na taabu sana mbele yetu,

ATUPISHE TU!!!
 
Tumshauri Rais Dkt Samia. Ni kweli haingii kabisa kila hela kujenga madarasa wakati vijana wanahitaji ajira
 
Utaona hivi sasa zimekopwa zaidi ya tr 30 bt cag anasema hakuna Barabara ilojengwa, wameiba.
Kwa hiyo fedha inayojenga JNHEP Dam kule Rufiji na SGR Makutopora -Tabora-Kigoma inatoka kule kwenye kaburi la Chato?

Una argue kama headless chicken
 
Kwa hiyo fedha inayojenga JNHEP Dam kule Rufiji na SGR Makutopora -Tabora-Kigoma inatoka kule kwenye kaburi la Chato?

Una argue kama headless chicken
CAG asema pesa zikizotengwa tanroads zijenge Barabara hazijulikani zilipo na hakuna Barabara ilojengwa wewe unaongelea JNHEP!!!!

Are u serious?
 
Kwa ujumla TAKUKURU katika kupiga vita rushwa, ni janga tu. Wengi wa maofisa wao ni wala rushwa wakubwa. Yaani ni watu ambao huwa wanafurahia kukiwa na kashfa kwa sababu inawapa nafasi wao ya kumtisha mtuhumiwa ili atoe rushwa kwao. Ni taasisi ya kueneza rushwa badala ya kuzuia rushwa.
 
Kama ngazi za juu shida tupu watu wenye makesi ya uhujumu wanaachiwa na wao nadhani wanaona bora liende tu upuuzi mtupu...
Pumbaf!!!
 
CAG asema pesa zikizotengwa tanroads zijenge Barabara hazijulikani zilipo na hakuna Barabara ilojengwa wewe unaongelea JNHEP!!!!

Are u serious?
Watakuonyesha fedha zilipo kwani unadhani wameweka mfukoni? Siyo kila anayejuwa kusoma ba kuandika anaweA kuelewa CAG report
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…