Ndugu zangu,
Hii mamlaka ya RITA ni tatizo week ya tatu sasa vyeti vya wanangu havijahakikiwa nimelipa sh 12,000 kwa vyeti viwili tu lakini majibu cjapata na hawajitokezi kuelezea nini tatizo nakumbuka miaka mitatu nyuma tulihakiki vyeti kwa Tsh 2000.
Leo imefika 6000 lakini huduma zimekuwa tatizo hii nchi uwajibikaji ni mdogo sana kuna vijana wengi sana hawana kazi mnashindwa nini kuwapa kazi za muda wahakiki kama idadi ni kubwa?
Nawaambia makao makuu hatuta elewana mtamlipia mwanangu ada ya kusomea udaktari asipopata mkopo sababu yenu.
Soma majibu ya RITA; Madai ya kuchelewesha Vyeti, RITA yasema imepokea maombi 143,157, yaliyofanyiwa kazi ni 61.2%
Hii mamlaka ya RITA ni tatizo week ya tatu sasa vyeti vya wanangu havijahakikiwa nimelipa sh 12,000 kwa vyeti viwili tu lakini majibu cjapata na hawajitokezi kuelezea nini tatizo nakumbuka miaka mitatu nyuma tulihakiki vyeti kwa Tsh 2000.
Leo imefika 6000 lakini huduma zimekuwa tatizo hii nchi uwajibikaji ni mdogo sana kuna vijana wengi sana hawana kazi mnashindwa nini kuwapa kazi za muda wahakiki kama idadi ni kubwa?
Nawaambia makao makuu hatuta elewana mtamlipia mwanangu ada ya kusomea udaktari asipopata mkopo sababu yenu.
Soma majibu ya RITA; Madai ya kuchelewesha Vyeti, RITA yasema imepokea maombi 143,157, yaliyofanyiwa kazi ni 61.2%