Chanzo cha uhasama kati ya Laurent Kabila na Kagame/
Nitakujibu mkuu so soonChanzo cha uhasama kati ya Laurent Kabila na Kagame/
Museveni kilikuwa nini ?
Chanzo cha mvutano wa Rwanda na Uganda huko Kisangani mpaka wakapigana kilikuwa nini ?...
kwanini Rwanda alishinda ile vita ?
zitto junior
Siku moja nami nitaweka UZI ,wa kitu fulani hvHistoria ya kweli mkuu kabla ya mapinduzi yaliyomuondoa mobutu madarakani pale Kinshasa.
Tunausubiri mkuuSiku moja nami nitaweka UZI ,wa kitu fulani hv
Hahahaha, tatizo sio muandishi mzuri, ningeandika khs Mzee Kabila,😂😂 japo kdgTunausubiri mkuu
Nitumie audio nikuandikie mkuuHahahaha, tatizo sio muandishi mzuri, ningeandika khs Mzee Kabila,😂😂 japo kdg
Nikitulia nitafanya hiviNitumie audio nikuandikie mkuu
Sawa mkuuNikitulia nitafanya hivi
Mkuu nina majukumu mengine pia ya kitaifa.Ndio maana unaona hivyoNalazimika kutulia mpk siku 2 au tatu ndo nifungue thread napo Bado miendelezo unaikuta ni moja tu. Najua kukaa kidogo unapata nafasi ya kuandaa vitu kwa efficient ya hali ya jyu lakini mnakaa sana
Nimeelewa mkuuMkuu nina majukumu mengine pia ya kitaifa.Ndio maana unaona hivyo
Tuvumiliane
Baada ya kuona ID yako mawazo yangu yote yakanituma niko jukwaa la Manyumbu😂😂😂Nitarudi
Oh okay sawa.twende KAZIMkuu naandika taratibu ili nieleweke na wasomaji.
Hizi sio stori bali matukio ya kweli