Alifunga goli 2-1 akafungwa 6 sasa kuna timu hapo. Ukweli huko shirikisho timu afadhali ni pyramid na FAR Rabat nyingine zote ni level za akina Namungo.
Alifunga goli 2-1 akafungwa 6 sasa kuna timu hapo. Ukweli huko shirikisho timu afadhali ni pyramid na FAR Rabat nyingine zote ni level za akina Namungo.
Na wewe si umemfunga moja bila kwa mkapa?,...
Subiri umalize na kwao kwanza ndo ulete takwimu,usije fikiri kule utabana na kutoka bila bila,hao jamaa wakiwa ugenini huwa hawaweki nguvu kubwa ya kushinda,huwa wanatafuta at least draw na ikishindikana draw basi inakua kama hivyo kamoja tu,ili tushawishike kuwa simba ni kubwa basi kule kwao unatakiwa utoke bila bin bila,vinginevyo ni maafa kwa taifa😂