Ripoti za CAG na Ufisadi: Ni kipindi cha TAKUKURU kutajirika

Ripoti za CAG na Ufisadi: Ni kipindi cha TAKUKURU kutajirika

Jumla ya magari mabovu ya Serikali 547 yaliegeshwa katika karakana za Wakala hadi kufikia Septemba 2022

TEMESA Magari 176, TTCL (86), Wizara ye Fedha (51), NIDA (44), Wizara ya Mambo ya Nje (39), TANROADS (37), Mahakama ya Tanzania (23), TBC (19), Halmashauri Jiji la Tanga (18),… twitter.com/i/web/status/1…View attachment 2584010
Kwenye magari mabovu yawezekana wanasubiri ripoti ya Mthamini Mkuu wa Serikali (Chief Stock Verifier) ili ayaondoe kwenye vitabu kisha yawe tayari kwa mnada.
 
Kwa ujumla TAKUKURU katika kupiga vita rushwa, ni janga tu. Wengi wa maofisa wao ni wala rushwa wakubwa. Yaani ni watu ambao huwa wanafurahia kukiwa na kashfa kwa sababu inawapa nafasi wao ya kumtisha mtuhumiwa ili atoe rushwa kwao. Ni taasisi ya kueneza rushwa badala ya kuzuia rushwa.
TAKUKURU = Taasisi ya Kupokea na Kutumia Rushwa
 
Back
Top Bottom