River United FC ya sasa ni Bora kuliko ya mwaka Juzi hivyo natangaza rasmi Kuishabikia

Labda kwa Kuroga na Kununua Mechi au kwa Kuwahonga Wachezaji na Kamisaa kama tulivyofanya katika Mechi Tatu Nne za Kimataifa huku mkisaidiwa na Waandamizi Wawili kutoka TFF.
Leta hapa ushahidi otherwise wewe pia unaendelea ku prove umbumbumbu mlionao. Mnaleta habari zavijiweni na mnatumia nguvu kuhalalisha mbumbumbu wenzenu waamini.

Yanga hii sio ile tutawapiga mmesimama
View attachment 2577978
 
Tatizo ni huo ukweli unaoumiza.tunajipa moyo wana jangwani tunafika fainali
 
Rivers United ndio ilikuwa timu dhaifu kati ya zile 3. Labda km hufuatilii mbira na umekariri. Hebu nikumbushe ni lini mara ya mwisho kwa klabu ya Nigeria kufanya vizuri kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika?
Mkuu hivi uliangalia mechi ya Rivers United na Asec Mimosas?.

Rivers ni ya moto, Yanga inabidi kujipanga kweli kweli.
 
Huna timu ya kushabikia Tanzania mpaka umeamua kwenda Nigeria
 
Kudadadeki Mayele Mayele amekufanya vibaya angalia chup
 
kakojoe ulale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…