Risasi zinarindima Kigamboni darajani

Risasi zinarindima Kigamboni darajani

Hata kama!!!
Acha kutetea upumbavu

Kigamboni ni open space, sio mapori kama ya mdaula au mbalali

Umejuwaje upumbavu kama hawuko hivywo? Ungetumia akili usingeandika huo upupwu kama unapajuwa unavyodai.
 
Uwenda Wanachukua tozo zao
Hapana, hawakufuata tozo

walikuwa wanavuka na moto wakashindwa kupitiliza, manake darajani huwa kuna wazee wako cocked, locked and ready to roll muda wote
 
Sijui nini kimetokea

Tumeinama muda huu
...ila umeweza kuinua kichwa na kuandika haya! SI ungoje risasi ziishe kurindima ndipo utujulishe Kwa Kituo kinachoendelea??
 
Polisi wanafanya kazi ngumu sana, Natamani nawao wangepewa bikra 72 wanapostaafu.
au supu ya mwamba.
Screenshot_20220527-173021.jpg
 
Back
Top Bottom