Rita: Bora cheti kiandikwe baba mzazi hajulikani, kuliko jina lisilo asili

Hii taharuki inayoenda kuzaliwa hapa ni very detrimental. Huyu mtoto saikolojia yake itakuwaje? Unasoma shule, darasani kwako we ndo bin hujulikani. Hapo na malezi ya baba unakosa, bado utaniwe, uchekwe na walimu na wanafunzi.

Nikiambiwa kuongea na binti leo. "Maamuzi unayofanya, jua kwamba yataathiri kizazi chako mazima. Kuvua pichu kiholela kumezalisha matatizo makubwa sana kwenye jamii. Binti vua pichu kwa utaratibu wa kiimani, itapunguza hii kadhia."

I wish...I wish...I wish....

#shostiusikoseekamawenginetulivokosea#
 
Kakwel nawaunga mkono Rita maana kiuhalisia wamama ndo huwa wanakosea ktk hilo.Kuhusu mtoto kuwa na ubini wa "unknown" mazngra yake ni machache saaana kwamb mama asimtambue baba watoto.Kama kukosana ktk mapenz hilo lipo na haltakuja kuisha sas ndo iwe sababu ya watoto kupoteza kuwatambua baba zao?? kiufup jibu ni HAPANA.Kama mwanamke hatuwez tengansha ugomv wetu sis wazaz na haki ya watoto bhas tuszae kbsaa maana ktk mahusiano ni kama vitan tuu lolote laweza kutokea lkn lazm tulinde hak ya mtoto kama vngnevyo huo ni usaliti wa nature.
 
Rita wameamua,hawataki mambo ya kusingiziana mimba,kila baba mwenye mimba yake ndiyo jina lake liwekwe hata kama Baba ni chizi!!
Yeah kiufup walchelew saan yaan huo mchezo niwakipumpavu saana!yaan kuliendekeza hlo jambo nikumpa haki mwanamke(ambaye anajua altendelo) kulko mtoto ambaye ni innocent 100% ktk hlo.
 
Kun
Hivi si kuna watu wanatumia Ubini wa Mama?
Mimi nilikua na rafiki Yangu Anaitwa Eli Rehema (Jina la Baba)..

Ila nilishasikia Kuna watu wanatumia jina la mama Full
Kuna dogo anatumia jina "Furaha Ashura"(sio jna halisi lkn lina sura hiyo) yaan huwa anajkuta mnyonge saana ukzngatia yuko uboizin maana kuna wengne wakskia hlo jina wanahis ni ke.Kwahyo wama wakiamua kutumia majna yao kama ubin waafkirie kuhusu future za watoto wao hasa wakiwa wakiume.Ukzngatia huyo mtoto hataishi na jamii yake wakat wote.
 
Sahih kabisa hii ni hatua kubwa ya kuwashughulikia malahya na wapumbavu wengine wa aina hii.
Hukumu kali itolewe kwa watakao kaidi.
 
Yeah kiufup walchelew saan yaan huo mchezo niwakipumpavu saana!yaan kuliendekeza hlo jambo nikumpa haki mwanamke(ambaye anajua altendelo) kulko mtoto ambaye ni innocent 100% ktk hlo.
Na hakuna mimba isiyokua na baba halisi, wanawake waanze kuwajibika kutokana na makosa yao, hakuna kuwabeba beba bure!!
 
Wakristu Hatuna Shida Yeyote.
Shida ipo kubwa mno. Agano la kale na Jipya vinakinzana.
Baadhi ya mistari na aya ni makinzano tu.
Pombe ni dhambi twaambiwa. Lakini Yesu alitengeneza pombe na watu wakanywa. Suala la wake wengi ni shida.
Ibada ya Jumapili ni shida (wengine Jumamosi).
Sikukuu ya Krisimas ni utata mtupu.
Mirathi ni shida.
Kur'an iko straight. Kila kitu kimetajwa waziwazi.
 
Mimi nina majina matatu yote ya Babu yangu .

Hii Mimi naona ndo nzuri Sana

Unampa mtoto majina mawili ikiwa baba hajulikani anatumia majina mawili kuliko huo ubunifu wa Baba hajulikani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…