Tetesi: Ripoti za uchunguzi wa uhalali wa shahada ya uzamivu (PhD) ya hayati Magufuli pamoja na wengine zimefichwa

Tetesi: Ripoti za uchunguzi wa uhalali wa shahada ya uzamivu (PhD) ya hayati Magufuli pamoja na wengine zimefichwa

Narudia tena, suala la PhD ya Magufuli kuwa fake, au kutokuwa fake, halina uhusiano wowote na kupotea kwa Ben.
Hii ni kauli nzito sana umeitoa. Unaweza kutuletea ushahidi kwamba hakuna uhusiano? Unafahamu Ben Saanane alipotea kwasababu gani?

Lakini sio kusema tu muda aliotumia ulikuwa mfupi, au wengine sijui nini ..... kwangu mimi, mtu yeyote anayejitambua hawezi kutumia sababu za jumla kuhukumu kitu specific, kwasababu vitu hutofautiana, sijui unanielewa?
Nina mashaka kama utakuwa na akili timamu. PhD kwa mtu anayefanya full time ndio miaka inaweza kuwa mitatu mpaka mitatu na nusu hapo lazima ukomae haswa.

Ukiwa unafanya part time ndio inachukua miaka zaidi. Sasa wewe unajifanya mjuaji hapa wakati magufuli amemaliza PhD kwa miaka mitatu kamili akiwa anafanya part time huku ni mbunge na waziri. Acha kuleta ujuaji na upumbavu.

Nakuona tena unatafuta "public sympathy" ili kutafuta uungwaji mkono wa hoja yako nyepesi uliyoianzisha kama tetesi.

Haya mambo naona yamekuzidi kimo, huujui udhaifu wako wewe unauona strength, na bahati nzuri kwako kuna wenye mihemko ya kishabiki kama yako huku watakuunga mkono, lakini wewe bado sana.
Hizi kauli unazotumia hapa ndio zinatafuta public sympathy. Udhaifu wako unaudhihirisha kwa kujitahidi kuutafuta ndani ya watu wengine.
 
Nakupinga kabisa kabisa. Magufuli hakuwa na akili hizo unazodhania. Angekuwa na akili baada ya Form IV asingekwenda Mkwawa Teachers College. Vipanga wa mwaka 1977 alipomaliza Form IV walikwenda straight Form V. Baafa ya Form V walikuwa wanakuja FTC, Water Resource Institute na Agriculture. Kwenda teaching ilikuwa ni waliopasi marks za kawaida.

Wewe huelewi chochote, ni mjinga sana! Kwa taarifa yako ni kuwa Mwl Nyerere alianzisha Chuo cha Mkwawa kwaajili ya kuongeza walimu wa masomo ya sayansi! Ilikuwa ukimaliza fomu four unaenda Mkwawa fomu five na six na ukimaliza unasoma mwaka wa tatu pale pale ualimu! Siyo kwamba alienda chuo cha ualimu kama hivi vyuo vinginne vya ualimu. Kumbe sikujua kuwa wewe ni pimbi usiyeelewa kitu
 
Kwa kile kichwa cha Magufuli huwa siamini kama PhD yake ilikuwa feki, alionekana kuwa "active" kiakili zaidi ya viongozi wengi serikalini wakati wake, alikuwa ni mtu aliyependa kujisomea mpaka akatuambia alikuwa akilala na ma - file kitandani.

Alipenda kuishughulisha akili yake na hili lilionekana maeneo mengi, kwa namna alivyokuwa anakagua miradi, maswali aliyokuwa anawauliza makandarasi nk..

Huwa naona kinachowafanya wengi waamini PhD ya Magufuli ilikuwa feki, ni kwasababu hakumpa Saanane nafasi ya kuihakiki, na hii kwangu sio kwasababu alikuwa hajiamini/hauamini ubora wa PhD yake, hapana.

Ukweli ni kwamba, Magufuli wakati wake hakuwa anapenda upinzani kwenye jambo lolote, mifano ipo mingi; hata Lissu, Nape, na wengine wanalijua hili, kwani nao yaliwakuta walipojaribu kwenda kinyume na Magufuli, hakuwa Ben pekee aliyeathirika alipohoji.
Umeeleza vyema
 
Naona huu ni upumbavu tu umeandika. Hayati Magu pamoja na mapungufu yake ila kwenye elimu siwezi kumuwekea doubts zozote. Nadhani ingekua vyema ungekuja na historia za elimu ya Mbowe, Lema, Sugu na yule mchungaji wa Iringa.
 
Naona huu ni upumbavu tu umeandika. Hayati Magu pamoja na mapungufu yake ila kwenye elimu siwezi kumuwekea doubts zozote. Nadhani ingekua vyema ungekuja na historia za elimu ya Mbowe, Lema, Sugu na yule mchungaji wa Iringa.
Wewe ulete za wengine.. muda huu anashighulikiwa dikteta aliyefoji elimu. Hakuna PhD ya part time inayopatikana kwa miaka mitatu. Ni kama vile ambavyo huwezi kupata Bcom kwa miaka miwili.
 
Hii ni kauli nzito sana umeitoa. Unaweza kutuletea ushahidi kwamba hakuna uhusiano? Unafahamu Ben Saanane alipotea kwasababu gani?


Nina mashaka kama utakuwa na akili timamu. PhD kwa mtu anayefanya full time ndio miaka inaweza kuwa mitatu mpaka mitatu na nusu hapo lazima ukomae haswa.

Ukiwa unafanya part time ndio inachukua miaka zaidi. Sasa wewe unajifanya mjuaji hapa wakati magufuli amemaliza PhD kwa miaka mitatu kamili akiwa anafanya part time huku ni mbunge na waziri. Acha kuleta ujuaji na upumbavu.


Hizi kauli unazotumia hapa ndio zinatafuta public sympathy. Udhaifu wako unaudhihirisha kwa kujitahidi kuutafuta ndani ya watu wengine.
Pole. Naona unarudia yale yale tu, hauna jipya.

Umetawaliwa na emotions sana kwenye reasoning, ndio maana unakosa consistence kwenye hoja zako nyingi zimejaa mashimo, jifunze kuacha kichwa kifanye kazi yake na sio moyo.
 
Nilimtembelea rafiki yangu mmoja ambaye ni mhadhiri pale Udsm na katikati ya maongezi likaja suala la uwezekano wa mtu kupata PhD bila kupitia taratibu sahihi.

Hapo akasema kuna uchunguzi ulifanyika karibu mwaka mzima umepita na ripoti imeishia pale utawala. Ilikuwa ni katika routine ya kawaida kuangalia ubora wa kazi za wanafunzi wa miaka ya nyuma zilizopitishwa.

Huko udasa hizi tetesi inaonekana zinaongelewa na Prof Mwandosya aliwahi kuhoji hapa mwaka jana Prof. Mark Mwondosya atilia mashaka shahada za uzamivu wanazotunukiwa wanasiasa, ahoji vigezo au viwango vimebadilika?? Inasemekana kwamba PhD tajwa hapo juu ni mojawapo.

Kama ni kweli basi Prof Anangisye ajivike ujasiri na kuufahamisha umma wa watanzania.
Hivi hamchoki kulitaja jina la JPM kuna wazimu gani aliwabebesha?

Hata mfanye tathimini ipi kwa PhD ya Dr. JPM hamuwezi kumshusha uwezo wake wa ziada katika taaluma na mambo mengine. Inaonesha Dr. JPM ni tishio la vizazi vingi vilivyopo n vijavyo mpaka watathubutu kuvamiwa kaburi lake ili wachunguze kiwango cha na ubora wa ubongo wake si ajabu maana inaonesha IQ yake ilikuwa zaidi ya kiwango cha kawaida.

Huyo Dr Mwandosya unayempigia chapua sana sijui kakunywesha vitu gani hadi umwinue wakati hana lolote lamaana.
 
Pole. Naona unarudia yale yale tu, hauna jipya.

Umetawaliwa na emotions sana kwenye reasoning, ndio maana unakosa consistence kwenye hoja zako nyingi zimejaa mashimo, jifunze kuacha kichwa kifanye kazi yake na sio moyo.
Dogo wewe ni mweupe sana kichwani.. nothing more.. I'm out.
 
Hata mfanye tathimini ipi kwa PhD ya Dr. JPM hamuwezi kumshusha uwezo wake wa ziada katika taaluma na mambo mengine. Inaonesha Dr. JPM ni tishio la vizazi vingi vilivyopo n vijavyo mpaka watathubutu kuvamiwa kaburi lake ili wachunguze kiwango cha na ubora wa ubongo wake si ajabu maana inaonesha IQ yake ilikuwa zaidi ya kiwango cha kawaida
Unamzungumzia magufuli aliyeiba uchaguzi 2020? Au kuna mwingine? Huyo ana akili kweli?
 
Unamzungumzia magufuli aliyeiba uchaguzi 2020? Au kuna mwingine? Huyo ana akili kweli?
Aliiba kwa kutumia kitu gani na wewe ulikuwa wapi wakati anaiba kwa nchi nzima ya Tanzania kwa wakati mmoja!!! Basi alikuwa kiumbe kisicho cha kawaida kutenda kitendo kimoja mahali pote yenye jumla ya maelfu ya maeneo huku wewe umatazama tu ama unaona au huoni halafu leo ndio umekalia ngonjera ya kuiba kura?

Wakati JPM anaiba huyo aliyepo kwenye kiti alikuwa amesafiri kwenda uarabuni?

Tuhuma mfu zisizo na mashiko ya aina yoyote
 
Aliiba kwa kutumia kitu gani na wewe ulikuwa wapi wakati anaiba kwa nchi nzima ya Tanzania kwa wakati mmoja!!! Basi alikuwa kiumbe kisicho cha kawaida kutenda kitendo kimoja mahali pote yenye jumla ya maelfu ya maeneo huku wewe umatazama tu ama unaona au huoni halafu leo ndio umekalia ngonjera ya kuiba kura?

Wakati JPM anaiba huyo aliyepo kwenye kiti alikuwa amesafiri kwenda uarabuni?

Tuhuma mfu zisizo na mashiko ya aina yoyote
Kama hivi ndivyo unavyojenga hoja basi imetosha, I'm out.
 
Wewe huelewi chochote, ni mjinga sana! Kwa taarifa yako ni kuwa Mwl Nyerere alianzisha Chuo cha Mkwawa kwaajili ya kuongeza walimu wa masomo ya sayansi! Ilikuwa ukimaliza fomu four unaenda Mkwawa fomu five na six na ukimaliza unasoma mwaka wa tatu pale pale ualimu! Siyo kwamba alienda chuo cha ualimu kama hivi vyuo vinginne vya ualimu. Kumbe sikujua kuwa wewe ni pimbi usiyeelewa kitu
Hiyo ndiyo miaka niliyomaliza O-Level yangu. Hakuna mkali aliyekwenda Mkwawa kwanza kabla ya kwenda kwenye combi zingine za FV.
Haya nakuongezea nyingine. Akiwa Form II alifukuzwa Seminary. Mtetee tena kwa uwongo mwingine.
 
Phd za kataristi ni fake,ndio maana imemkosti kipenzi chetu marehemu Ben saa8.

Imagine just kuhoji tu.

So Wewe una amini kuwa Ben Saa nane atishwe kwanza Afu ndo achukuliwe. Je Una uhakika gani wa habari ya Udk wa marehemu ? Yeye alihitaji udk kuwa Rais au waziri nk. Vitu vingine vinawadhalilisha Tu
 
So Wewe una amini kuwa Ben Saa nane atishwe kwanza Afu ndo achukuliwe. Je Una uhakika gani wa habari ya Udk wa marehemu ? Yeye alihitaji udk kuwa Rais au waziri nk. Vitu vingine vinawadhalilisha Tu
Kwanini andiko la udk wa magufuli limefichwa pale udsm? PhD thesis huwa zinakuwa available kwa watu kujifunza na kufanyia reference, kwanini ya magufuli imefichwa?
 
Nimeona umeweka kifungu cha Prospectus ya UDSM cha 2007, ndani yake kinazungumzia time frame kuhusu muda wa kumaliza, 3-5 years respectively.

Hata kama Magufuli alikuwa kiongozi wa serikali, nimeshamjibu mwenzako, alikuwa mchapakazi, hakuwa mvivu na mzembe kama wengine, hivyo kwake kufanya jambo kinyume na huo muda uliowekwa hapo juu sishangai.

Kuhusu kupewa cheo Dr. aliyekuwa Supervisor wake, hiyo pia sio kigezo cha Magufuli kupendelewa, tumeshazoea huko CCM vyeo hutolewa kwa kujuana, na kama Magufuli alifahamiana na huyo Dr. kutokana na kusimamiwa paper yake, kutoa cheo sio fumbo la siri.
Majibu mepesi na ya kihuni kwa hoja nzito watu wengi wangepewa doctor kwa mwaka mmoja badala ya mitatu kwa kisingizio Cha wao ni wachapa kazi sana
 
Na huyu alieungaunga vyeti feki nae hawajamtaja.
 
Back
Top Bottom