T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Kesho Tanzanite si kuna fainali. Usalama muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama!!!
Acha kutetea upumbavu
Kigamboni ni open space, sio mapori kama ya mdaula au mbalali
watu wa mkoani huwa wanasimuliwa tu kuhusu dar..anafikiri kuna hata sehemu ya kujificha ukitoka kwenye gar anadhan kuna nyumba nyumba kama tandika sudan, hahahaUnapajuwa panapoongelewa palivywo?..
Hapana, hawakufuata tozoUwenda Wanachukua tozo zao
Sasa hapo tutapataje kujua kinachoendelea? Simama uangalie kinachojiri.Sijui nini kimetokea
Tumeinama muda huu
...ila umeweza kuinua kichwa na kuandika haya! SI ungoje risasi ziishe kurindima ndipo utujulishe Kwa Kituo kinachoendelea??Sijui nini kimetokea
Tumeinama muda huu
Walivyo waroho wa papuchi sasa!Hivi wataomba iwekwe kwenye katiba mpya.Polisi wanafanya kazi ngumu sana, Natamani nawao wangepewa bikra 72 wanapostaafu.
au supu ya mwamba.Polisi wanafanya kazi ngumu sana, Natamani nawao wangepewa bikra 72 wanapostaafu.
Bikra 72 unataka watu watengenguke viuno?Polisi wanafanya kazi ngumu sana, Natamani nawao wangepewa bikra 72 wanapostaafu.
Unainama kwani walikuambia wanahaja ya kichwa chako! I ia kichwa utujuze badala ya kutuuliza sisi tulioko Iramba.Sijui nini kimetokea
Tumeinama muda huu
Tuma picha ya risasi tuoneSijui nini kimetokea
Tumeinama muda huu
Chukua video, usiogope hao ni majambazi ndio uifanya risasi zilieSijui nini kimetokea
Tumeinama muda huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wa Dar vilisasi viwili vitatu mmeshakimbilia JF, badala ya kutoa msaada huko. Hovyo kabisa
KhaaaaaahKuna jamaa anaitwa Hamis askari wa kituo cha polisi kigamboni huyu jamaa anatumia bastola yake vibaya akishalewa tu kazi ni kupiga risasi hovyo hovyo tu.Jinga sana hili jamaa